Sikio la Kufa halisikii dawa - Wakataa ndoa wote

Sikio la Kufa halisikii dawa - Wakataa ndoa wote

Nilijua mtakuja kwa kasi ya SGR..... Ndoa zitadumu na zitaishi milele
Wala hatukubishii. Hata sisi wazazi, marafiki, ndugu zetu wa karibu wameoa, ila ujue tu hujui chochote kuhusu kataa ndoa humu, jifunze utaona ulichoandika. Unajua kata ndoa ina maana watu wasiwe na wapenzi ila si hivyo.
Na sisi kweli ukija tutajaa hapa kwenye thread yako. Usipoelewa leo utakuja kuelewa siku.
 
Mkuu, ni nini hasa kinachokufanya ukatae ndoa?
Je, (i) Uchumi haujatengamaa?
(ii) Ubinafsi na uchoyo?
(iii) Hitilafu ya kibayolojia kwenye VIA vya uzazi?
(iv) Udhaifu katika kupambana na changamoto?

NDoa ni zaidi ya kujilia mema ya dunia bila vificho, bila vipimo na bila masharti.

Unaweza kunipatia experience ndogo tangu ulivyokuwa mdogo mwenye utambuzi jinsi ulivyokuwa ukiwaona wazazi wako wanaishi, wanawalea na kufurahi kwa pamoja kama familia?
KAMA POINT TUNAZOANDIKA HAPA HUELEWI KILA SIKU.

WEWE ENDELEA KUOMBA UNYUMBA KILA SIKU IENDAYO KWA MUNGU.NDOA NI KWA WANAUME WASIO NA AKILI,MAJINGA ,MAZUZU NA MAZEZETA.

📌📌KATAA NDOA,NDOA NI UTAPELI!!!
 
#Kataa Ndoa
Usitake kujua sababu oa utazijua sababu na utafungua uzi mrefu kama kamba.
Ndoa ni utapeli ndoa ni kifungo mnafunga pingu za maisha.
Kidumu cha kataa ndoa kidumuuuuu.
 
KAtaa ndoa wanayomaanisha n usifunge ndoa rasm iwe ya kidini , kimila, ki serikali n.k (mkataba wa ndoa ya maisha) n kama kifungo hasa kwa sheria za kikiristo.
Hawamaanishi kataa ndoa kwamba usioe au usiishi na mwanamke au usizaee.....uo ni uchaguzi wako...hujawahi kuona watu wanaishi pamoja mke na mume na hawajafunga ndoa rasm?

Sheria hz za dini za ndoa, sheria za serikali/mfumo jike [feminism]haki za binadamu n.k vinaonekana kuwabeba sana wanawake ktk ndoa kuliko waume....inapelekea mume kunyanyasika...
% kubwa ya me walioko kweny ndoa wanapitia changamoto kuliko ambao hawako.
Elewa slogan yao kwanza... usipapukie kuwalaumu.....
 
Wala hatukubishii. Hata sisi wazazi, marafiki, ndugu zetu wa karibu wameoa, ila ujue tu hujui chochote kuhusu kataa ndoa humu, jifunze utaona ulichoandika. Unajua kata ndoa ina maana watu wasiwe na wapenzi ila si hivyo.
Na sisi kweli ukija tutajaa hapa kwenye thread yako. Usipoelewa leo utakuja kuelewa siku.
Mwendo wa ngiri break popote 😂😂😂tumekuja kwenye sherehe bila kadi na wali tunakula!!!
 
KAMA POINT TUNAZOANDIKA HAPA HUELEWI KILA SIKU.

WEWE ENDELEA KUOMBA UNYUMBA KILA SIKU IENDAYO KWA MUNGU.NDOA NI KWA WANAUME WASIO NA AKILI,MAJINGA ,MAZUZU NA MAZEZETA.

📌📌KATAA NDOA,NDOA NI UTAPELI!!!
😁
Mkuu, hapo hujajibu hata kipengele kimojawapo.
 
Wala hatukubishii. Hata sisi wazazi, marafiki, ndugu zetu wa karibu wameoa, ila ujue tu hujui chochote kuhusu kataa ndoa humu, jifunze utaona ulichoandika. Unajua kata ndoa ina maana watu wasiwe na wapenzi ila si hivyo.
Na sisi kweli ukija tutajaa hapa kwenye thread yako. Usipoelewa leo utakuja kuelewa siku.
Hebu nielimishe. Napenda sana kujifunza. Nachojua ni kwamba kataa ndoa ni watu wasioe ila wawe wanapiga miti tu na kuzalisha nje. nasubiri elimu
 
#Kataa Ndoa
Usitake kujua sababu oa utazijua sababu na utafungua uzi mrefu kama kamba.
Ndoa ni utapeli ndoa ni kifungo mnafunga pingu za maisha.
Kidumu cha kataa ndoa kidumuuuuu.
Mwenzake jana kahukumiwa kisa kuuwa mwanamke aliyemvuta makende mbele ya mamake🤣🤣🤣

Ukiona mtu anashabikia ndoa basi ujue hajala wanawake wa kutosha.Huyo jua hajawala mpaka akawakinai.Washamba wa p*ssy ndo hawa wanaabudu ndoa.


Ukiwauliza humo kwenye ndoa ni kipi hasa wanachopata zaidi ya ngono hawana jibu wanaanza blaablaaa.Tena ngono yenyewe low quality wanapimiwa maskini ya mungu unakuja jibaba linaomba p*ssy kama toto hivi🤣🤣🤣.

