Yani unaweza mtu kwa mwonekano. Wa nje lakini ya ndani yakaja kukushangazaMimi hua naona namna nzuri ya kuishi na mwanamke ni kumpuuza tu yani hakuna kumzingatia kwa 100%. Maisha ya kisasa vitu vingi vinapatikana kwa urahisi, tupeane nafasi ila tuchukue tahadhari maana kuishi kwenye usahihi haiwezekani tena.
Nitajitahidi kubadilika nipate walau Ata singo maza mmojaKuna ukimwi mkuu. Na tulia ili upate mali iliyotulia.
Jitahidi mkuuNitajitahidi kubadilika nipate walau Ata singo maza mmoja
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂Mateso ayo bwanUnakivuta kama hivi siku 3 uso juu...ukiulizwa umeshindaje unajibu shombo tu 😂 View attachment 3202587
Pole sana mkuuTulikaa vizuri mimi nayeye na alionesha kuridhia kuwa na mimi,
Wakati namtongoza nilimwambia najitafuta, akakubali maisha yangu, yeye akawa anafanya biashara ya kuuza duka la perfumes mainly (na cosmetics nyingine kwa ujumla)
Tumeishi kama miaka miwili kipindi hiko chote nilikuwa nampromise mambo yatakaa Sawa Sawa, anivumilie akawa anakibali tu, sometimes biashara yangu inadorola namwambia akiomba hela namwambia sina anavumilia hadi nikipata
👉Sasa picha linaanza nikaona kaanza kubadilika haniombi tena hela,nikawa Napita pale dukani nakuta wateja wengi nikahisi labda biashara yake inalipa maana alianza kupendeza sana
Siku moja, uvumilivu ukanishinda ikabidi Nimuulize mbona unapendeza sana, na huniombi hela kama zamani akajibu "B" biashara imekubali nikasema basi ni jambo jema.
Basi kuna msemo watu wanasemaga 'ipo siku utasahau kufuta message na utashikwa"🥶
Siku moja nikamuomba simu yake, nimulikie uvunguni niliangusha laini kwa bahati mbaya nikaclick moja kwa moja WhatsApp "nikakutana na message inasomeka" - "Ata kama upo kwenye danger zone Usijali nitamwaga nje wewe njoo NYUMBANI" 🥶moyo ulipasuka pale pale Jina limeseviwa " daktari D"
......
Itaendelea
Asante mkuuPole sana mkuu
Huyo jamaa sio alilaaniwa bali aliuliwa na BWANA na jina lake aliitwa ONANIKumwaga nje ni ushetani, hata kwenye biblia kuna yule jamaa aliombwa amzalishe mke wa ndugu yake, ila kwa roho yake mbaya hakutaka ndugu yake apate watoto, akawa anamwaga nje. Nasikia alilaaniwa
🤣🤣🤣🤣🤣Dunga ila umakin mkuu umeme upo na bei ya kuunganishwa ni pesa kidgo tu
Ndoa ni utapeli, ukome sasaTulikaa vizuri mimi nayeye na alionesha kuridhia kuwa na mimi,
Wakati namtongoza nilimwambia najitafuta, akakubali maisha yangu, yeye akawa anafanya biashara ya kuuza duka la perfumes mainly (na cosmetics nyingine kwa ujumla)
Tumeishi kama miaka miwili kipindi hiko chote nilikuwa nampromise mambo yatakaa Sawa Sawa, anivumilie akawa anakibali tu, sometimes biashara yangu inadorola namwambia akiomba hela namwambia sina anavumilia hadi nikipata
👉Sasa picha linaanza nikaona kaanza kubadilika haniombi tena hela,nikawa Napita pale dukani nakuta wateja wengi nikahisi labda biashara yake inalipa maana alianza kupendeza sana
Siku moja, uvumilivu ukanishinda ikabidi Nimuulize mbona unapendeza sana, na huniombi hela kama zamani akajibu "B" biashara imekubali nikasema basi ni jambo jema.
Basi kuna msemo watu wanasemaga 'ipo siku utasahau kufuta message na utashikwa"🥶
Siku moja nikamuomba simu yake, nimulikie uvunguni niliangusha laini kwa bahati mbaya nikaclick moja kwa moja WhatsApp "nikakutana na message inasomeka" - "Ata kama upo kwenye danger zone Usijali nitamwaga nje wewe njoo NYUMBANI" 🥶moyo ulipasuka pale pale Jina limeseviwa " daktari D"
......
Itaendelea
Hapa sijapaelewa,ni kama umerudia manenoLakini nilijfunza "hapa duniani mwanadamu anaweza acha kitu au mtu akasiliti anayempenda kwa sababu ya pesa lakini sio rahisi mtu akaacha pesa kwa ajili ya mtu anayempenda"
Hapa sijapaelewa,ni kama umerudia maneno