Siku niliyotumia dawa ya nguvu za kiume ilikuwa hatari; dont try!!

🤣🤣🤣🤣🤣🤣 Tumia natural booster vitungu swaumu
 
Hahaha [emoji1787][emoji1787] ilitakiwa Wanawake watulipe tunavushughulika.
 
Kufa kiunoni mwa mwanamke kwani ni ishu.? Ww bugia hayo madude ufe kiume
 
Hahaha [emoji1787][emoji1787] ilitakiwa Wanawake watulipe tunavushughulika.
Mwanamke akikufeel yaani hata akikuona, au hata akisoma text yako analowa. Ukimshika na kumtia kidole anakojoa yaani sekunde 5 kasha kojoa. Hawa makonkodi ndio wanafanya mtu uhangaiiiiikeeeee masaa matano 🤣🤣🤣 mpaka unaishia kunywa dawa ujifie kwenye k
 
Mwaka 2000 huo msemo huna maajabu ulikuepo?
 
Nguvu za kiume ni fedha tu ayo mengine ni mbwembwe tu
Mie nadhani afrika tunahitaji nguvu ya ubongo kuchakata Mambo Mana la sivyo Bata letu linauzwa kwa wa Asia mana ulaya and middle East wameshalinyonya wakatajirika saivi wanakuja wachina kula na wao.
Yaani akili na nguvu inavyotumika huko kwenye kukojoza ihamishiwe kwenye hizo Mambo namna gani waafrika tuwe na very sharpest mind
 
Mkuu umeongea mkweli. Mtu akikufeel hakuna kukamia huko. Shida watu hawana chemistry. Mnadangiana tu
 
Hahaaa maaanyuku[emoji23][emoji23][emoji1602]
 
Nimependa hapo kwenye utam unaodumu siku tatu
 
Mpaka umri huu sijawahi hata ona hizo mkongo,ni mwendo wa tizi tu na mixture ya asali mdalasini kitunguu swaumu na tangawizi utanishkuru badae.
 

Daaah yaani mimi ni konkodi? Haya poa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…