Siku 3 kabla ya kucheza na Yanga, wachezaji 7 wa Mamelodi Sundowns watakuwa Algeria kwenye majukumu ya kitaifa

Siku 3 kabla ya kucheza na Yanga, wachezaji 7 wa Mamelodi Sundowns watakuwa Algeria kwenye majukumu ya kitaifa

Naomba kujua Azerbaijan iko wapi Kwanza. Mchezaji wa Simba anacheza Azerbaijan tarehe 27 anaondoka tarehe 28 halafu tarehe 29 ana Mechi Dar na Ahly. Mchezaji wa Yanga anacheza na Azam tarehe 17, anaondoka 18 anacheza Azerbaijan 24 & 27, anaondoka huko 28 anacheza na Mamelody 30.
Kuna watu mna akili nyepesi kama Sufi.
Akili ya jamaa iko kwenye kalio!
 
Kuna mambo Watanzania inabidi tupevuke kwenye masuala haya ya mpira. Kumekuwa na hii kasumba ya kuwachukulia wachezaji kama mayai hivi. Yaani tunataka wacheze mechi moja kwa wiki, kabla ya mechi yoyote ya kimataifa hamtaki wagusweguswe hata kwa wiki mbili mkiogopa eti watachoka au kuumia. Madhara yake tumekuwa na ligi yenye ratiba za hovyo na zisizoeleweka.

Kwa siku kadhaa kumekuwa na vilio kutokana na wachezaji wa Simba na Yanga kuitwa timu ya taifa wakati timu zinajiandaa kucheza mechi za robo fainali ya CAFCL (na nadhani Yanga ndiyo wanalialia zaidi halafu wakati huo huo wanalalamika kwa nini Dickson Job hajaitwa).

Ukiangalia ratiba ya Bafana Bafana, kuanzia wiki ijayo watakuwa Algeria kucheza mechi 2 za kirafiki na katika kikosi kilichoitwa kuna wachezaji 7 wa Mamelodi Sundowns walioitwa na hawa ni wachezaji wa kikosi cha kwanza cha Mamelodi na siyo kina Kennedy, Manula, Mwamnyeto au Mzize ambao hawana uhakika kwenye vikosi vya kwanza vya timu zao.

Afrika Kusini anacheza mechi ya pili ya kirafiki na Algeria tarehe 27/03 huko Algeria, yaani siku 3 kabla ya kukabiliana na Yanga. Hii pia ina maana hawa wachezaji hawatakuwa na wenzao katika kipindi chote cha kujiandaa kucheza na Yanga na kuna uwezekano mkubwa watakuja moja kwa moja Dar kujiunga na wenzao. Kwa ratiba hiyo ina maana wanaweza kupata siku moja tu ya kufanya mazoezi na wenzao.

Kuna kitu cha kujifunza hapa.
Nakukumbusha tu wachezaji wenu watapumzika siku moja wa Yanga siku mbili. Nilisikia Al Ahly waliomba wachezaji wao wasiitwe.
 
Kimojawapo cha kujifunza ni kuwa mchezaji professional hahitaji wiki mbili kumfundisha na kumuelekeza mpango kazi wa mechi husika. Siku 1 au 2 zinaweza kumtosha.
Kwa mpira wa miguu siku mbili ndio standard.
 
Nakukumbusha tu wachezaji wenu watapumzika siku moja wa Yanga siku mbili. Nilisikia Al Ahly waliomba wachezaji wao wasiitwe.

Kwa mpira wa miguu siku mbili ndio standard.
Simba haina shida maana wote walioitwa ukiacha Chama ambaye sijajua atarudi siku gani wanaweza kuanzia benchi na wana mbadala wao.

Mihimili ya Yanga ni Aucho, Diarra, Bacca na Aziz. Wakikosekana wawili hapo ni mtihani mkubwa kwa timu.
 
Simba haina shida maana wote walioitwa ukiacha Chama ambaye sijajua atarudi siku gani wanaweza kuanzia benchi na wana mbadala wao.

