Siku tuliyobadilishiwa nyama ya Mbuzi msibani kimiujiza!

Nilikuwa nasoma kwa utuli na umakini mkubwa lakini nilipofika kwenye macho ya roho basi nikaanza kusoma kwa kudharau
 
Nilikuwa nasoma kwa utuli na umakini mkubwa lakini nilipofika kwenye macho ya roho basi nikaanza kusoma kwa kudharau
Sasa unashangaa nini kuhusu macho ya Roho ilhali Kila ikifika usiku unaota ndoto Ukiwa umefumba macho,

Hujiulizi ni macho Gani hutumika ndotoni ilhali macho ya MWILI umefumba USINGIZIni?
 
Sasa unashangaa nini kuhusu macho ya Roho ilhali Kila ikifika usiku unaota ndoto Ukiwa umefumba macho,

Hujiulizi ni macho Gani hutumika ndotoni ilhali macho ya MWILI umefumba USINGIZIni?
Mkuu hao wasiokuelewa waache usijibuzane nao tupo tuliokumbwa na hio mikasa tumekuelewa vizuri
 
Sasa hutakiwi kuleta mambo ya kisaikolojia ilhali mtumishi ameona na kuthibitishiwa kuwa ni chakula kichafu.

Labda tatizo lako Unadhani watumishi wa Mungu hawawezi kubaini Siri na michezo ya wachawi.
Mkuu una safari ndefu ya kusaka pesa nyingi uachane na hizo blablaa.
 
Sasa kwa kuwa ugenini huwezi kataa chakula,

Kitakase Kwa Jina la YESU Kisha kula bila shida, hutopata madhara yoyote, kitini macho hakitafanyika ukiomba.
Ugenini Mimi nikiona chakula sikielewi Sili wale wenyewe nimefanya mara kibao sana nafsi yangu ikiniambia usile Sili nikila tu linanikuta jambo nikisema Sili sili
 
Mkuu una safari ndefu ya kusaka pesa nyingi uachane na hizo blablaa.
Sasa wapi umeona Kuna Mahali nimemuomba mtu pesa?

Na lini uliona hata PM yangu wazi?

Usilolijua ni usiku wa Giza Totoro.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…