Sikio la Kufa halisikii dawa - Wakataa ndoa wote

Sikio la Kufa halisikii dawa - Wakataa ndoa wote

Moja ya faida za ndoa ni kuja kuhudumiana uzeeni.
Tuwe wakweli, una pesa gani wewe ya kuitenga ili uje uwalipe manesi wakuhudumie uzeeni? tumeona wazee wangapi wanaadhirika hawana wa kuwahudumia na pesa zimewaishia. Jaribu kufikiria katika hali halisi. Pesa hazitakuwa na maana sana kwako kwa kipindi hicho
📌What are the odds za wewe kufika huo uzee???

Wewe kwa akili hizi hata biashara huwezi kufanya maana hata jinsi ya kufanya uwekezaji hujui.Wewe endelea kuomba unyumba sisi wenzako ni simu moja nachagua leo nipige Mwajuma kipini au Merry Kishundu.

Na watoto wanautenga vizuri mtu unasusiwa hadi unataka kuchanganyikiwa.Napewa bila kupimiwa nikimaliza naelekeza akili zangu kusaka hela na kununua asetts ili nikizeeka niwe naajiri manesi wanifunge pampas😀😀

Nikifa mali zangu ni WAKFU,ntazikuta huko next life.

📌Sina stress na sicheki na wowote naulinda wangu moyo🥁👋

🚨🚨🚨KATAA NDOA,NDOA NI UTAPELI!!!
 
Hela Yako itakufanyia kazi.

Sisi Katoliki kwenye Semina Padre alishawahi kutiambia kabisa. Usitegemee hata watoto wako uliwazaa.
Weka hela, andaa fungu.
Anakwambia ukiwa na hela utaogeshwa na mtu yeyote na utamlipa.
Nguo zitafuliwa utalipa.
Utaita mtu atakupikia utamlipa na hata kampani ya stori utapata kwa kulipia.
Wazungu Wana nyumba za wazee unalipia unaenda kuishi huko.
Sisi ni uoga tu unatusumbua.

Kwanza maisha yalivyo Kwa Sasa ndoa imeshapoteza maana labda uzae tu basi.
Unazungumzia ushauri wa Padre wa Kizungu. Tafuta ushauri wa Padre wa Kiswahili then tuletee hapa. Jenga mahusiano mazuri na familia yako ambayo itakuhudumia kutumia pesa ulizojiwekea. Usitegemee pesa peke yake itakuhudumia.. This is bongo bana
 
Kuzaa ni upendo sio malipo Yani zaa ukiwa inatarajia moyo wako utakuwa na upendo na utaapendwa hata. Ikitokea usipopendwaa na wanao sio shida
Ukitaka uone tofaut ishi na watu wazima wenzio sikutatu then mchukue mwanao kaeni siku Tatu pekeyenu uone utavojisikia
Ndio ninachosema, ndicho padre alichosema na ndio tunaambia watu usitegemee mtoto.
Andaa mazingira Yako ya uzeeni mwenyewe.
Mtoto unazaa tu kwasababu ni amri ya Mungu na pengine kuudhihirishia umma wewe ni rijali basi.
 
Haha napika au nachemsha tu 😂

Hebu tuambie mjumbe wa kamat kuu kataa ndoa 😀
Daaah ujue ipo hvi.
Kwa upande wangu mi mambo ya kuoa oa hayo hata siyafatilii yaan ntajuaga huko huko kama taoa au laa..

Ila hata nikitaka kuoa huyo ambaye anataka aolewe basi awe chizi kweli kweli maana huki kichwa kwa kweli sijui.

Mi ambacho napiga marufuku mpaka kesho ni mtoto ...
Yaani mimi sitaki mtoto kabla sijamwandalia mazingira
 
Acha kuhamisha magoli.Tatizo ni ndoa.Na ukweli wa mambo wanawake wa sasa sio wanawake waliokusudiwa kwenye maandiko ya ndoa.KATAA NDOA tupo sahihi hii hibreed mpya is meant for pleasure not for making a wife.

