Salaam ,Shalom.
Mkristo anayeulizwa swali hili ni yule Aliyeokoka, aliyejazwa Roho mtakatifu, aaminiye juu ya karama Tano, miujiza, unabii na kunena Kwa lugha vikiwemo, aliyebatizwa Kwa maji mengi na Kwa Moto wa Roho mtakatifu.
Roho mtakatifu ndiye kiongozi,mwalimu na mtoa maelekezo wetu,
Swali ni je, lini Roho mtakatifu alitoa maelekezo Kwa wakristo lini kusherehekea siku ya Kuzaliwa Yesu Kristo Kila TAREHE 25 DECEMBER?
Pia je, yupo mwenye andiko lolote linaloelekeza mkristo kusherehekea BIRTHDAY?
Mungu awabariki, karibuni.
Amen