Siku hizi kila mgahawa una banda la chipsi, na 90% ya wateja utawakuta wanakula chipsi

Siku hizi kila mgahawa una banda la chipsi, na 90% ya wateja utawakuta wanakula chipsi

Ila chips ni tamu, kuna chips zinaandaliwa pale UHONDO TAKE AWAY Mwanza, hawa jamaa.....mbinguni moja kwa moja room yao itakua na ac na chaja ya type c walah bila kusahau free Wi-Fi
Umenikumbusha mbali Sana Eve enzi hizo naishi Mwanza.
 
Back
Top Bottom