Tetesi: Siku 7 Zijazo Mbunge Mwingine wa Babati kutimkia CCM

Status
Not open for further replies.
Chadema itabidi wamwite tena Upendo Peneza kukemea hii tabia ya machadema kujiuza kwa reja reja. Dah.
 
Hii kweli ni fedheha kwa upinzani. Tatizo unaweza kuta hawa wote waliokuwa CCM na sasa wanarudi walikotoka. Yawapasa kufa na wanachama wenu asili, sio hawa wanaokuja kutafuta madaraka. Utakuta mtu alikuwa upande ule akakosa uteuzi kugombea ubunge anakubaliwa kurukia upinzani pasipo kufanyia veting anakubaliwa. Ndio hawa wanatufadhaisha wapiga kura wao. Tunakoenda watu wengi watagoma kushiriki uchaguzi kwa sababu ya kadhia hii. Vya ma vya upinzani vijitafakari kwa kweli, ukichukulia ushindi ulipatikana kwa kumwaga dau.
 
Na hakika hao ndio wangekuwa Mawaziri wa Nchi hii. Kabla ya kununuliwa wangekuwa wameishauza raia wote wa nchi hii, wangekuwa wameuza mbuga zetu, wangekuwa wameishauza Maliasili zote za nchi.
Zawadi yako ya Noeli: kima.
 

Mimi sipati picha pale chama kikongwe, kikuu, kinapowanunua wabunge wa upinzani ili kuufifisha upinzani kama sio kuua. Hizo hela za marudio ya uchaguzi tungelifanya nazo kitu kwenye huo huo mkoa na huku tukijua kuwa tuna coverage ya Press tukajionesha tunapofanya hayo mema, unataka kutuambia kuwa tusingeli pendwa?? Nadhani tatizo sio kununuliwaa bali kufikia hatua ya kuwanunua.
Je, tutawaanunua waliowachagua?? Ningeshauri, njia hii ife tutafute njia mbadala.Mpaka sasa hawafurukuti, tumeshawashikisha adabu kiuchumi, kuwanunua sio njia nzuri.
 
Sidhani kama Pauline Gekul amefikia hapo
 
Kwa nini muandike na mate kumbe wino upo? Hivi yule wa JPM na madiwani wake 7 au 8 bado wako njiani au ndo huyo?
 
Nafasi wataichukuaje wakati wamesusia uchaguzi?
 
mleta mada ebu ongeza nyama(madini) kidogo maana habari inaonekana ya kimbea sana
 
Kule waendako pia watapewa madaraka makubwa. Je utawaamini au hutawaamini. Na je, sheria ya rushwa ni kwa yule anayepokea tu au ni pamoja na yule atoae.?
Unamwamini aliye nunua lakini humwamini aliye nunuliwa[emoji87]
 
Pia kuna tetes kuwa Nape na Kinana wakachomoka
 
Ishitakiwe Katiba inayoruhusu marudio ya chaguzi mara mbunge anapojiuzulu bila kujali sababu ya Kufanya hivyo lkn ishitakiwe kwa kutoa uhuru wa mtanzania kuhama chama.
 
Hao CCM wanaowanunua kwanni hulalamiki ila unalalmikia wanaochukua hongo kutokana na njaa zao

Hao ccm waliouza nchi kupitia mikataba mibovu na sheria mbovu kabisa ndio unawaamini??? Yaani mbunge mmoja wa upinzani ndio akufanye usiamini kambi nzima alafu unaiamini serikali ya ccm ambao kwa miaka 50 wameuza tembo wetu na madini yetu kwa wazungu

Ur not serious
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…