Siku ya 3 katika safari yangu ya kujifunza programming

Siku ya 3 katika safari yangu ya kujifunza programming

UPDATE:
Jana usiku nilichapa code za calculator. Code ya mwanzo ilikuwa user anachagua kama anataka kuadd, ku substract, kudevide, au ku multiply, so namba atakazoweka baada yapo zinakuwa calculated kutokana na alichochagua mwanzo ila mwisho inamuuliza kama anataka kuendela akijibu yes, inarudi kumuuliza add, sub, mult, div anachagua tena.
Usiku wakati nimelala nikawaza kwanini nisitengeneze code ya calculator ambayo inapokea sign za hesabu pia baadala ya kumuuliza mtumiaji mwanzoni.
So, nimeamka asubuhi nilikuwa tayari nishaifikiria, nikaamka naichapa japo nimepata changamoto mbili tatu ila imerun japo bado inakasoro moja. Ikisharun ikakuuliza kama wataka kuendela, ukajibu yes, unaendelea ila baada ya hapo haikuulizi tena: Ni wapi nimekosea? kali linux Allency Mjamaa1

CODE:

def input_figure():
number_1 = int(input('Enter number 1: '))
sign = input('Enter mathematical operation: ')
number_2 = int(input('Enter number 2: '))
return number_1, sign, number_2

def add_fun():
a, b, c = input_figure()

if b == '+':
print('sum:', a + c)
elif b == '*':
print('prod:', a * c)
elif b == '-':
print('diff:', a - c)
elif b == '/':
if c != 0:
print('div:', a / c)
else:
print('Cannot divide by zero!')
else:
print('Invalid mathematical operation!')

choice = input('Continue? (Yes/No): ').strip().lower()
if choice == 'yes':
add_fun()
else:
print('Nice day!')

add_fun()





*******************************************************************************************************************
Mimi ni mpenzi wa coding sana. Nimeamua nianze kusoma programming na nimechagua kuanza na python nipambane nayo hata mwaka mzima niifanyie kazi kabla ya kuamia kwingine baada ya kuitumia tumia.
Stratergy yangu ni kusoma kidogo kidogo na kuelewa vitu kisha kuvifanyia mazoezi. Kwa sababu nina majukumu na nakuwa busy sana, nimeamua kila siku nitatenga saa 2 hadi 3.
Leo ni siku ya tatu narudia kufanyia mazoezi niliyoyasoma kabla ya kusonga ili nijipe muda kuelewa zaidi kabla ya kuongeza mambo: Nimeandika code kadhaa ikiwa mojawapo ni hii niliyopaste hapa ambayo ni mfano tu wa kujifunza. Code ninazoandika si kutoka sehemu yoyote ila ninawaza jambo na kujaribu kuliandikia code nione kama litafanya kazi kama nilivyotaraji:
Natumai wababe humu mtanipatia mwongozo pia.

Hii ni programu, mtumiaji akifungia itamwomba user na password. Lazima username na password ifanane na hizo nilizoziweka kwenye programu (ni kwa majaribio tu najua in real life haziwezi kuwa hapo).
Kama kimoja kisipofanana itamrudisha aweke upya (nataka niendelee iwapo atajaribu mara 3 basi ijifunge kwa muda)
Akipatia, itampeleka kwenye sehemu ya kuweka matokeo. Ambapo kama average itazidi 60, itamtaja mwanafunzi kwa jina na kusema amefaulu kwa wastani husika, ikiwa chini, itamtaja kwa jina na kusema hakufaulu kwa wastani husika. Kisha itamuuliza kama anataka kuweka matokeo ya mwanafunzi mwingine, akisema ndiyo itarudia tena kumdai jina la mwanafunzi, darasa, na matokeo ya kila kipindi. Akisema hapana, basi itamwambia kwaheri na kuishia hapo.