Mihimili ya Yanga ni Aucho, Diarra, Bacca na Aziz. Wakikosekana wawili hapo ni mtihani mkubwa kwa timu.
Hao hawezi kukosekana Aucho yupo atarudi kishaanza maazoezi ya viungo,Bacca,Aziz,Diarra atarudi na kupumzika siku mbili,kabla ya mechi.

Wewe Shabalala,na Kibu wanapumzika siku moja au hujui huyo Chama mechi ngumu anapotea.Mara nyingi mechi ngumu Kibu ndiye anaonekana. Sijajua kwa Saido na Ingonga kwa akili yako unazani Yanga wataaumia.

Lile Bonanza halina umuhimu wowote kwa mpira wetu ndio maana Samata kaamua kupumzika.
 
Hao hawezi kukosekana Aucho yupo atarudi kishaanza maazoezi ya viungo,Bacca,Aziz,Diarra atarudi na kupumzika siku mbili,kabla ya mechi.

Wewe Shabalala,na Kibu wanapumzika siku moja au hujui huyo Chama mechi ngumu anapotea.Mara nyingi mechi ngumu Kibu ndiye anaonekana. Sijajua kwa Saido na Ingonga kwa akili yako unazani Yanga wataaumia.

Lile Bonanza halina umuhimu wowote kwa mpira wetu ndio maana Samata kaamua kupumzika.
Kama siku mbili zinatosha sasa hao wenzako wanalialia nini?

Hapo wa Simba labda Kibu tu ndiyo wa kumjadili, wengine wala si wa kuwawazia na sina uhakika kama Inonga ameitwa.

Samatta ilitakiwa tuagane kwa heshima kwenye ile AFCON ya Ivory Coast, yatakuja kumtokea ya Bocco, unakaa hadi unapoachwa kimya kimya hakuna anayekuulizia.

Zile mechi zina athari kwenye rank za FIFA. Pia kwa wachezaji zile posho posho hamna anataka kuziacha.
 
Kama siku mbili zinatosha sasa hao wenzako wanalialia nini?

Hapo wa Simba labda Kibu tu ndiyo wa kumjadili, wengine wala si wa kuwawazia na sina uhakika kama Inonga ameitwa.

Samatta ilitakiwa tuagane kwa heshima kwenye ile AFCON ya Ivory Coast, yatakuja kumtokea ya Bocco, unakaa hadi unapoachwa kimya kimya hakuna anayekuulizia.

Zile mechi zina athari kwenye rank za FIFA. Pia kwa wachezaji zile posho posho hamna anataka kuziacha.
Samata yupo sawa na anajielewa sababu ana exposure kubwa kuliko mchezaji yoyote Tanzania.

Wanaolia wakina nani? Gamondi,Hersi, Kocha wa viungo......?Maana nilio wasikia wakilalama ni wachambuzi mmoja wapo Oscar..... na yupo sawa mchezaji hawezi kupumzika siku moja, bali unamuumiza na kuharibu setup ya timu. Halafu kama hujui Diara na Aziz K tarehe 26 ndio mechi yao ya mwisho so usiku wanakwea pipa then 27 wapo hapa.Stars mechi ya mwisho wanacheza 25,tatizo walipo wataunganisha ndege kama tatu kufika Tanzania.

Mbona wapo mashabiki wa Simba wanao lia au unazani hii fixture itambana Yanga? AL ahly ameomba wachezaji wake wasiitwe ,unazani yy mjinga au anaogopa.

Standard ya mpira mchezaji anatakiwa apumzike siku mbili kabla ya mechi inayofuata.

Halafu kwa timu yako Shabalala na Inonga bado ni mihimili ya timu yako,sababu wana experience ya michuano mikubwa hamna wa kuvaa viatu vyao.
 
Samata yupo sawa na anajielewa sababu ana exposure kubwa kuliko mchezaji yoyote Tanzania.

