Sikio la Kufa halisikii dawa - Wakataa ndoa wote

Sikio la Kufa halisikii dawa - Wakataa ndoa wote

Vijana acheni kusikiliza watu wasio na hoja.Hivi kuna KATAA NDOA kasema mtu asichape ukuni???Atuonyeshe wapi kwenye katiba yetu tumekataza watu kuwa na watoto???

Vijana mnaojielewa jipendeni nyie kwanza achaneni na hawa wazee mufilisi wamerogwa na kupigwa malimbwata na wake zao.

Wazee wa namna hii ndo unawakuta wako rafu hawajipendi hawavai wakapendeza siku ya siku wanagongewa wake zao kisa kutokuwa smart au kuwapa wake zao muda,unawakuta segerea au waji-RIP.

duuuu! NIMECHEKA HADI NIMEJISTUKIA
Unashawishi watu wachape ukuni bila kuoa?? Kama hutaki ndoa kaa na ukuni wako ukunyaukie. Acha uzinzi.
 
Wakati unashawishika na watu waliovuta bangi zao, waliojikatia tamaa ya kuishi, wasiotaka ndoa kwa kuwa wao si wanaume wala si wanawake... hawajielewi, waliotingishika akili baada ya kutendwa kwenye mapenzi; waliolelewa nje ya famili na wakachukia familia; kaa chini utafakari. Hapa si quote mstari wowote wa vitabu vitakatifu, hapa nakupa makali live.

Jaribu kufikiria, ulilelewa na familia na sasa unajitegemea. Kwa nini uishi peke yako? Wakati ukiwa na familia yako ndio waliokuwa wakipa huduma zote ulizohitaji wakati wa furaha na wakati wa magumu sasa iweje leo uwe mwenyewe? Huo ubinafsi wa kuishi peke yako unautoa wapi? kwa nini usioe? kwa nini nawe usisimame kama baba ukiienjoy na mke na watoto wako?

Hivi kesho ukihitaji huduma za kuhospitali nani atakuogesha? nani atakufariji? Najua una ndugu zako, nao watakuwa bize na familia zao; utashirikiana nao katika mambo ya nje na si ya ndani. Hivi usiku unajikumbatia peke yako kama mchawi na hata wachawi wanaoa! Hata kama utanunua wanawake... utachoka... hutapata amani na faraja ambayo ungeipata kwa mke. Kwani nini uishi kiunyongee?

Jaribu kuangalia walioishi peke yao..... hakuna aliyekuwa na furaha ya dhati, waliishia kuwa walevi na wanunua papuchi mwisho walifia ndani na kukutwa wamepasuka. Ndoa ni muhimu kwa binadamu. Changamoto za ndoa zinaweza kuwa solved lakini ukiwa na upweke si vya kukimbilia. Najua kuna wanaojifariji eti nitazalisha huko nje na kuchukuwa watoto wangu.

AMKA jipange kutafuta familia uitunze ikutunze. Hao wanaokudanganya humu hutakuwa nao na utakufa kibudu.

Ndo nshasema.. wakataa ndoa wote hawajielewi... wakajicheki afya ya akili na kama ukitaka kuwaiga usithubutu.

Mapovu ruksa.... ndoa zidumu na zitadumu milele na milele.
Hela Yako itakufanyia kazi.

Sisi Katoliki kwenye Semina Padre alishawahi kutiambia kabisa. Usitegemee hata watoto wako uliwazaa.
Weka hela, andaa fungu.
Anakwambia ukiwa na hela utaogeshwa na mtu yeyote na utamlipa.
Nguo zitafuliwa utalipa.
Utaita mtu atakupikia utamlipa na hata kampani ya stori utapata kwa kulipia.
Wazungu Wana nyumba za wazee unalipia unaenda kuishi huko.
Sisi ni uoga tu unatusumbua.

Kwanza maisha yalivyo Kwa Sasa ndoa imeshapoteza maana labda uzae tu basi.
 
Wakati unashawishika na watu waliovuta bangi zao, waliojikatia tamaa ya kuishi, wasiotaka ndoa kwa kuwa wao si wanaume wala si wanawake... hawajielewi, waliotingishika akili baada ya kutendwa kwenye mapenzi; waliolelewa nje ya famili na wakachukia familia; kaa chini utafakari. Hapa si quote mstari wowote wa vitabu vitakatifu, hapa nakupa makali live.

Jaribu kufikiria, ulilelewa na familia na sasa unajitegemea. Kwa nini uishi peke yako? Wakati ukiwa na familia yako ndio waliokuwa wakipa huduma zote ulizohitaji wakati wa furaha na wakati wa magumu sasa iweje leo uwe mwenyewe? Huo ubinafsi wa kuishi peke yako unautoa wapi? kwa nini usioe? kwa nini nawe usisimame kama baba ukiienjoy na mke na watoto wako?

