Siku ya 3 katika safari yangu ya kujifunza programming

Siku ya 3 katika safari yangu ya kujifunza programming

Aisee kusema kweli mimi sijui hata kuna vitu gan huko.
Kuna mjomba wangu nlikutana nae juz kati kwenye msiba, one of the things tulibonga n hicho. Aliniambia kbsa kua unahitaji kuwa na knowledge ya IT. Then akasepa.
So nataka kupata insight nijue kuna nin
Nimekuelewa mkuu, ila kusema ukweli mtu akikuambia uwe na knowledge ya IT labda anamaanisha ujue kutumia Microsoft office kama word, excel, PowerPoint na zinginezo. Ila kisema tu IT it's to general.
 
Mimi nililuwa nawapa watu kazi wananitengenezea website na apps,

Sasa juzi kati nikajaribu some code na withe the help ya ai nikaweza kufanya kitu kikafunguka,ishu kama kuna mtu anaweza kunielekeza jinsi ya kufanya integration na data base,nimejaribu nimeishia njiani
Niko hapa kukusaidia mkuu, kuna Sql na Mysql
 
Nimekuelewa mkuu, ila kusema ukweli mtu akikuambia uwe na knowledge ya IT labda anamaanisha ujue kutumia Microsoft office kama word, excel, PowerPoint na zinginezo. Ila kisema tu IT it's to general.
Hyo office na kila.kitu im super good.
Mimi nlitaka kitu ambacho kwanza hakutanibana kukaa ofisini.
But smthn bacho hata mambo yakigoma huku mtaani unaeza pata mia mbili mbili.
I know thats too general, lakn pia we can go slow mpka kufika a specific point.
Kwa mfano vitu kama cyber security, sijui ma app develipment n.k
 
ukihitaji kujifunza programming na kupata ajira ya uhakika toka mashirika ya nje kupitia "the room"?
cheki na hawa watu, ni full sponsership.. unahitaji tu simu au pc pamoja na data.. ila uwe na muda wa kutosha na usiwe mwepesi wa kukata tamaa click here
mwisho wa application kwa cohort hii ni 31st july
 
Pamoja mkuu, mimi huwa namshauri mtu language ya kujifunza baada ya kujua dhumuni la mtu husika , yaani anataka kufanya nini hasa.
Mimi nahitaji sana ishu za AI je ni wapi hasa inapaswa kuanza kuzingatia nilisoma mechanical ila nilipendelea sana electronics nikajifunza sana hasa hardware kwa sasa nahitaji huko.
 
Bahati mbaya nikiipost hapa inaondoa Indentation sijui shida nini
ukipost code

tumia
ree.png



so indentation hazitaondoka
mf:


Python:
hello There
 
My experience:

Before coding lazima ujue unataka nini? Kina languages nyingi tu na zingine zinataka ujue zaidi nyingine ili kufanya integration.

Ushauri wangu kwa mtu yoyote anayeanza hii tasnia.

1_ Ajifunze Html na Css very simplee na inachangamsha sana.

2_ Php ifate.
Hapo atajoin concepts nyingii sana html, css & Php maana backend itakuwa haimsumbui

3_ Javascript
Akiimaster hii na hizo vitu juu huyu mtu anakuwa competent sana ktk web devs.

Sasa wakat anapiga hizo ktk project zake ni lazima tu acheze na Database bas hapo is whre Mysql comes in... aijue vzr hiyo itamsaidia ku query taarifa.. na kupanga taarifa vzr maana inaend hand in hand na phpmyadmin panels.

Akimaster hapo..

Atafute flutter au any Android programming language adeal nayo for coding mobile apps.
Then aendelee na language zingine like python etc..

Python kwa anaeanza sio rafiki na haina direction halisi ya huyo mtu anataka kufanya nini exactly.


All in all

Coding sio kukatika viuno.. inahitaji determination. Binafsi nilianza Coding nikiw bado mdg sana through bash scripts lg ktk ishu za IS.
 
Hiki ndio kinapigwa Vita sasa hivi watu wanakua sio creative sababu ya AI kila kitu kimekua cha bandia kutoka kwa akili bandia
Mimi sasa lengo langu ni kuweza kudevelop na kuintergrate models za AI ndio maana nikachagua python
 
1_ Ajifunze Html na Css very simplee na inachangamsha sana.

2_ Php ifate.
Hapo atajoin concepts nyingii sana html, css & Php maana backend itakuwa haimsumbui

3_ Javascript
Akiimaster hii na hizo vitu juu huyu mtu anakuwa competent sana ktk web devs.
Tunaanza HTML & CSS plus Visual Basic

Tukimaliza tunakuja SQL hii tunagonga kwenye command prompt hadi tunaimaster

Tukitoka hapo inagongwa JavaScript & PHP kwa pamoja

Hapo ukiweza tayari ishakua web developer simple sana

Baada ya hapo kamata JAVA mnyooshe akinyooka kamata C# mnyooshe akinyooka mkamate C mkamate C++ wanyooshe kwa pamoja

Ukimaliza hapo ..........................
 
Waungwana, kwanza hongereni.
Juzi hapa nmepewa task nijifunze hizi kitu lakini sijui hata pa kuanzia. Na sina hata background.
Ili at least nipate mwanga na nianze, mnaeza kunipa pointers?
Msaada wenu ni muhim
Kama una mlengo wa kuwa software engineer na baadhi ya course zingine tembelea ALX naona bado wana chukua wanafunzi wa Software Engineer.

 
Back
Top Bottom