Siku niliyotumia dawa ya nguvu za kiume ilikuwa hatari; dont try!!

Siku niliyotumia dawa ya nguvu za kiume ilikuwa hatari; dont try!!

Hii kitu Kuna jamaa yangu ilimuondoa kizembe sana

Waliuza nyumba ya urithi mwanza 120M+ wakagawana z jamaa akakunja zaidi ya 55M ukiondoa ujinga wa madalali na legal fees+wapambe

Siku iyo iyo wenge halijamtoka akapiga pombe Kali kwenda mbele afu alikua na lishangazi Lina Tako balaa kalifukuzia sana bila mafanikio, basi bana Kama mjuavyo mademu wa mjini wananusa pesa basi lishangazi likamcheki Leo njoo mzigo nakupa

Jamaa akaogopa kuuza mechi akaenda bugia vegan za kutosha, aisee jamaa aliondoka siku iyo iyo, alimueleza jamaa yetu mmoja baada ya Kuona Hali inakua mbaya


Mtu una 55M ndo imeingia fresh money, bado una hangaika kulifurahisha lishangazi ambalo lishadanga sana mjini, STUPID!!! Anyway rip mwanangu victor!!!
Dah!... inatisha aisee...

Hata wastaafu wengi wanaohangaika na vibinti wamezikwa kwa kubugia ovyo haya madawa ili waweze kuhimili shoo.
 
Hii kitu Kuna jamaa yangu ilimuondoa kizembe sana

Waliuza nyumba ya urithi mwanza 120M+ wakagawana z jamaa akakunja zaidi ya 55M ukiondoa ujinga wa madalali na legal fees+wapambe

Siku iyo iyo wenge halijamtoka akapiga pombe Kali kwenda mbele afu alikua na lishangazi Lina Tako balaa kalifukuzia sana bila mafanikio, basi bana Kama mjuavyo mademu wa mjini wananusa pesa basi lishangazi likamcheki Leo njoo mzigo nakupa

Jamaa akaogopa kuuza mechi akaenda bugia vegan za kutosha, aisee jamaa aliondoka siku iyo iyo, alimueleza jamaa yetu mmoja baada ya Kuona Hali inakua mbaya


Mtu una 55M ndo imeingia fresh money, bado una hangaika kulifurahisha lishangazi ambalo lishadanga sana mjini, STUPID!!! Anyway rip mwanangu victor!!!
RIP Victor. Hapa shetani hausiki
 
Hilo lipo sana, kijana akishakua Hana pesa anakua na roho ngumu sana yupo radhi kunyonya mku*** hata lisaa!!


Wanawasaidia sana matajiri majukumu. Tajiri kalemewa hela hafanyi mazoezi kitambi kinatangulia mbele futi moja ndio miguu ije. Presha kisukari nk. Akifanya dakika mbili wazungu hao na hapo anahema kama bata. Na wakati wengi wetu tunapenda kitu kisuguliwa hadi ukilala kesho yake unasikia vimaumivu. Yaani unagongwa leo utamu unadumu siku 3.
 
Back
Top Bottom