Siku 3 kabla ya kucheza na Yanga, wachezaji 7 wa Mamelodi Sundowns watakuwa Algeria kwenye majukumu ya kitaifa

Siku 3 kabla ya kucheza na Yanga, wachezaji 7 wa Mamelodi Sundowns watakuwa Algeria kwenye majukumu ya kitaifa

Imagine wametoka kucheza mechi ngumu na Algeria jana tu, halafu moja kwa moja wanakuja Dar kujiunga na wenzao. Kuna watu kama wangelazimishwa kufuata hii ratiba wangeandamana
1) wachezaji wangapi wa Mamelod waliopangwa kwenye mechi dhidi ya Algeria?
2) Yanga imewaruhusu wachezaji wake wote walioitwa na timu za taifa wakajumuike na timu.
Pacome, Azizi ki, Mudathir, Diarra, Bacca, Musonda, sasa tofauti hapo ni kipi?
 
Back
Top Bottom