Siku kadhaa kupita bila majibu baada ya TelAviv kudundwa na ballistic kutoka Yemen kuna ujumbe mzito.

Siku kadhaa kupita bila majibu baada ya TelAviv kudundwa na ballistic kutoka Yemen kuna ujumbe mzito.

Siku droni ya houthi ilipoweza kupenya mpaka TelAviv na kupiga jengo liliosababisha kifo cha mtu mmoja na kujeruhi kadhaa,papo kwa papo asubuhi yake tukasikia bandari ya Hodeida imeshambuliwa.
Kwa shambulio la ballistic hapo juzi na kupita siku mbili bila majibu kuna mambo mengi ya kujiuliza.

Jee Israel imeanza kutetemeka inapopigwa, hivyo kupata kigugumizi cha kujibu.Hapo zamani haikuwa hivyo.

Au wameogopa baada ya kujua kuwa Houth wana vitu kama hivyo vya ziada wanavyoweza kuvivurumisha tena Tel Aviv.Ikumbukwe Houth wameshazidondosha droni za MQ-R 9 kumi mpaka sasa.

Yawezekana ndio Israel inajipanga ili ikifanya shambulio liwe kubwa zaidi na kuongeza kutisha maadui zake kama ilivyosema baada ya kushambulia Hodeida kuwa piga lile lilikuwa ni ujumbe kwa maadui zake mashariki ya kati yote.


Ujumbe nilioupata binafsi ni kuwa Netanyahu na baraza lake wanafikiri itakuwaje iwapo ballistic kama ile ikirushwa mara ya pili na ikatua mjini kati TelAviv watawezaje kuzuia wananchi kuingia barabarani kwa nguvu kutaka kumuondoa madarakani.
Majibu ya Israel yatakuja tu, hata Houthi wanatambua hilo.
 
Siku droni ya houthi ilipoweza kupenya mpaka TelAviv na kupiga jengo liliosababisha kifo cha mtu mmoja na kujeruhi kadhaa,papo kwa papo asubuhi yake tukasikia bandari ya Hodeida imeshambuliwa.
Kwa shambulio la ballistic hapo juzi na kupita siku mbili bila majibu kuna mambo mengi ya kujiuliza.

Jee Israel imeanza kutetemeka inapopigwa, hivyo kupata kigugumizi cha kujibu.Hapo zamani haikuwa hivyo.

Au wameogopa baada ya kujua kuwa Houth wana vitu kama hivyo vya ziada wanavyoweza kuvivurumisha tena Tel Aviv.Ikumbukwe Houth wameshazidondosha droni za MQ-R 9 kumi mpaka sasa.

Yawezekana ndio Israel inajipanga ili ikifanya shambulio liwe kubwa zaidi na kuongeza kutisha maadui zake kama ilivyosema baada ya kushambulia Hodeida kuwa piga lile lilikuwa ni ujumbe kwa maadui zake mashariki ya kati yote.


Ujumbe nilioupata binafsi ni kuwa Netanyahu na baraza lake wanafikiri itakuwaje iwapo ballistic kama ile ikirushwa mara ya pili na ikatua mjini kati TelAviv watawezaje kuzuia wananchi kuingia barabarani kwa nguvu kutaka kumuondoa madarakani.
kweli ugaidi hauna dawa?
kwann magaidi wote wasiuwawe
kichaa cha dini hakina tiba ni kama rabies
 
Kwa tulivyotangaziwa kuhusu Israel majibu hayo ni woga mkubwa.Wanashindwa kuingia mipakani na kupigana ana kwa ana na Hizbullah
Kwani ni lazima iwe hivyo unavyowaza wewe nimekuuliza tangu mwanzo?Akili yako imeganda ndiyo maana unarudiarudia yaleyale.
 
Kwani ni lazima iwe hivyo unavyowaza wewe nimekuuliza tangu mwanzo?Akili yako imeganda ndiyo maana unarudiarudia yaleyale.
Akili mgando ni yako.Unashindwa kuona jinsi mzozo wa Gaza unavyowapagaisha mayahudi.
hakuna tena kulenga maadui ni kupiga tu mpaka watoto
 
Kwanini israel ikiwapiga magaidi wa kidini mnapenda kutumia neno watoto wameuawa ili dunia iwahurumie
Waarabu na jamii inayofanana nao hizo ndizo tabia zao kujidekeza na usaniisanii.Tazama hata kwenye mechi za mpira wa miguu:Kulalamika bila sababu,kujiangushaangusha na kutaka wapendelewe tu kila eneo.
 
