Ni wapi hapo Ijumaa nikununue zako na zanguIla chips ni tamu, kuna chips zinaandaliwa pale UHONDO TAKE AWAY Mwanza, hawa jamaa.....mbinguni moja kwa moja room yao itakua na ac na chaja ya type c walah bila kusahau free Wi-Fi
La Mama OGπ€£Ila chips ni tamu, kuna chips zinaandaliwa pale UHONDO TAKE AWAY Mwanza, hawa jamaa.....mbinguni moja kwa moja room yao itakua na ac na chaja ya type c walah bila kusahau free Wi-Fi
Hiyo ni figure of speech sijakusema wewe. Naamanisha kwa maisha ya Mtanzania wa kawaida, kutokula chips hakukuokoi na lolote. Kama ni hivyo Mwanza na Shinyanga zisingekuwa zinaongoza kwa wagonjwa wa kansa wakati wanaishi uko vijijini. Hawali chips, ila wanatumia maji yenye mercury kutokana na uchimbaji madini.Aliekuambia Mimi nakunywa pombe au hizo panadol na mataka taka mengine uliyo andika hapa ni nani π€watu wenye akili za kidaslama mkiona au kusikia chipsi inasemwa vibaya hua mnalukwa na akili kabisa yaniπ€ wewe endelea kula michips yako hujakatazwa na mtu yeyote
Kazi kweli kweli2022-2024 nimekula chipsi mayai ya kienyeji mara 5, nyama ya ng'ombe ya kubanika mara 12.
2010-2024 soda fanta orange mara 2 tu.
Ubinadamu ni kazi/The humanity is a work.
Balewa road....nyuma ya Nyanza primary.Ni wapi hapo Ijumaa nikununue zako na zangu
Tafuta takwimu acha ujuaji mijini Kuna huduma safi za afya, maji safi, vyoo vya kutosha etcVijijini ndio kuna watu wenye umri mrefu kushinda mijini alafu mtu kula viazi au nguna sio kwamba ni kionesho anaishi Kijijini acha ushamba
Mimi mgahawani huwa nauliza ugali, kwa sababu naamini hauna ufundi sana wa kupika. Nishakuwa dissappointed sana wali. Nikikosa ugali, I prefer chips to wali.Kwa Dar migahawa mingi hawajui kupika, wanachojua ni kuweka nyanya na nazi za dukani tu,
So alternatively unaona bora ule chips tu
Vipi kuhusu mboga? Mana mi wananikera na viungo vyao vya dukan sijui ni madude gani yaleMimi mgahawani huwa nauliza ugali, kwa sababu naamini hauna ufundi sana wa kupika. Nishakuwa dissappointed sana wali. Nikikosa ugali, I prefer chips to wali.
After all, we shall all perish.
Uzuri wa ugali hauhitaji michuzi. Ni mboga kavu kavu....samaki mkavu, nyama choma na majani kidogo inatosha.Vipi kuhusu mboga? Mana mi wananikera na viungo vyao vya dukan sijui ni madude gani yale
Wewe ndio utafute takwimu sio unakurupuka kuandika ilimradi na wewe uonekane umeandikaTafuta takwimu acha ujuaji mijini Kuna huduma safi za afya, maji safi, vyoo vya kutosha etc
Huwezi kusingizia chips tu kwa athari mbaya za kiafya!Hii trend sasa ni rasmi katika miji yote. 99% ya migahawa au cafe au vyovyote vile utakavyoiita, kwa nje lazima waweke na banda la chipsi.
Na 90% ya wateja utawakuta wanakula chipsi. Na wakila chipsi lazima wanunue na kinywaji kama soda cha kusukumia hizo chipsi, kama ujuavyo chipsi ni viazi na vina tendecy ya kukwama kooni.
Mimi sina neno na ulaji wenu, ila ndani ya miaka 10 ijayo tujiandae kuteseka na magonjwa yasiyoambukiza ambayo ni mabaya kushinda yanayoambukiza.