Hakuna ndoa yoyote inayostrive kwa sasa ila kinachotokea ni kile sisi watu timamu wenye akili mingi KATAA NDOA tunasema kila uchwao.Wanawake wa sasa hakuna wa kuoa na akawa mke mkavuka mika 7 kwenye ndoa nakaaataaa nakataaa NDOA NI UJINGA NDOA NI UPUMBAVU NDOA ILIKUWA ZAMANI.

Vijana jiwekezeni kiuchumi na kielimu.Hamna achievement yoyote utapata kutoka na NDOA.Ukikaza fuvu atayajua haya ukiwa umechoka sana
.

Vijana chapeni ukuni kisawawasa,hakuna kulaza damu zalisheni hawa wanawake mana ndio kazi imebaki.Ila katu usiweke ndani huo ni mtego na bomu kama la NAGASAKI KULE JAPAN.

Kwa hiyo wanaoleta shida kwenye ndoa ni wanawake. Umewasahau wanaume walevi na wasiojielewa, umesahau vidume vibinafsi. Ndoa haina shida, shida ni tabia zenu mwanamume au mwanamke.
 
Unazungumzia ushauri wa Padre wa Kizungu. Tafuta ushauri wa Padre wa Kiswahili then tuletee hapa. Jenga mahusiano mazuri na familia yako ambayo itakuhudumia kutumia pesa ulizojiwekea. Usitegemee pesa peke yake itakuhudumia.. This is bongo bana
Nakwambia kwenye semina parokiani kwetu unasema ushauri wa kizungu, unajielewa kweli wewe.
Unadhani mawazo Yako ndio yatakuwa ya watoto wako na familia zao.
Wewe zaa lakini jiandalie mwisho wako. Kubadilishwa nepi utabadilishwa tu kama una hela.
 
Kataa ndoa haina mahusiano na kuzaa.

Adam na Eva walituzaa nje ya Ndoa, hawakutaka Stress..

Ronaldo CR7 Ana Familia ila hana ndoa.

Ogopa sana mkataba wa kutenganishwa na KIFO...
Lakini CR7 haishi peke yake. Anaishi na baby Mama wake hata kama hawajafunga ndoa.
 
📌COMRADES,,,KATAA NDOA kama tulivyokubaliana kwenye kikao chetu cha wiki jana.Chapa fimbo, tembeza bakora kadri uwezavyo.Hawa KUBALI NDOA lazima tuhakikishe wanaoa mademu zetu ili tuje kuwakera vizuri baadae kwa kuwachapia wake zao ambao ni mademu zetu wa zamani.
endeleeni kumsaidia Shetani kwenye mpango wake. Mtajutraaaa
 
Moja ya faida za ndoa ni kuja kuhudumiana uzeeni.
Tuwe wakweli, una pesa gani wewe ya kuitenga ili uje uwalipe manesi wakuhudumie uzeeni? tumeona wazee wangapi wanaadhirika hawana wa kuwahudumia na pesa zimewaishia. Jaribu kufikiria katika hali halisi. Pesa hazitakuwa na maana sana kwako kwa kipindi hicho
Mkuu ukianza kufa wewe yeye akabaki ? Yan hauoi sababu unampenda mtu ila unaoa sababu you will get a shoulder to lean on ukiwa old ?...Sasa nimeelewa kwanini wanawake hawataki muwaite magold digger wakiolewa na watu wenye pesa sababu kila mtu huwa anatafuta kazi yenye marupurupu mazuri, hakuna mtu anataka kazi mibovu yenye mshahara mbovu.
 
Sio mimi ni huyo Hamisi wa Kigamboni.
By the way kilichowafanya wakakutana na yotee yakatokea ni NDOA.

Hivyo wakulaumiwa ni NDOA.

#YNWA
#YANGA_BINGWA
Mjinga alizingua na zereu zilianza alipoyumba kimsimamo kwa KUBADILISHA DINI KUMFATA MWANAMKE!!!Familia ya mwanamke ikaona kijana anatawalika na wakamtawala🚩🚩

SURVIVAL OF THE FITTEST,THE WEAK MUST PERISH!!!


📌📌📌Kataa ndoa,ndoa ni utapeli!!!
 
