mshamba_hachekwi
JF-Expert Member
- Mar 3, 2023
- 20,704
- 66,337
Lazima ubalance pesa na michi[emoji23] vinategemeana, ukikosa kimoja lazima uhahe[emoji23]Kabisa..... lakini maisha ni majukumu....pesa ni muhimu sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Lazima ubalance pesa na michi[emoji23] vinategemeana, ukikosa kimoja lazima uhahe[emoji23]Kabisa..... lakini maisha ni majukumu....pesa ni muhimu sana
🤣🤣🤣🙌Lazima ubalance pesa na miche[emoji23] vinategemeana, ukikosa kimoja lazima uhahe[emoji23]
Jamaa yako zembe sana.Hii kitu Kuna jamaa yangu ilimuondoa kizembe sana
Waliuza nyumba ya urithi mwanza 120M+ wakagawana z jamaa akakunja zaidi ya 55M ukiondoa ujinga wa madalali na legal fees+wapambe
Siku iyo iyo wenge halijamtoka akapiga pombe Kali kwenda mbele afu alikua na lishangazi Lina Tako balaa kalifukuzia sana bila mafanikio, basi bana Kama mjuavyo mademu wa mjini wananusa pesa basi lishangazi likamcheki Leo njoo mzigo nakupa
Jamaa akaogopa kuuza mechi akaenda bugia vegan za kutosha, aisee jamaa aliondoka siku iyo iyo, alimueleza jamaa yetu mmoja baada ya Kuona Hali inakua mbaya
Mtu una 55M ndo imeingia fresh money, bado una hangaika kulifurahisha lishangazi ambalo lishadanga sana mjini, STUPID!!! Anyway rip mwanangu victor!!!
Watoto wadogo hawajui hilo.Mwishoni mwa 1990's kulikuwa na BUZZ (tiGO) na TRiTEL (Airtel)
R.i.p mwambaHii kitu Kuna jamaa yangu ilimuondoa kizembe sana
Waliuza nyumba ya urithi mwanza 120M+ wakagawana z jamaa akakunja zaidi ya 55M ukiondoa ujinga wa madalali na legal fees+wapambe
Siku iyo iyo wenge halijamtoka akapiga pombe Kali kwenda mbele afu alikua na lishangazi Lina Tako balaa kalifukuzia sana bila mafanikio, basi bana Kama mjuavyo mademu wa mjini wananusa pesa basi lishangazi likamcheki Leo njoo mzigo nakupa
Jamaa akaogopa kuuza mechi akaenda bugia vegan za kutosha, aisee jamaa aliondoka siku iyo iyo, alimueleza jamaa yetu mmoja baada ya Kuona Hali inakua mbaya
Mtu una 55M ndo imeingia fresh money, bado una hangaika kulifurahisha lishangazi ambalo lishadanga sana mjini, STUPID!!! Anyway rip mwanangu victor!!!
Naona umewawekea kabisa weekend ndefu hii....🤓🤓🤓🤓Wakati fulani miaka ya 2000 nilicheza show mbovu sana kiasi cha kudharauliwa na demu. Demu akaniambia mbona tunapochati unakuwa na mbwembwe nyingi sana ila kumbe hauna maajabu. Kwa kweli nilijisikia vibaya na nikaingia woga.
Baada ya sakata hilo nikapata tena demu mkali sana. Lakini bado naogopa kurudia makosa. Akili zikanituma nitumie dawa za kuongeza nguvu niwe fiti. Nikanunua dawa inaitwa Vega nikaificha bafuni. Tukapigana romance pale baadae kidogo nikaenda bafuni nikaipiga
Mashine ilisimama isivyo kawaida goli la kwanza nikakojoa baada ya nusu saa. Lakini wakati tunaendelea kichwa kikawa kinauma balaa, sina raha kabisa pale kitandani. Naona moyo unaenda mbio. Nashindwa nichukue tahadhari gani kwa sababu nilijinywea tu vega bila kupata ushauri wowote.
Baadae kidogo mashine hiyo nyuzi 360. Demu anaenjoy tu anakula mti wa uhakika. Lakini ndugu yake mawazo kibao labda nitakufa miye. Basi nikamuacha aikalie ajipimie mwenyewe. Mimi nimetulia tu.
Toka hapo nikaamua kufuata njia sahihi za kujiweka fiti. Piga sana tizi na kula vizuri. Hata yule aliyeniambia nina show mbovu akanishangaa sana nimekuwaje mtamu. Mpaka tukaoana tukawa mke na mme.
Sikukomaaaaa
Mara ya pili mwaka 2017 nikasafiri na dada mmoja. Yule dada alikuwa ni yale madude msambwanda wa maana. Dude kubwa limejazia ugali kidogo nyama nyingi. Katika mastori yule dada akaniambia bwana wake hamridhishi kabisa. Ana mwaka hajakojozwa. Kipindi hicho tayari ni mwana Jamiiforums. Nikaona hapa inabidi niiwakilishe Jamiiforums vizuri. Lakini je nina pumzi ya kula huu mzigo?!
Basi nikaamua nitafute mkongo labda hauna shida. Nikaunua jamaa akaniambia nipake nusu saa kabla ya show. Yule manzi nikawa naye nje tukala stori, kula misosi na kunywa vinjwaji mbalimbali. Mida ya kuiwakilisha Jamiiforums ilipokalibia nikachomoka kwenda kupaka mkongo. Nikapata halafu nikarudi nje kusubiri matokeo.
Show ilipoanza mashine ikawa kama imekufa ganzi. Imesimama moja kwa moja. Nikapiga sana tako lakini sikojoi. Mtoto ananiambia baby nimechoka basi kojoa-waapi. Mwili ukawa umechoka nikashuka jukwaani nikiwa sina raha.
My Take
Busta ni hatari sana unaweza kufa kitandani. Dont try
Kwanza matajiri wengi unakuta wanamichepuko ata mi5 na yote anaihudumia na bado waifu home anahita huduma unakuta anapiga nje akirudi home kachoka shoo mbovu waifu ndo anaamua kuchepuka kwasbb yeye haridhiki
Au wewe ukisia nguvu za kiume unadhani nini??
duuh wanawake muwe mnatulipa dadadeki yaani kumbe huwa mnaskikilizia hadi siku tatu!!
Siku 3??? Ni michubuo au ni nini[emoji23]Ewaaah yaani ni raha sana
Samahani, hili umelijuaje mkuu??Na wananyonya balaa
[emoji23][emoji23][emoji23]Hahahahahha wewe haujui sasa. Hao matajiri nje wanapata michepuko wa kuwachuna hela tu hata hizo shoo hawaziwezi. Unakuta mdada yupo kuvuna hela tu akitoka hapo anaenda kwa kijana choka mbaya ananyooshwa
Sikuwa na tatizo la nguvu za kiume. Sikuwa najiaminiMkuu miaka ya 2000 alafu Tatizo la nguvu za kiume???
Mkuu nakutakia unyonywaji mwema usiku wa leoNanyonywa mkuu
hahahahahaha daaah umenichekesha sanaNanyonywa mkuu
Umeuliza mkuuhahahahahaha daaah umenichekesha sana
N kweli hili Tatizo la nguvu za kiume Hakuna mkuu shida n mawazo na hisia jumlisha na maisha magumu kwa SasaSikuwa na tatizo la nguvu za kiume. Sikuwa najiamini
Kwahiyo dogodogo ndio anakunyonya??Umeuliza mkuu