Siku niliyotumia dawa ya nguvu za kiume ilikuwa hatari; dont try!!

Siku niliyotumia dawa ya nguvu za kiume ilikuwa hatari; dont try!!

Hii kitu Kuna jamaa yangu ilimuondoa kizembe sana

Waliuza nyumba ya urithi mwanza 120M+ wakagawana z jamaa akakunja zaidi ya 55M ukiondoa ujinga wa madalali na legal fees+wapambe

Siku iyo iyo wenge halijamtoka akapiga pombe Kali kwenda mbele afu alikua na lishangazi Lina Tako balaa kalifukuzia sana bila mafanikio, basi bana Kama mjuavyo mademu wa mjini wananusa pesa basi lishangazi likamcheki Leo njoo mzigo nakupa

Jamaa akaogopa kuuza mechi akaenda bugia vegan za kutosha, aisee jamaa aliondoka siku iyo iyo, alimueleza jamaa yetu mmoja baada ya Kuona Hali inakua mbaya


Mtu una 55M ndo imeingia fresh money, bado una hangaika kulifurahisha lishangazi ambalo lishadanga sana mjini, STUPID!!! Anyway rip mwanangu victor!!!
Jamaa yako zembe sana.
Vijana wa sasa walaini mno.
 
Mwishoni mwa 1990's kulikuwa na BUZZ (tiGO) na TRiTEL (Airtel)
Watoto wadogo hawajui hilo.
Tritel kitambo sana aisee ilikuja kujifia 2000 mwanzoni.
Enzi hizo tunavaa shati bwanga mauamaua mokasini suruali pepe kalee unaonekana mjanja..Philips shindo, motorola , siemens ndiyo zilikua zetu washua.
 
Hii kitu Kuna jamaa yangu ilimuondoa kizembe sana

Waliuza nyumba ya urithi mwanza 120M+ wakagawana z jamaa akakunja zaidi ya 55M ukiondoa ujinga wa madalali na legal fees+wapambe

Siku iyo iyo wenge halijamtoka akapiga pombe Kali kwenda mbele afu alikua na lishangazi Lina Tako balaa kalifukuzia sana bila mafanikio, basi bana Kama mjuavyo mademu wa mjini wananusa pesa basi lishangazi likamcheki Leo njoo mzigo nakupa

Jamaa akaogopa kuuza mechi akaenda bugia vegan za kutosha, aisee jamaa aliondoka siku iyo iyo, alimueleza jamaa yetu mmoja baada ya Kuona Hali inakua mbaya


Mtu una 55M ndo imeingia fresh money, bado una hangaika kulifurahisha lishangazi ambalo lishadanga sana mjini, STUPID!!! Anyway rip mwanangu victor!!!
R.i.p mwamba
 
Wakati fulani miaka ya 2000 nilicheza show mbovu sana kiasi cha kudharauliwa na demu. Demu akaniambia mbona tunapochati unakuwa na mbwembwe nyingi sana ila kumbe hauna maajabu. Kwa kweli nilijisikia vibaya na nikaingia woga.

Baada ya sakata hilo nikapata tena demu mkali sana. Lakini bado naogopa kurudia makosa. Akili zikanituma nitumie dawa za kuongeza nguvu niwe fiti. Nikanunua dawa inaitwa Vega nikaificha bafuni. Tukapigana romance pale baadae kidogo nikaenda bafuni nikaipiga

Mashine ilisimama isivyo kawaida goli la kwanza nikakojoa baada ya nusu saa. Lakini wakati tunaendelea kichwa kikawa kinauma balaa, sina raha kabisa pale kitandani. Naona moyo unaenda mbio. Nashindwa nichukue tahadhari gani kwa sababu nilijinywea tu vega bila kupata ushauri wowote.

Baadae kidogo mashine hiyo nyuzi 360. Demu anaenjoy tu anakula mti wa uhakika. Lakini ndugu yake mawazo kibao labda nitakufa miye. Basi nikamuacha aikalie ajipimie mwenyewe. Mimi nimetulia tu.

Toka hapo nikaamua kufuata njia sahihi za kujiweka fiti. Piga sana tizi na kula vizuri. Hata yule aliyeniambia nina show mbovu akanishangaa sana nimekuwaje mtamu. Mpaka tukaoana tukawa mke na mme.

