Natafuta Ajira
JF-Expert Member
- Mar 25, 2020
- 9,016
- 24,650
Mara moja moja kwa interval ipi mkuu?Ulaji wa chpsi kwa mara moja moja hauna madhara
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mara moja moja kwa interval ipi mkuu?Ulaji wa chpsi kwa mara moja moja hauna madhara
Hizi dharau sasa, unataka kusema chips za mama isuja wa tabata pale sio tamu, yaani hao jamaa wamshinde mama Isuja kweli? [emoji848]Ila chips ni tamu, kuna chips zinaandaliwa pale UHONDO TAKE AWAY Mwanza, hawa jamaa.....mbinguni moja kwa moja room yao itakua na ac na chaja ya type c walah bila kusahau free Wi-Fi
Duuh 😹Ila chips ni tamu, kuna chips zinaandaliwa pale UHONDO TAKE AWAY Mwanza, hawa jamaa.....mbinguni moja kwa moja room yao itakua na ac na chaja ya type c walah bila kusahau free Wi-Fi
Tembelea migahawa ya wapemba Kariakoo na Ilala sema uwe tayari kulipa 5000 au zaidi kwa mlo mmoja.Kwa Dar migahawa mingi hawajui kupika, wanachojua ni kuweka nyanya na nazi za dukani tu,
So alternatively unaona bora ule chips tu
Mama Isuja arudi VETAHizi dharau sasa, unataka kusema chips za mama isuja wa tabata pale sio tamu, yaani hao jamaa wamshinde mama Isuja kweli? [emoji848]
Njaa ni kali baba me siwezi kukaa na njaa wakati vijisenti vipi mfukoni 😃😃😃😃😃Sikutegemea nione bonge kama wewe unakula chips tena hadharani mwanangu😂😂
Uingereza na Ufaransa ndio wagunduzi wa chips, wameanza kula chips kabla hawajaja Afrika. Life expectancy ya Mwingereza ni miaka 80 wakati life expectancy ya mbongo ni miaka 60 na kitu.Wanaume wa daslama hata utie sumu kwenye chips wakiwa wanakuona watakula tuu, sisi tunaokula viazi vitamu vya kuchemsha na nguna ya maana wanatuona washamba lakini miaka sio mingi tutajua nani mjanja nani mshamba
Mkuu nilipo ndo utapata hasira zaidi hivi vyakula sijui wali ndiz nk, bei ndo inaanza elf 5 ila ukilipa utasonya tu, kuoika hawajui af wanajifanya brand. So i opt fo chipsTembelea migahawa ya wapemba Kariakoo na Ilala sema uwe tayari kulipa 5000 au zaidi kwa mlo mmoja.
Vinginevyo kama budget yako ni kula kwa buku 2 huwezi kula vilivyopikwa kitaalamu.
Punguza vyote ila sio kumpunguzia mwamba pa kukamatia🤪Nimepunguza kula kg 4 zimeanguka
Huwa anakamata kitambi! Kasema hataki kukiona ndo najitahidi kipungue kama sio kuisha kabisaPunguza vyote ila sio kumpunguzia mwamba pa kukamatia🤪
Ni kweli, kitambi kwa Ke no turn off. Ila nyama zingine ni mzuqa sana..hasa!!Huwa anakamata kitambi! Kasema hataki kukiona ndo najitahidi kipungue kama sio kuisha kabisa
Aliekuambia Mimi nakunywa pombe au hizo panadol na mataka taka mengine uliyo andika hapa ni nani 🤔watu wenye akili za kidaslama mkiona au kusikia chipsi inasemwa vibaya hua mnalukwa na akili kabisa yani🤔 wewe endelea kula michips yako hujakatazwa na mtu yeyoteUingereza na Ufaransa ndio wagunduzi wa chips, wameanza kula chips kabla hawajaja Afrika. Life expectancy ya Mwingereza ni miaka 80 wakati life expectancy ya mbongo ni miaka 60 na kitu.
Yaani unywe panadol za 100 za Mhindi kiwanda cha uchochoroni, unywe visungura na Konyagi fake, uende hospitali uchwara uambiwe una UTI ambayo huna na upewe dawa za Kipakistani, ule unga uliosagwa kwa mahindi yenye sumu kuvu kisa utunzaji mbaya wa nafaka, ujipake mafuta ya Kichina yenye kemikali za sumu, uishi na mbuzi na kuku kwenye nyumba hiyohiyo. Alafu utarajie kuishi maisha marefu kisa huli chips.
Vijijini ndio kuna watu wenye umri mrefu kushinda mijini alafu mtu kula viazi au nguna sio kwamba ni kionesho anaishi Kijijini acha ushambaRaia wa vijijini wanaishi maisha mafupi kuliko mijini