Hivi kesho ukihitaji huduma za kuhospitali nani atakuogesha? nani atakufariji? Najua una ndugu zako, nao watakuwa bize na familia zao; utashirikiana nao katika mambo ya nje na si ya ndani. Hivi usiku unajikumbatia peke yako kama mchawi na hata wachawi wanaoa! Hata kama utanunua wanawake... utachoka... hutapata amani na faraja ambayo ungeipata kwa mke. Kwani nini uishi kiunyongee?

Jaribu kuangalia walioishi peke yao..... hakuna aliyekuwa na furaha ya dhati, waliishia kuwa walevi na wanunua papuchi mwisho walifia ndani na kukutwa wamepasuka. Ndoa ni muhimu kwa binadamu. Changamoto za ndoa zinaweza kuwa solved lakini ukiwa na upweke si vya kukimbilia. Najua kuna wanaojifariji eti nitazalisha huko nje na kuchukuwa watoto wangu.

AMKA jipange kutafuta familia uitunze ikutunze. Hao wanaokudanganya humu hutakuwa nao na utakufa kibudu.

Ndo nshasema.. wakataa ndoa wote hawajielewi... wakajicheki afya ya akili na kama ukitaka kuwaiga usithubutu.

Mapovu ruksa.... ndoa zidumu na zitadumu milele na milele.
MAELEZO YAKO BADO HAYASHAWISHI MKUU.
#KATAA NDOA 4 LIFE
 
Hela Yako itakufanyia kazi.

Sisi Katoliki kwenye Semina Padre alishawahi kutiambia kabisa. Usitegemee hata watoto wako uliwazaa.
Weka hela, andaa fungu.
Anakwambia ukiwa na hela utaogeshwa na mtu yeyote na utamlipa.
Nguo zitafuliwa utalipa.
Utaita mtu atakupikia utamlipa na hata kampani ya stori utapata kwa kulipia.
Wazungu Wana nyumba za wazee unalipia unaenda kuishi huko.
Sisi ni uoga tu unatusumbua.

Kwanza maisha yalivyo Kwa Sasa ndoa imeshapoteza maana labda uzae tu basi.
Kuzaa ni upendo sio malipo Yani zaa ukiwa inatarajia moyo wako utakuwa na upendo na utaapendwa hata. Ikitokea usipopendwaa na wanao sio shida
Ukitaka uone tofaut ishi na watu wazima wenzio sikutatu then mchukue mwanao kaeni siku Tatu pekeyenu uone utavojisikia
 
Nimezungumzia uwezo wa kutunza mke Kwa maishayetu kijana unaweza Kuta anafikia 30 hna chochote inaweza kuwa sabbu lkn sijasema ni wote
Huko nje mm sijui kwani nyie ni wazungu?
Ndio maana yake, unachojaribu kuniambia ni kwamba ukiwa na hela haina sababu ya kuacha kuoa sababu unakuwa unaweza kumtunza mwanamke na ukiwa huna sio lazima kuoa sababu unakuwa huwez kumtunza mwanamke right ? Vip kuhusu kupendana?..kuna watu hawajawah kupenda mtu wala hajawa kupendwa na mtu, huyu anaona vipi ? Kwanini watu wanaoa sabababu tu kuiridhisha jamii kwamba wameoa? Why people don't marry for themselves? Ndio mana ndoa nyingi zinavunjika sababu watu hawaoani sababu wanapendana wanaoana sababu ya kuionyesha jamii wanapendana na wameoana. Unamwoa jane , ye jane anampenda juma kaolewa na wewe sababu tu una uwezo na utaenda nae ukumbini ila juma atakuwa anajipigia miti kama kawaida....
 
Hamisi ananyongwa kisa ni NDOA.

""Nilikutana na wewe mke wangu ukiwa ni mwanachuo katika chuo cha Mwalimu Nyerere kigamboni.

Tukaanzisha mahusiano ya kimapenzi.

Mimi ni muislamu

Lakini mwaka 2008 nikaamua kukuoa kwa ndoa ya kikistru kanisa la Assemblies of God Upanga

Bila ya shaka nimefanya hivi kwa kuwa nakupenda sana mke wangu.

Tunaishi maisha mazuri, tunafanikiwa kumiliki nyumba kadhaa na magari manne.

Ninakufungulia biashara ya duka la kuuza madawa huku mimi nikiendelea na biashara yangu ya kununua na kuuza viwanja.