Vijana chapeni ukuni kisawawasa,hakuna kulaza damu zalisheni hawa wanawake mana ndio kazi imebaki.Ila katu usiweke ndani huo ni mtego na bomu kama la NAGASAKI KULE JAPAN.
Wanawake hao mnaowazalisha ndio mnakuja kuwatukana na kuwaita single mothers, tatu mzuka wanaoiba mtaani na ombaomba ndio matokeo ya zao lenu, unaweza fikiria ni kwanamna Gani umedata?
 
Wakati unashawishika na watu waliovuta bangi zao, waliojikatia tamaa ya kuishi, wasiotaka ndoa kwa kuwa wao si wanaume wala si wanawake... hawajielewi, waliotingishika akili baada ya kutendwa kwenye mapenzi; waliolelewa nje ya famili na wakachukia familia; kaa chini utafakari. Hapa si quote mstari wowote wa vitabu vitakatifu, hapa nakupa makali live.

Jaribu kufikiria, ulilelewa na familia na sasa unajitegemea. Kwa nini uishi peke yako? Wakati ukiwa na familia yako ndio waliokuwa wakipa huduma zote ulizohitaji wakati wa furaha na wakati wa magumu sasa iweje leo uwe mwenyewe? Huo ubinafsi wa kuishi peke yako unautoa wapi? kwa nini usioe? kwa nini nawe usisimame kama baba ukiienjoy na mke na watoto wako?

Hivi kesho ukihitaji huduma za kuhospitali nani atakuogesha? nani atakufariji? Najua una ndugu zako, nao watakuwa bize na familia zao; utashirikiana nao katika mambo ya nje na si ya ndani. Hivi usiku unajikumbatia peke yako kama mchawi na hata wachawi wanaoa! Hata kama utanunua wanawake... utachoka... hutapata amani na faraja ambayo ungeipata kwa mke. Kwani nini uishi kiunyongee?

Jaribu kuangalia walioishi peke yao..... hakuna aliyekuwa na furaha ya dhati, waliishia kuwa walevi na wanunua papuchi mwisho walifia ndani na kukutwa wamepasuka. Ndoa ni muhimu kwa binadamu. Changamoto za ndoa zinaweza kuwa solved lakini ukiwa na upweke si vya kukimbilia. Najua kuna wanaojifariji eti nitazalisha huko nje na kuchukuwa watoto wangu.

AMKA jipange kutafuta familia uitunze ikutunze. Hao wanaokudanganya humu hutakuwa nao na utakufa kibudu.

Ndo nshasema.. wakataa ndoa wote hawajielewi... wakajicheki afya ya akili na kama ukitaka kuwaiga usithubutu.

Mapovu ruksa.... ndoa zidumu na zitadumu milele na milele.
Humu jamvini wote wameoa labda ambao hawajaolewa ndio wako wengi
 
Mkuu ukianza kufa wewe yeye akabaki ? Yan hauoi sababu unampenda mtu ila unaoa sababu you will get a shoulder to lean on ukiwa old ?...Sasa nimeelewa kwanini wanawake hawataki muwaite magold digger wakiolewa na watu wenye pesa sababu kila mtu huwa anatafuta kazi yenye marupurupu mazuri, hakuna mtu anataka kazi mibovu yenye mshahara mbovu.
SIMPS MUST PERISH!!!

WOMEN SHOULD KILL ALL SIMPS👏👏


📌📌KATAA NDOA,NDOA NI UTAPELI!!!
 
Ni maisha tuu. Wakishajitafuta na kujipata wanasahau kuna kukataa ndoa😀
Mmh, hapa sasa nina nyumba tayari, kazi/biashara yangu sio haba, sasa nimtulize huyu Abdallah kichwa wazi nitafute Pisi (piece) moja iliyonyooka niweke ndani.

Safi kabisa….Utanyooka nayo😁

“Alisikika kataa NDOA mmoja baada ya kujipata”
 
Daaah ujue ipo hvi.
Kwa upande wangu mi mambo ya kuoa oa hayo hata siyafatilii yaan ntajuaga huko huko kama taoa au laa..

Ila hata nikitaka kuoa huyo ambaye anataka aolewe basi awe chizi kweli kweli maana huki kichwa kwa kweli sijui.

Mi ambacho napiga marufuku mpaka kesho ni mtoto ...
Yaani mimi sitaki mtoto kabla sijamwandalia mazingira
😂😂
 
Back
Top Bottom