*** Bahati mbaya nikiipost hapa inaondoa Indentation sijui shida nini naona codes zote zinaanzia kwenye level mmoja.

def welcome():
print('KARIBU KATIKA UKURASA WA MATOKEO')

def invalid():
print('UMEKOSEA! JARIBU TENA')

def login_message():
print('Inaingia...')

def credentials():
userName = 'mway09'
passWord = '1995'
return userName, passWord

def login():
welcome()
userName, passWord = credentials()

while True:
username = input('Weka jina: ')
password = input('Weka nenosiri: ')
if username == userName and password == passWord:
login_message()
break
else:
invalid()

login()

def welcome2():
print('MATOKEO PLATFORM')

def add_results():
welcome2()

while True:
std_name = input('Jina la mwanafunzi: ')
std_class = input('Darasa la mwanafunzi: ')
a = int(input('Historia: '))
b = int(input('Jiografia: '))
c = int(input('Hisabati: '))
d = int(input('Kiingereza: '))

y = a + b + c + d
average_score = y / 4


if average_score >= 60:
print(std_name + ' wa darasa la ' + std_class + ' amefaulu mtihani kwa wastani wa ' + str(average_score) + '.')
else:
print(std_name + ' wa darasa la ' + std_class + ' ameshindwa mtihani kwa wastani wa ' + str(average_score) + '.')
break
choice = input("Ungependa kuongeza mwanafunzi mwingine? (ndiyo/hapana): ").strip().lower()
if choice == "ndiyo":
add_results()
else:
print('Kwaheri!')
break



add_results()
Jiunge na hawa jamaa unajifunza mwenyewe ila wata ku guide kwa kukupa resources na Task mpaka utakapo maliza.

Ukipenda jiunge program ya Software Engineer kwa mwaka mmoja bado wana sajili.

 
Tunaanza HTML & CSS plus Visual Basic

Tukimaliza tunakuja SQL hii tunagonga kwenye command prompt hadi tunaimaster

Tukitoka hapo inagongwa JavaScript & PHP kwa pamoja

Hapo ukiweza tayari ishakua web developer simple sana

Baada ya hapo kamata JAVA mnyooshe akinyooka kamata C# mnyooshe akinyooka mkamate C mkamate C++ wanyooshe kwa pamoja
Hii sasa itakuchukua miaka mingapi?
 
Hongera sana, hope utaiendeleza kuweza kung'amua MAGAZIJUTO and later scientific calculation
 
ukihitaji kujifunza programming na kupata ajira ya uhakika toka mashirika ya nje kupitia "the room"?
cheki na hawa watu, ni full sponsership.. unahitaji tu simu au pc pamoja na data.. ila uwe na muda wa kutosha na usiwe mwepesi wa kukata tamaa click here
mwisho wa application kwa cohort hii ni 31st july
Uko enrolled na hao ALX mkuu?
 
Code:
def credentials_list():
    print('Signup')
    UserName = []
    PassWord = []
 
  
    while True:
        username = input('choose your username: ')
        UserName.append(username)
        password = input('choose your password: ')
        PassWord.append(password)
        break
    return UserName, PassWord

def login_input():
    u_list, p_list = credentials_list()
  
    print('LOGIN PAGE')
  
    while True:
        user_name = input('Enter username: ')
        pass_word = input('Enter password: ')
        if user_name in u_list and pass_word in p_list:
            print('Access granted!')
            break
  
        else:
            print('Wrong username or password. Try again.')

login_input()

print('ADD STUDENT DETAILS')

def create_list():
    students_list = []
  
    student_detail = input('Enter student name followed by a comma, age followed by a comma and class: ')
    students_list.append(student_detail)
    while True:
        option = input('Add more? (Yes/No): ').strip().lower()
        if option == 'yes':
            create_list()
        elif option == 'no':
            print(students_list)
            break
          
        else:
            print('Invalid entry! Try again')
      

create_list()