Sababu kuu ni kwamba mijini wengi wetu hatufanyi manual works, tunafanya tu light duties ambazo hazifanyi kuyatumia hayo mafuta tunayoyala kwa wingi. Mwisho wa siku yanakundikana mwilini na kuziba mishipa ya damu, hii inapelekea moyo kupata shida ya kusukuma damu na kuishia kwenye magonjwa kama Presha ya Kupanda na Kisukari.
Kwa sasa ukienda hospitali ya taifa Muhimbili, kwa siku hukosi wagonjwa wapya wa Kiharusi (Stroke) kuanzia 5 na kuendelea. Jiji la Dar miaka 10 kila nyumba itakuwa na atleast mwanafamilia mwenye magonjwa yasiyoambukiza hasa Pressure na Kisukari.
Chukua hatua, uamuzi ni wako kusuka au kunyoa.
View attachment 3002692
View attachment 3002694
Ukosefu wa elimu ndio unakudanganya kuona tofauti ya mihogo na viazi ulaya ama chips.Nimeamua kukwepa ulaji wa vitu vyenye uwezo wa kuniathiri kwa kujenga ukaribu na wanakijiji wa hali ya chini sana ,hivyo juma zima utakuta ni Mimi na mihogo na maji ya Bomba ,Mara ugali wa uwele maana sikati mguu majumbani mwao
π Pole yako kwa kuhisi kila kitu serious ,vipi mwenye elimu ya lishe nile nini niishi milele ?Ukosefu wa elimu ndio unakudanganya kuona tofauti ya mihogo na viazi ulaya ama chips.
Hivi vitu havina tofauti kabisa.Vyote shida ni moja
DuhIla chips ni tamu, kuna chips zinaandaliwa pale UHONDO TAKE AWAY Mwanza, hawa jamaa.....mbinguni moja kwa moja room yao itakua na ac na chaja ya type c walah bila kusahau free Wi-Fi
Mkuu ulikosa kazi yakufanya mpaka ukaamua kupiga wateja picha na sura zaoHii trend sasa ni rasmi katika miji yote. 99% ya migahawa au cafe au vyovyote vile utakavyoiita, kwa nje lazima waweke na banda la chipsi.
Na 90% ya wateja utawakuta wanakula chipsi. Na wakila chipsi lazima wanunue na kinywaji kama soda cha kusukumia hizo chipsi, kama ujuavyo chipsi ni viazi na vina tendecy ya kukwama kooni.
Mimi sina neno na ulaji wenu, ila ndani ya miaka 10 ijayo tujiandae kuteseka na magonjwa yasiyoambukiza ambayo ni mabaya kushinda yanayoambukiza.
Sababu kuu ni kwamba mijini wengi wetu hatufanyi manual works, tunafanya tu light duties ambazo hazifanyi kuyatumia hayo mafuta tunayoyala kwa wingi. Mwisho wa siku yanakundikana mwilini na kuziba mishipa ya damu, hii inapelekea moyo kupata shida ya kusukuma damu na kuishia kwenye magonjwa kama Presha ya Kupanda na Kisukari.
Kwa sasa ukienda hospitali ya taifa Muhimbili, kwa siku hukosi wagonjwa wapya wa Kiharusi (Stroke) kuanzia 5 na kuendelea. Jiji la Dar miaka 10 kila nyumba itakuwa na atleast mwanafamilia mwenye magonjwa yasiyoambukiza hasa Pressure na Kisukari.
Chukua hatua, uamuzi ni wako kusuka au kunyoa.
View attachment 3002692
View attachment 3002694
Kama vile naanza kuku kumbu kaa...huja mboo?πIla chips ni tamu, kuna chips zinaandaliwa pale UHONDO TAKE AWAY Mwanza, hawa jamaa.....mbinguni moja kwa moja room yao itakua na ac na chaja ya type c walah bila kusahau free Wi-Fi
π€£π€£ bila kusahau heater ya kupozea maji ...Hizi dharau sasa, unataka kusema chips za mama isuja wa tabata pale sio tamu, yaani hao jamaa wamshinde mama Isuja kweli? [emoji848]