Siku niliyotumia dawa ya nguvu za kiume ilikuwa hatari; dont try!!

Siku niliyotumia dawa ya nguvu za kiume ilikuwa hatari; dont try!!

Kwann dogodogo...wakubwa hawawez?
Jamaa uliyemjibu alisema jobless wanafanya hicho kitu kwa juhudi sana kwa wake za matajiri. Wewe ukajibu tena wananyonya haswaaa..

Of which inamaanisha wewe ni mke wa tajiri/au mke/girlfriend wa mtu mwenye uwezo ambae unafurahia hiyo huduma kutoka kwa jobless! Au siko sahihi?
 
Jamaa uliyemjibu alisema jobless wanafanya hicho kitu kwa juhudi sana kwa wake za matajiri. Wewe ukajibu tena wananyonya haswaaa..

Of which inamaanisha wewe ni mke wa tajiri/au mke/girlfriend wa mtu mwenye uwezo ambae unafurahia hiyo huduma kutoka kwa jobless! Au siko sahihi?
Oo mi huwa najibu tu...sijawahi kuwa serious hata kidogo.
 
Watoto wadogo hawajui hilo.
Tritel kitambo sana aisee ilikuja kujifia 2000 mwanzoni.
Enzi hizo tunavaa shati bwanga mauamaua mokasini suruali pepe kalee unaonekana mjanja..Philips shindo, motorola , siemens ndiyo zilikua zetu washua.
Walikuwa wanatangazwa ITV haswa kwenye maigizo ya mambo hayo

Buzz, Ikawa Mobitel, Mobitel ikauzwa MIC, Serikali inauza hisa zake kwa Milioni 20
Tigo nayo imeuzwa limebaki brand name tu
 
Kuna watu watafika mbinguni wakiwa wanachachamaa
 
Back
Top Bottom