Evelyn Salt
JF-Expert Member
- Jan 5, 2012
- 70,916
- 141,437
SijambooKama vile naanza kuku kumbu kaa...huja mboo?🙂
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
SijambooKama vile naanza kuku kumbu kaa...huja mboo?🙂
tena hiyo chaja ni ya watts100Ila chips ni tamu, kuna chips zinaandaliwa pale UHONDO TAKE AWAY Mwanza, hawa jamaa.....mbinguni moja kwa moja room yao itakua na ac na chaja ya type c walah bila kusahau free Wi-Fi
Umenikumbusha mbali Sana Eve enzi hizo naishi Mwanza.Ila chips ni tamu, kuna chips zinaandaliwa pale UHONDO TAKE AWAY Mwanza, hawa jamaa.....mbinguni moja kwa moja room yao itakua na ac na chaja ya type c walah bila kusahau free Wi-Fi
Zile chips huwezi pata popote ile ladha, na zile ice cream za salma cone.....i miss home kwakweliUmenikumbusha mbali Sana Eve enzi hizo naishi Mwanza.