Na maskini wengi wanakimbilia ndoa kwasababu hawana uchumi na mbinu za kumiliki wanawake.Ili ule wanawake tofautitofauti lazima uwe na pesa na mbinu bwana😀😀😀

Madomozege wote wanajificha kwenye chaka la ndoa wanahisi huko ndo kuna free p*ssy.Poor them lost sheep!!!!

📌📌📌KAMA UNAAKILI TIMAMU,KATAA NDOA!!!
 
Hebu nielimishe. Napenda sana kujifunza. Nachojua ni kwamba kataa ndoa ni watu wasioe ila wawe wanapiga miti tu na kuzalisha nje. nasubiri elimu
Washakuja wenzako wengi sana wanasema jamani muoe. Leta wewe faida zako. Kama unafahamu hii slogan ya kataa ndoa.
 
Mwendo wa ngiri break popote 😂😂😂tumekuja kwenye sherehe bila kadi na wali tunakula!!!
😀 😀😀😀 ndio maana nikasema wakataa ndoa wote wana sababu zao, kama si bangi basi malezi, au akili au mkumbo tu au changamoto walizowahi pambana nazo
 
Mwendo wa ngiri break popote 😂😂😂tumekuja kwenye sherehe bila kadi na wali tunakula!!!
Yaani mbele pale hightable upande wa mwanaume tunakaa sisi. Familia yako iliyokuponza wanakaa karibu na entrance. Tutakushitua.
Yeye hajiulizi alimuona nani kaja kajisifia kuhusu ndoa humu.
 
😀 😀😀😀 ndio maana nikasema wakataa ndoa wote wana sababu zao, kama si bangi basi malezi, au akili au mkumbo tu au changamoto walizowahi pambana nazo
Bwanamkubwa huna akili wala uwezo wa kushindana na KATAA NDOA yeyote.Kataa ndoa ni wito sio kila mtu anaweza kuwa kataa ndoa.Ili uwe kataa ndoa lazima uwe na A CALL FROM SUPER NATURAL POWER.Acha kucheza na KATAA NDOA WEWE.

📌📌KATAA NDOA,NDOA NI UTAPELI!!!
 
Wakata ndoa wakiwa pamoja jibu lao ni moja lakin ukikaa na mmojammoja majibu yanatofautiana ,
hawajielewi wanakataa nini na wanataka nini. Ndio maana nikawaambia wajitafakari maana katika maisha kila mtu atabaki peke yake wasifuate mkumbo
 
Hamisi ananyongwa kisa ni NDOA.

""Nilikutana na wewe mke wangu ukiwa ni mwanachuo katika chuo cha Mwalimu Nyerere kigamboni.

Tukaanzisha mahusiano ya kimapenzi.

Mimi ni muislamu

Lakini mwaka 2008 nikaamua kukuoa kwa ndoa ya kikistru kanisa la Assemblies of God Upanga

Bila ya shaka nimefanya hivi kwa kuwa nakupenda sana mke wangu.

Tunaishi maisha mazuri, tunafanikiwa kumiliki nyumba kadhaa na magari manne.

Ninakufungulia biashara ya duka la kuuza madawa huku mimi nikiendelea na biashara yangu ya kununua na kuuza viwanja.

Tunapata mtoto mmoja aitwaye Gracious

Mke wangu unabadilika.

Unaanza kuninyima haki yangu ya ndoa bila sababu za msingi.

Hali inaendelea hadi inafikia hatua tunalala vyumba tofauti katika nyumba yetu ya ghorofa mimi chumba cha juu wewe cha chini.

Inafikia hatua mimi naanzisha mahusiano nje na wewe unaanzisha ya kwako.

Unaweza kulala nje bila taarifa na mimi vivyohivyo.

I and you deny each other conjugal rights (horizontal engagement)

Jambo hili linajulikana kwa wazazi wa pande mbili.

Hata majirani wanajua mambo unayonifanyia kama kunimwagia maji machafu, kunipiga na fagio na hata kunivuta makende yangu mbele ya mama yangu mzazi.

Mke wangu,

Kuna siku ulinichoma na kisu mkononi

Nikaenda Polisi lakini wakanirudisha kuwa tumalizane wenyewe.

Yote nilivumilia.

Kila wakati unani provoke kuwa nikupige nikuue lakini sifanyi hivyo.

Nilishakuomba twende mahakamani tuvunje hii ndoa yetu lakini ukakataa.

Ikafikia hatua sili wala siogi nyumbani kwangu kwani naogopa usije niwekea sumu.

Ndipo kuna siku niliondoka nyumbani bila kurudi kwa muda wa siku tano.""

Story juu, imepatikana kwenye maelezo ya onyo (Cautioned statement) ya Hamisi Saidi Luwongo

Maelezo haya aliyatoa mbele ya mpelelezi kituo cha polisi Temeke

NA HIZI NDIO NDOA ZENU.

View attachment 3251653View attachment 3251654

#YNWA
#YANGA_BINGWA
Mambo ya kusikitisha kabisa. Yule jamaa sio chizi apige tu tukio lazima kuna mafala walimfanyia maujinga
 
Rafiki yangu material yako ni mazuri, tatizo utamuoa nani. Unachoeleza ni inavyotakiwa kuwa, lakini unakutana na hali tofauti kabisa. Bahati mbaya hata mwenye maono kama yako anaweza kushindwa kuyasimamia akawa kituko tu.
Utamuoa nani!
Sio kila mtu ni mbaya /hafai kwa ndoa. 🌚
 
Back
Top Bottom