ukikaidi utapigwa2
JF-Expert Member
- Feb 24, 2015
- 15,265
- 29,991
Wakati mtu anatafta hela hua yupo peke yake, akizipta washauri wanaibuka
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Maisha ni yako labda ajijingee kaburiMarehemu asemwi vibaya ila huyu mwamba alinifurahisha sana.
Mmoja kati ya viungo bora kabisa wa enzi zake,siku moja kabla ya kifo chake,Isnsil Aden Rage akimpatia milioni zaidi ya kumi kama sehemu ya ada ya usajili wake.
Mafisango akaita marafiki zake wakaitumbua aswaa,ilikuwa ni kuhama bar tu mara mikocheni mara masaki mara kinondoni,mara paaa ajaki hii hapa
Tukaenda msibani aisee ni uswazi kama Tandale hakuna hata pa kufunga hema.
Naandika haya nikiwa bujumbura baada ya kuonyeshwa mjengo wa yule mzee wetu Saidoo,ni mjengo hata huko Tanzania hakuna mchezaji au celebrity anaweza kuumiliki.
Pole yao sana wafiwa...
Pole yao sana wafiwa...