Mkuu unaaweza kunisadia hapa:
Nilikuwa nasoma kuhusu python data types. Sasa nikataka kudeal na list. Nikaengeneza code block ya kwanza kwa ajili ya list za kuhifadhi username na password, huku ya pili kwa ajili ya user kuwe signup kwa kuweka username na passowrd ambazo zitakuwa stored kwenye list ili akija kulogin lazima aweke username na password zifanane na alizotengeneza wakati wa signup. Hapa nikafanikiwa ikarespond kama navyotaka.

sehemu ya tatu ikaja akisha login
User akishaingia aaweze tengeneza list. Sasa hapa code ina run ila sio kama navyotaka. Kila kitu kiko sawa isipokuwa nikisema no yani asiendelee ongeza elements nataka iprint elements zote za list lakini sasa badala yake inaprint element ya mwisho tu. Nimejaribu troubleshoot ikashindikana. unaweza niambia nakosea wapi?
kali linux Allency Mjamaa1 dronedrake
 
Nimejaribu troubleshoot ikashindikana
1. ume declare
Code:
students_list = []
kama local variable badala ya global

2. usi invoke/call function ndani ya function def yake (recursion)
umedefine
Code:
create_list()
kisha ndani yake ume invoke yenyewe, siyo practice nzuri

Code:
if option == 'yes':
            create_list()  # <<<<<<<< HAITAKIWI

kurudia block of statements ndani ya function tumia
Git:
goto statement
au
Code:
for loop
inayo break baada ya condition flani kuwa met au
Code:
while
inayo break

corrected code:


Code:
students_list = []  #<<<<<this one globally declared and defined

def credentials_list():
    print('Signup')
    UserName = []
    PassWord = []
 
 
    while True:
        username = input('choose your username: ')
        UserName.append(username)
        password = input('choose your password: ')
        PassWord.append(password)
        break
    return UserName, PassWord

def login_input():
    u_list, p_list = credentials_list()
 
    print('LOGIN PAGE')
 
    while True:
        user_name = input('Enter username: ')
        pass_word = input('Enter password: ')
        if user_name in u_list and pass_word in p_list:
            print('Access granted!')
            break
 
        else:
            print('Wrong username or password. Try again.')

login_input()

print('ADD STUDENT DETAILS')

def create_list():
 get_out = 0
 while True:
    if get_out == 1:
     break
    student_detail = input('Enter student name followed by a comma, age followed by a comma and class: ')
    students_list.append(student_detail)
    while True:
        option = input('Add more? (Yes/No): ').strip().lower()
        if option == 'yes':
            break
        elif option == 'no':
            print(students_list)
            get_out = 1
            break
       
        else:
            print('Invalid entry! Try again')
   

create_list()
 
1. ume declare
Code:
students_list = []
kama local variable badala ya global

2. usi invoke/call function ndani ya function def yake
umedefine
Code:
create_list()
kisha ndani yake ume invoke yenyewe, siyo practice nzuri

Code:
if option == 'yes':
            create_list()  # <<<<<<<< HAITAKIWI

kurudia block of statements ndani ya function tumia
Git:
goto statement
au
Code:
for loop
inayo break baada ya condition flani kuwa met au
Code:
while
inayo break

corrected code:


Code:
students_list = []  #<<<<<this one globally declared and defined

def credentials_list():
    print('Signup')
    UserName = []
    PassWord = []
 
 
    while True:
        username = input('choose your username: ')
        UserName.append(username)
        password = input('choose your password: ')
        PassWord.append(password)
        break
    return UserName, PassWord

def login_input():
    u_list, p_list = credentials_list()
 
    print('LOGIN PAGE')
 
    while True:
        user_name = input('Enter username: ')
        pass_word = input('Enter password: ')
        if user_name in u_list and pass_word in p_list:
            print('Access granted!')
            break
 
        else:
            print('Wrong username or password. Try again.')