Wanaolia wakina nani? Gamondi,Hersi, Kocha wa viungo......?Maana nilio wasikia wakilalama ni wachambuzi mmoja wapo Oscar..... na yupo sawa mchezaji hawezi kupumzika siku moja, bali unamuumiza na kuharibu setup ya timu. Halafu kama hujui Diara na Aziz K tarehe 26 ndio mechi yao ya mwisho so usiku wanakwea pipa then 27 wapo hapa.Stars mechi ya mwisho wanacheza 25,tatizo walipo wataunganisha ndege kama tatu kufika Tanzania.

Mbona wapo mashabiki wa Simba wanao lia au unazani hii fixture itambana Yanga? AL ahly ameomba wachezaji wake wasiitwe ,unazani yy mjinga au anaogopa.

Standard ya mpira mchezaji anatakiwa apumzike siku mbili kabla ya mechi inayofuata.

Halafu kwa timu yako Shabalala na Inonga bado ni mihimili ya timu yako,sababu wana experience ya michuano mikubwa hamna wa kuvaa viatu vyao.
Kwa hiyo wewe ndiyo unajua wachezaji wa mihimili ya Simba ni kina nani kuliko Simba wenyewe?
 
Kwa hiyo wewe ndiyo unajua wachezaji wa mihimili ya Simba ni kina nani kuliko Simba wenyewe?
Sasa nani mwenye experience ya mechi za CAF na match fitness bora ktk nafasi zao zaidi ya hao kwenye kikosi chako........ au mpaka hili nalo utaka kubisha?
 
Hakuna cha kujifunza.

Mpira wetu unawatu wanaotaka kuzipiku record za Simba kwa namna yoyote iwe ni kwa kumkwamisha ama kwa kumzidi kimatokeo.
Watu wana uthubutu wa kuwalipa baadhi ya wachezaji ili wawaumize wachezaji wa timu inayokwenda kucheza kimataifa.
Kuna uhuni mwingi unafanyika kukwamishana ili tu ionekane tupo sawa au wametuzidi.
Wahuni hawa ndio waliovaa jezi za Kaizer na Orlando.Tusiwachukulie poa wahuni hawa
Kwani hiyo timu umeitaja na yenyewe inashiriki michuano ya kimataifa?
 
Naomba kujua Azerbaijan iko wapi Kwanza. Mchezaji wa Simba anacheza Azerbaijan tarehe 27 anaondoka tarehe 28 halafu tarehe 29 ana Mechi Dar na Ahly. Mchezaji wa Yanga anacheza na Azam tarehe 17, anaondoka 18 anacheza Azerbaijan 24 & 27, anaondoka huko 28 anacheza na Mamelody 30.
Kuna watu mna akili nyepesi kama Sufi.
Ipo asia jirani na iran

Sent from my SM-A013G using JamiiForums mobile app
 
Takataka za mleta mada... Kuna ulazima gani wa hizo mechi mpka ukawatumia wachezaji ambao wapo kwenye mashindano mhimu kuliko hilo Bonanza?. Yaan timu ichukuliwe wachezaji 8-9 ambao n first 11 kuanzia 17-27 afu 29-30 mechi unasema hakuna athiri?. Kuna sababu gani za timu kukqaa kambini na kufanya mazoezi pamoja kama hizo hoja zako Zina mashiko?. Punguzeni utahira .
 
Utopolo wazingue wenyewe tu
Imagine wametoka kucheza mechi ngumu na Algeria jana tu, halafu moja kwa moja wanakuja Dar kujiunga na wenzao. Kuna watu kama wangelazimishwa kufuata hii ratiba wangeandamana
 
Hakuna cha kujifunza.

Mpira wetu unawatu wanaotaka kuzipiku record za Simba kwa namna yoyote iwe ni kwa kumkwamisha ama kwa kumzidi kimatokeo.
Watu wana uthubutu wa kuwalipa baadhi ya wachezaji ili wawaumize wachezaji wa timu inayokwenda kucheza kimataifa.
Kuna uhuni mwingi unafanyika kukwamishana ili tu ionekane tupo sawa au wametuzidi.
Wahuni hawa ndio waliovaa jezi za Kaizer na Orlando.Tusiwachukulie poa wahuni hawa
Wahuni siyo watu
20240320_131628.jpg
20240320_131620.jpg
 
Back
Top Bottom