Siku ambayo askari MP alipojitayarisha kumpiga risasi askari Sajenti kwa amri ya Mkuu wa Kambi ya Mgambo JKT

Kuna Jambo kubwa la kujifunza...hii hulka ipo huku makanisani.mchungaji hataki uhoji mlolongo wa maamuzi .ukihoji procedures tu, unatengwa.
Huenda hekima ZAIDI NI kutii na kujifanya mjinga MAANA anaweza fanya maamuzi mabaya Kama usemavyo hapo juu.
Kwa hoja yako huyo luten aliudhiwa na offence iliyojitokeza na siyo kumwagika kwa pombe.mkuu angetatua hiyo offence tu.wanasema ukitaka kujua hasira ya mlevi mwaga pombe yake.hawasemi ukitaka kuona wema wa mlevi lipa pombe yake.
 
Napata shida kuamini kuwa Kuruta wa operesheni Nidhamu wanashindwa kutofautisha majina ya silahaza msingi wanazocheza nazo wakati mwingi.


Pia kuna SMG ( Sub Machine Gun) yenye magazine inayobeba risasi 30.
Pia najua kuna utamaduni wa jeshi kuwa askari huwa wanakuwa na hall zao za chakula na starehe kulingana na vyeo vyao, kiasi kuwa ni nadra kuona Mkuu wa Kikosi mwenye cheo cha Juu, kujumuika kwenye starehe katika bwalo na askari wa ngazi za chini.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…