Sikukomaaaaa
Mara ya pili mwaka 2017 nikasafiri na dada mmoja. Yule dada alikuwa ni yale madude msambwanda wa maana. Dude kubwa limejazia ugali kidogo nyama nyingi. Katika mastori yule dada akaniambia bwana wake hamridhishi kabisa. Ana mwaka hajakojozwa. Kipindi hicho tayari ni mwana Jamiiforums. Nikaona hapa inabidi niiwakilishe Jamiiforums vizuri. Lakini je nina pumzi ya kula huu mzigo?!

Basi nikaamua nitafute mkongo labda hauna shida. Nikaunua jamaa akaniambia nipake nusu saa kabla ya show. Yule manzi nikawa naye nje tukala stori, kula misosi na kunywa vinjwaji mbalimbali. Mida ya kuiwakilisha Jamiiforums ilipokalibia nikachomoka kwenda kupaka mkongo. Nikapata halafu nikarudi nje kusubiri matokeo.

Show ilipoanza mashine ikawa kama imekufa ganzi. Imesimama moja kwa moja. Nikapiga sana tako lakini sikojoi. Mtoto ananiambia baby nimechoka basi kojoa-waapi. Mwili ukawa umechoka nikashuka jukwaani nikiwa sina raha.

My Take
Busta ni hatari sana unaweza kufa kitandani. Dont try
Naona umewawekea kabisa weekend ndefu hii....🤓🤓🤓🤓
 
Kwanza matajiri wengi unakuta wanamichepuko ata mi5 na yote anaihudumia na bado waifu home anahita huduma unakuta anapiga nje akirudi home kachoka shoo mbovu waifu ndo anaamua kuchepuka kwasbb yeye haridhiki

Au wewe ukisia nguvu za kiume unadhani nini??

Hahahahahha wewe haujui sasa. Hao matajiri nje wanapata michepuko wa kuwachuna hela tu hata hizo shoo hawaziwezi. Unakuta mdada yupo kuvuna hela tu akitoka hapo anaenda kwa kijana choka mbaya ananyooshwa
 
Hahahahahha wewe haujui sasa. Hao matajiri nje wanapata michepuko wa kuwachuna hela tu hata hizo shoo hawaziwezi. Unakuta mdada yupo kuvuna hela tu akitoka hapo anaenda kwa kijana choka mbaya ananyooshwa
[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Yupo mpuuzi mmoja ni marketing manager kampuni X arusha, yupo kitandani saa hizi analoongea halijulikani kawa kama kawehuka....

Alishaoa na ni baba wa familia ilikuwa ndio tabia yake kutumia hizo dawa, mkewe aliona vidonge ndani akaogopa kwani jamaa alikuwa haumwi akavipeleka famasi kuulizia ni dawa za nini akihisi uenda ni Arvs jamaa anameza kisiri kumbe ni Viagra.

Siku zote "siku za mwizi kuiba ni nyingi ila siku ya kukamatwa ni moja tu"
Mwezi uliopita kama kawaida alichepuka na binti wa chuo X Arusha yupo 3rd year kama sikosei kwani anao wengi, wakala na kunywa sasa walipoenda lodge kula mzigo akameza hayo madawa ili binti amuone yeye kijogoo si akazima katikati ya game, binti akaona lile ni balaa kwakuwa michepuko huwa inatabia ya kujua namba ya mke ukampigia kwa simu ya mzimiaji kwamba njoo lodge fulani chumba X umchukue mumeo sijui kama mzima au kafa, binti akakimbia hakubeba hata shilingi, yule muhuni alikuwa na laki kadhaa kwenye suruali yake uenda binti alitaharuki unajua mambo ya mtu kama anataka kukata roho mbele yako inatia hofu.

Mke alipofika kamkuta jamaa povu na damu zinamtoka mdomoni na puani huku mshale wake umesimama na umekaza kinoma, kupelekwa hospital mishipa miwili inayo pump damu inayotoka kwenye moyo kwenda kwenye ubongo "carotid/vertebral arteries" imepasuka damu imevujia kwenye ubongo na alidondoka vibaya chini hivyo anauvimbe ndani ya fuvu, moyo umetanuka pia, reason behind ali overdose Viagra.

Sasa yupo hoi taabani kitandani hamjui anayeingia wala anayetoka ni fedheha na aibu kwa familia.

Yule binti naona alipo chuoni huko anatetemeka sijui kama atarudia tabia ya kuwa na waume za watu, kama yupo humu ajue kuwa yule mpenzi wake angali yu'taabani kitandani akamjulie hali...

Guys haya madawa ni hatari kwa afya zetu wanaume tusitumie.
 
Back
Top Bottom