Tunapata mtoto mmoja aitwaye Gracious

Mke wangu unabadilika.

Unaanza kuninyima haki yangu ya ndoa bila sababu za msingi.

Hali inaendelea hadi inafikia hatua tunalala vyumba tofauti katika nyumba yetu ya ghorofa mimi chumba cha juu wewe cha chini.

Inafikia hatua mimi naanzisha mahusiano nje na wewe unaanzisha ya kwako.

Unaweza kulala nje bila taarifa na mimi vivyohivyo.

I and you deny each other conjugal rights (horizontal engagement)

Jambo hili linajulikana kwa wazazi wa pande mbili.

Hata majirani wanajua mambo unayonifanyia kama kunimwagia maji machafu, kunipiga na fagio na hata kunivuta makende yangu mbele ya mama yangu mzazi.

Mke wangu,

Kuna siku ulinichoma na kisu mkononi

Nikaenda Polisi lakini wakanirudisha kuwa tumalizane wenyewe.

Yote nilivumilia.

Kila wakati unani provoke kuwa nikupige nikuue lakini sifanyi hivyo.

Nilishakuomba twende mahakamani tuvunje hii ndoa yetu lakini ukakataa.

Ikafikia hatua sili wala siogi nyumbani kwangu kwani naogopa usije niwekea sumu.

Ndipo kuna siku niliondoka nyumbani bila kurudi kwa muda wa siku tano.""

Story juu, imepatikana kwenye maelezo ya onyo (Cautioned statement) ya Hamisi Saidi Luwongo

Maelezo haya aliyatoa mbele ya mpelelezi kituo cha polisi Temeke

NA HIZI NDIO NDOA ZENU.

View attachment 3251653View attachment 3251654

#YNWA
#YANGA_BINGWA
Umemkopi yule mhaya buyobe kule twitter? Au buyobe naye kakopi mahali?
 
Wengi ni MASIMP ambayo kiuhalisia yanafanya vitu kwa msukumo wa jamii au familia zao ila wao wenyewe hawajui kwanini wanafanya au kutenda mambo.

Mleta mada anastress za kunyimwa unyumba hajui hata hasa nini lengo la NDOA.

📌📌📌Nashauri apuuzwee!!!
😂😂😂😂😂
 
Leteni hoja zenye mantiki.Yaani unaingia kwenye ndoa kisa ukizeeka upate mtu wa kukuvalisha pampers are you nuts!!!

Hivi unashindwa nini kujitengea hela like a trust fund kiasi kwamba ukizeeka beyond huwezi kujihudumia unawalipa watu tena professionals wakutunze.Manesi kibao huko wanataka hizo kazi za kulea wazee.Nyie mazezeta badilikeni dunia inaenda kasi acheni kulala.
Moja ya faida za ndoa ni kuja kuhudumiana uzeeni.
Tuwe wakweli, una pesa gani wewe ya kuitenga ili uje uwalipe manesi wakuhudumie uzeeni? tumeona wazee wangapi wanaadhirika hawana wa kuwahudumia na pesa zimewaishia. Jaribu kufikiria katika hali halisi. Pesa hazitakuwa na maana sana kwako kwa kipindi hicho
 
Pole sana. Hapo tatizo sio ndoa. Tatizo ni aina ya mwanamke uliyeoa. Alibadilika akawa tofauti na mlivyoanza. Binadamu tunaweza badilika. lakini hili halitufanyi tukatae ndoa. Mungu atakufanyia wepesi.
Acha kuhamisha magoli.Tatizo ni ndoa.Na ukweli wa mambo wanawake wa sasa sio wanawake waliokusudiwa kwenye maandiko ya ndoa.KATAA NDOA tupo sahihi hii hibreed mpya is meant for pleasure not for making a wife.

Hakuna ndoa yoyote inayostrive kwa sasa ila kinachotokea ni kile sisi watu timamu wenye akili mingi KATAA NDOA tunasema kila uchwao.Wanawake wa sasa hakuna wa kuoa na akawa mke mkavuka mika 7 kwenye ndoa nakaaataaa nakataaa NDOA NI UJINGA NDOA NI UPUMBAVU NDOA ILIKUWA ZAMANI.

Vijana jiwekezeni kiuchumi na kielimu.Hamna achievement yoyote utapata kutoka na NDOA.Ukikaza fuvu atayajua haya ukiwa umechoka sana
.

Vijana chapeni ukuni kisawawasa,hakuna kulaza damu zalisheni hawa wanawake mana ndio kazi imebaki.Ila katu usiweke ndani huo ni mtego na bomu kama la NAGASAKI KULE JAPAN.
 
Back
Top Bottom