Kwanini israel ikiwapiga magaidi wa kidini mnapenda kutumia neno watoto wameuawa ili dunia iwahurumie
Bila kusema watu wanaona isipokuwa vipofu kama wewe.Wanaouliwa wengi ni watoto na tunaona wamebebwa na wazazi na wakokozi wao.
 
Waarabu na jamii inayofanana nao hizo ndizo tabia zao kujidekeza na usaniisanii.Tazama hata kwenye mechi za mpira wa miguu:Kulalamika bila sababu,kujiangushaangusha na kutaka wapendelewe tu kila eneo.
Wanaojidekeza hakuna kama mayahudi mpaka wametunga hadithi za uongo za Holocast.Eti waliouliwa milioni 10.
Hata waliokuwa wanawaonea huruma wameanza kubadilika ndio maana unaona maandamano makubwa mpaka New York na London
 
Wanaojidekeza hakuna kama mayahudi mpaka wametunga hadithi za uongo za Holocast.Eti waliouliwa milioni 10.
Hata waliokuwa wanawaonea huruma wameanza kubadilika ndio maana unaona maandamano makubwa mpaka New York na London
Mimi naandika uhalisia,wewe unaandika viporojo vyako vikupooze uchungu.Kuna tofauti hapo kati ya kichwa chema na boga la futari.
 
Siku droni ya houthi ilipoweza kupenya mpaka TelAviv na kupiga jengo liliosababisha kifo cha mtu mmoja na kujeruhi kadhaa,papo kwa papo asubuhi yake tukasikia bandari ya Hodeida imeshambuliwa.
Kwa shambulio la ballistic hapo juzi na kupita siku mbili bila majibu kuna mambo mengi ya kujiuliza.

Jee Israel imeanza kutetemeka inapopigwa, hivyo kupata kigugumizi cha kujibu.Hapo zamani haikuwa hivyo.

Au wameogopa baada ya kujua kuwa Houth wana vitu kama hivyo vya ziada wanavyoweza kuvivurumisha tena Tel Aviv.Ikumbukwe Houth wameshazidondosha droni za MQ-R 9 kumi mpaka sasa.

Yawezekana ndio Israel inajipanga ili ikifanya shambulio liwe kubwa zaidi na kuongeza kutisha maadui zake kama ilivyosema baada ya kushambulia Hodeida kuwa piga lile lilikuwa ni ujumbe kwa maadui zake mashariki ya kati yote.


Ujumbe nilioupata binafsi ni kuwa Netanyahu na baraza lake wanafikiri itakuwaje iwapo ballistic kama ile ikirushwa mara ya pili na ikatua mjini kati TelAviv watawezaje kuzuia wananchi kuingia barabarani kwa nguvu kutaka kumuondoa madarakani.
Hizo silaha ni hatari nchi nyingi wanajizuia sana kuzitumia. We jiulize kwa nini Iran hajarusha makombora kama hayo?
 
Hizo silaha ni hatari nchi nyingi wanajizuia sana kuzitumia. We jiulize kwa nini Iran hajarusha makombora kama hayo?
Unakusudia hypersonic kwa vile mara nyingi inafika ilipokusudiwa hivyo kuweza kuzusha vita vikali zaidi.
Lakini Houth hawakuogopa hili na Israel mpaka sasa imehofu kujibu kichwa kichwa.
 
Unakusudia hypersonic kwa vile mara nyingi inafika ilipokusudiwa hivyo kuweza kuzusha vita vikali zaidi.
Lakini Houth hawakuogopa hili na Israel mpaka sasa imehofu kujibu kichwa kichwa.
Houth ni kundi la waasi
 
Vita ni mipango vita ni intellinjesia vita sio kukurupuka kama wale jamaa wa PGO wakiamka asbhi wanakuambia Kuna harufu ya vurugu kwenye maandamano ya Chadema.
 
Kwani hiyo israel bado inaendelea tu kupambana na vijinchi visivyo na teknolojia imekaaje hiyo ni kwamba israel ni dhaifu katika jeshi ikibidi wapigwe mpaka wafutike ulimwenguni israeli ni magaidi kama walivyo america!
MBWA MPAKA MWISHO WA ULIMWENGU NYIE MTAFUTIKA ISRAEL ITABAKI PALE PALE ALISHINDWA FIRAUNI NDO UJE WEWE UIFUTE
 
Back
Top Bottom