Siku aliyozaliwa Yesu bado Kitendawili

Siku aliyozaliwa Yesu bado Kitendawili

Kuna shida gani kwani? Tatizo liko wapi kama wamekubalina hivyo.

Bibi yangu hakuwa anajua alizaliwa lini. Zaidi ya kusema kipindi cha nzige. Akaamua kuweka birthday yake tar 1 march 1932. Na sisi tukakubaliana na pendekezo lake and we were all happy 1st of march ikifika.

As long wao wamekubaliana tar 25 ndo siku ya kuzaliwa kwa mwokozi wao....acha wafurahie, usiwaingilie.
 
Kuna shida gani kwani? Tatizo liko wapi kama wamekubalina hivyo.

Bibi yangu hakuwa anajua alizaliwa lini. Zaidi ya kusema kipindi cha nzige. Akaamua kuweka birthday yake tar 1 march 1932. Na sisi tukakubaliana na pendekezo lake and we were all happy 1st of march ikifika.

As long wao wamekubaliana tar 25 ndo siku ya kuzaliwa kwa mwokozi wao....acha wafurahie, usiwaingilie.
Unawasemea?
 
Unaweza kuwa sahihi Kwa upande mmoja,

Swali ni je, Roho mtakatifu ndiye aliyeelekeza TAREHE 25 DECEMBER iwe siku ya kusherehekea Kuzaliwa Kwa Yesu?
Roho Mtakatifu ni mwalimu wetu na anatufundisha tunajua...

Ila suala la mwanadamu kupanga siku ya kufurahia kwa Mkombozi wa maisha yake analo yeye mwenyewe...
 
Kwa nini wewe hilo likunyime usingizi mwishowe upooze mwili bure..😛😛

Wewe nani alikwambia kwamba kupiga jiwe kwa mawe inaweza ikakuondolea dhambi..😛😛

Au kwamba ukimuua mtu wa imani tofauti na wewe unaenda ahera kupewa mabikra 72 wenye macho kama mayai na uume unaosimama masaa 24/7 x 52 na pombe inayotiririka kwenye mito..😂😂😂
 
Roho Mtakatifu ni mwalimu wetu na anatufundisha tunajua...

Ila suala la mwanadamu kupanga siku ya kufurahia kwa Mkombozi wa maisha yake analo yeye mwenyewe...
Una ushahidi wa kimaandiko kuhusu Ruhusa hiyo?

Roho mtakatifu ndani Yako anakushuhudia kuwa unachofanya ni sahihi mwana wa Mungu Donatila ?
 
Kwa nini wewe hilo likunyime usingizi mwishowe upooze mwili bure..😛😛

Wewe nani alikwambia kwamba kupiga jiwe kwa mawe inaweza ikakuondolea dhambi..😛😛

Au kwamba ukimuua mtu wa imani tofauti na wewe unaenda ahera kupewa mabikra 72 wenye macho kama mayai na uume unaosimama masaa 24/7 x 52 na pombe inayotiririka kwenye mito..😂😂😂
Mimi ni Mkristo Kwa Imani, Si Kwa Dini na dhehebu,

Swali Hilo wanaulizwa wakristo wenye sifa hapo juu!!
 
Salaam ,Shalom.

Mkristo anayeulizwa swali hili ni yule Aliyeokoka, aliyejazwa Roho mtakatifu, aaminiye juu ya karama Tano, miujiza, unabii na kunena Kwa lugha vikiwemo, aliyebatizwa Kwa maji mengi na Kwa Moto wa Roho mtakatifu.

Roho mtakatifu ndiye kiongozi,mwalimu na mtoa maelekezo wetu,

Swali ni je, lini Roho mtakatifu alitoa maelekezo Kwa wakristo lini kusherehekea siku ya Kuzaliwa Yesu Kristo Kila TAREHE 25 DECEMBER?

Pia je, yupo mwenye andiko lolote linaloelekeza mkristo kusherehekea BIRTHDAY?

Mungu awabariki, karibuni.

Amen
Yaani ni inachosha. hakuna sehemu yoyote hawa mitume waliagiza tusherehekee birthday zao, wala tarehe za kuzaliwa kwao hazijulikani, hivi tunahangaikia nini, mwisho tufanye dhambi ya uongo
Mtume Mohamad ndo kabisa waumini wake wanaamua tu siku yoyote wanasherhekea, wanaziba hadi barabara . hivi mnatafuta nini
Naamini ni kazi ya muovu
 
Salaam ,Shalom.

Mkristo anayeulizwa swali hili ni yule Aliyeokoka, aliyejazwa Roho mtakatifu, aaminiye juu ya karama Tano, miujiza, unabii na kunena Kwa lugha vikiwemo, aliyebatizwa Kwa maji mengi na Kwa Moto wa Roho mtakatifu.

Roho mtakatifu ndiye kiongozi,mwalimu na mtoa maelekezo wetu,

Swali ni je, lini Roho mtakatifu alitoa maelekezo Kwa wakristo lini kusherehekea siku ya Kuzaliwa Yesu Kristo Kila TAREHE 25 DECEMBER?

Pia je, yupo mwenye andiko lolote linaloelekeza mkristo kusherehekea BIRTHDAY?

Mungu awabariki, karibuni.

Amen
Hebu tueleze japo kidogo, kuna dhambi gani kusherehekea kuzaliwa kwa Yesu?
Pia kusherehekea birthday kuna ubaya gani?
Eleza hayo inawezekana tukakuelewa.
 
Kwani ina athari gani kiroho? Hoja kwamba tarehe haijasemwa na biblia kuna kuna ubaya gani kukumbuka kuzaliwa kwa Bwana wetu Yesu Kristo kila desemba 25? Haina haja ya kuanza kukokotoa mahesabu ya siku ili kuipata tarehe hiyo, itoshe tu kuadhimisha siku hiyo
 
Back
Top Bottom