Eli Cohen JF-Expert Member Joined Jun 19, 2023 Posts 4,460 Reaction score 13,715 Nov 2, 2024 #1 Nilipochoka zaidi ni pale yule binti aliepata skendo ya kujiingiizia chupa kuanza kupata marketing deals kwenye vikampuni fulani hivi𤣠Anyway maisha yaendelee.
Nilipochoka zaidi ni pale yule binti aliepata skendo ya kujiingiizia chupa kuanza kupata marketing deals kwenye vikampuni fulani hivi𤣠Anyway maisha yaendelee.
Nyafwili JF-Expert Member Joined Nov 27, 2023 Posts 4,240 Reaction score 10,561 Nov 2, 2024 #2 Maisha ya sasa, inabidi tukubali kuwa Haiwezekani kurudi maisha ya zamani. Na tutafika mbali zaidi, hata viongozi wa nchi watakuwa hawana maadili
Maisha ya sasa, inabidi tukubali kuwa Haiwezekani kurudi maisha ya zamani. Na tutafika mbali zaidi, hata viongozi wa nchi watakuwa hawana maadili
Eli Cohen JF-Expert Member Joined Jun 19, 2023 Posts 4,460 Reaction score 13,715 Nov 2, 2024 Thread starter #3 Nyafwili said: Maisha ya sasa, inabidi tukubali kuwa Haiwezekani kurudi maisha ya zamani. Na tutafika mbali zaidi, hata viongozi wa nchi watakuwa hawana maadili Click to expand... Kabisa yana uchi uchi ndio umekuwa a new normal
Nyafwili said: Maisha ya sasa, inabidi tukubali kuwa Haiwezekani kurudi maisha ya zamani. Na tutafika mbali zaidi, hata viongozi wa nchi watakuwa hawana maadili Click to expand... Kabisa yana uchi uchi ndio umekuwa a new normal