Kimwakaleli
JF-Expert Member
- Apr 16, 2018
- 7,755
- 11,737
Huyo swine ni haramu pia anamagonjwa kibao na ni mtamu kwa kweli,tunaharalisha tuu!Nina jamaa yangu Yusuf mtoto wa Mazenze Mzaramo halisi yeye anakwambia niite Yusuf hataki unafiki na msikitini anaingia kama kawaida anakwambia Mungu ndiye anajua imani yake.
Shida jamii kubwa sisi wenye hizi imani huwa kuna wakati huwaona wenzetu kiimani kama wamekengeuka sanaa kwa sababu wametenda dhambi au wameenda tofauti na katazo fulani ktk dini tukijisahau na sisi at some points zipo dhambi mbaya na chafu zaidi tunazitenda juu ya nafsi zetu
Wakristo huwa mnanishangaza ,huwa mnasema mungu wenu wa israel, sasa wa israel mungu wao kawakataza kula kiti moto, na wanakula halal foods kama waislamu wao wanaita kosher, sasa huoni hapo mungu wenu sio wa waisrael?WANAJITESA BURE TU NA NDUGU ZAO WASABATO YESU KRISTO ALISHATAKASA VYAKULA VYOTE ILA WAO WANAVIITA NAJISI AFU WANAKULA KWA SIRI.
SISI MUNGU WETU NI YESU MWANA WA MUNGUWakristo huwa mnanishangaza ,huwa mnasema mungu wenu wa israel, sasa wa israel mungu wao kawakataza kula kiti moto, na wanakula halal foods kama waislamu wao wanaita kosher, sasa huoni hapo mungu wenu sio wa waisrael?
Hata Biblia yetu ,ambao ni mwongozo wetu Wakristo!Swine amekatazwa ni Haram (Kumbukumbuku la torati 11)Nimeyaona maandishi yako hayaendani na ulichowndikq ndiyo maana nikakuuliza.
Kuna uwezekano umelitumia hilo neno sivyo.
Kama binadam, Mwongozo wetu ni Qur'an, kitabu kisicho na shaka.
Siyo kufata mawazo yetu.
Hata imamu wako wa msikiti anakula MKUU WA MEZAHao ni "waislam" kwa majina lakini siyo wa Kiislam kwa vitendo.
Eneo la kusini mwa tz kuanzia muhoro, somanga, Kilwa , lindi mtwara hadi tunduru kuna waislamu wazuri sana."sympathy" ndiyo nini?
Sio Wakristo wote mkuu,swine ni Haram!Wakristo huwa mnanishangaza ,huwa mnasema mungu wenu wa israel, sasa wa israel mungu wao kawakataza kula kiti moto, na wanakula halal foods kama waislamu wao wanaita kosher, sasa huoni hapo mungu wenu sio wa waisrael?
Hakula swineSISI MUNGU WETU NI YESU MWANA WA MUNGU
Ok ,kwa hiyo siyo wa israel maana wao hawaamini kwamba yesu ni munguSISI MUNGU WETU NI YESU MWANA WA MUNGU
Mluhya =muhaya/ mjita kitabia hata lugha zao zinaingilianaWe Mkenya unapenda sana ugomvi. 😀😀😀 We utakuwa mluya maana sio kwa shari hii.
Alikuwa kamuhifadhi waandishi watu wabaya sana.
ALIKULAHakula swine
Yeah alitaka kwa ajili ya soup kule msikitini kwake...Alikuwa kamuhifadhi waandishi watu wabaya sana.
Uliyosema kwa asilimia kubwa ni sahihi,lkn si kila mwenye kufanya dhambi ni kafiri,muislamu anaweza kuwa na mapungufu na kufanya dhambi lkn hajapinga uwepo wa Mungu mmojaWaislam wa majina tu siyo nguruwe tu, pombe wanalewa, uasherati na uzinzi wanafanya, ushoga wanafanya. Kamsri wanacheza.
Wote wanaofanya hayo, wawe au wasiwe Waislam, wanafanya kufuru. Ni makafiri.
Kafiri hana imani kwake, fini au imani fulani kwake ni lebo tu.
Uislam siyo lebo, ni mfumo kamili wa maisha.
BossIli uwe muislam unatakiwa ufate mafundiso ya uislam usipofata moja kwa moja umejitoa kwenye uislam kwahiyo kama wanakula tayari wamejitoa katika uislam.
Acha kuharibu hesabu zetu huy mdudu mtamu aseee ukute aliechinjwa n aina ya DUROC mchek hapo kwa profile huy hana sifa ya mafuta meng n kiduch sanaa ila stake n zakutosha n bleed flan hiv yenye akil sanaaa ACHA NIKUPE MBINU NYINGINE ZA KIVITA ili ujue huy mwamba ana kazi nyingi tuuu hapa mjin nguruwe anae nyonyesha sahiv n dill sanaaa hasa kwa mazingira nayoish MKAMUE MAZIWA KIDUCHU KA KIJIKO KIMOJA changanya kwenye pombe anayoipenda huyu mlevi wetu anayetamani kuacha pombe ila kila siku anashindwa kuacha ATAKUSHUKURU miaka 1000,,,Sitasema vijana wote wa kiislam. Coz nitahitaji more proof lakini hii ina ukweli mno sababu 70% ya hao ambao sikutarajia wataagiza msosi huo waliuagiza na wanazitafuna bila haya.
Sijui ni nini kimewapata vijana hawa ambao wengine mchana wanaitwa ustaadh na kanzu wanazo.
Nina hakika kuna shida sehemu.
Nguruwe mtamu kuna shehe huku kwetu kaiba nguruweHao ni "waislam" kwa majina lakini siyo wa Kiislam kwa vitendo.
Sio vijana tu mkuu. Hata mashehe wanakula mdudu, tena hadharani bila kificho chichote.Sitasema vijana wote wa kiislam. Coz nitahitaji more proof lakini hii ina ukweli mno sababu 70% ya hao ambao sikutarajia wataagiza msosi huo waliuagiza na wanazitafuna bila haya.
Sijui ni nini kimewapata vijana hawa ambao wengine mchana wanaitwa ustaadh na kanzu wanazo.
Nina hakika kuna shida sehemu.
Kumbe maziwa ya mdudu ni dawa kwa waraibu wa pombe? Asante kwa kunifumbua macho mkuu.Acha kuharibu hesabu zetu huy mdudu mtamu aseee ukute aliechinjwa n aina ya DUROC mchek hapo kwa profile huy hana sifa ya mafuta meng n kiduch sanaa ila stake n zakutosha n bleed flan hiv yenye akil sanaaa ACHA NIKUPE MBINU NYINGINE ZA KIVITA ili ujue huy mwamba ana kazi nyingi tuuu hapa mjin nguruwe anae nyonyesha sahiv n dill sanaaa hasa kwa mazingira nayoish MKAMUE MAZIWA KIDUCHU KA KIJIKO KIMOJA changanya kwenye pombe anayoipenda huyu mlevi wetu anayetamani kuacha pombe ila kila siku anashindwa kuacha ATAKUSHUKURU miaka 1000,,,