login_input()

print('ADD STUDENT DETAILS')

def create_list():
 get_out = 0
 while True:
    if get_out == 1:
     break
    student_detail = input('Enter student name followed by a comma, age followed by a comma and class: ')
    students_list.append(student_detail)
    while True:
        option = input('Add more? (Yes/No): ').strip().lower()
        if option == 'yes':
            break
        elif option == 'no':
            print(students_list)
            get_out = 1
            break
       
        else:
            print('Invalid entry! Try again')
   

create_list()
Mkuu shukrani sana. Nikiwa free ntairudi nisome vizuri. Asante sana.
 
Mimi ningeshauri aanze na C++ kupata basics then aende kwa C# nyingine atajiongeza kadili anavyohitaji. Binafsi nilihitaji kufanya project moja kwa kutumia python ambayo sikuwa naijua kabla lakini ndani ya siku mbili nilikuwa nimeshaijua na nilipoimaliza ile project hata sina habari na hiyo python na nimeishaisahau lakini nikitaka hata leo naweza jikumbushia kama kuna ulazima
Wow, kwa siku mbili ukawa ushaifahamu? Mastering even the standard library?
Labda kama ulisoma zile general programming concepts kama loops, conditionals na functions.
Ila unique features za Py kama generators, kwargs, modules, annotations, lambdas and the rest si rahisi kuzijua ndani ya kipindi kifupi no matter you are from C++ background.
And your post is a little bit misleading. Kwa nini aanze na C++? Why usimuulize anataka afanye kitu gani kwanza. Kwa mfano sioni haja ya mtu anayetaka kuwa web developer kuanza na C++. Ataitumia wapi? Only one language in that domain (JavaScript) inamtosha kuwa developer mzuri tu.
After all programming is about solving problems. Sio kujua tools nyingi. Cha msingi ni kuchagua domain moja, kuangalia its relevant tools na kuanza kujifunza. The tools themselves are incredibly extensive. Ukitaka udokoe potepote utajikuta unaishia nusu nusu.
Msisahau pia ya kwamba ulimwengu wa tech unabadilika kila ndani ya muda mfupi. Kwa sasa hot stacks ni microservice based architectures, Continuous Integration/Deployment(CI/CD), Cloud computing ,DevOps pamoja na Large Language Models kama GPT. So kujua pia hayo mambo kutakupa nafasi kubwa katika ulimwengu wa sasa.
 
Tunaanza HTML & CSS plus Visual Basic

Tukimaliza tunakuja SQL hii tunagonga kwenye command prompt hadi tunaimaster

Tukitoka hapo inagongwa JavaScript & PHP kwa pamoja

Hapo ukiweza tayari ishakua web developer simple sana

Baada ya hapo kamata JAVA mnyooshe akinyooka kamata C# mnyooshe akinyooka mkamate C mkamate C++ wanyooshe kwa pamoja

Ukimaliza hapo ..........................
How many year tobecome master?
 
Wow, kwa siku mbili ukawa ushaifahamu? Mastering even the standard library?
Labda kama ulisoma zile general programming concepts kama loops, conditionals na functions.
Ila unique features za Py kama generators, kwargs, modules, annotations, lambdas and the rest si rahisi kuzijua ndani ya kipindi kifupi no matter you are from C++ background.
And your post is a little bit misleading. Kwa nini aanze na C++? Why usimuulize anataka afanye kitu gani kwanza. Kwa mfano sioni haja ya mtu anayetaka kuwa web developer kuanza na C++. Ataitumia wapi? Only one language in that domain (JavaScript) inamtosha kuwa developer mzuri tu.
After all programming is about solving problems. Sio kujua tools nyingi. Cha msingi ni kuchagua domain moja, kuangalia its relevant tools na kuanza kujifunza. The tools themselves are incredibly extensive. Ukitaka udokoe potepote utajikuta unaishia nusu nusu.
Msisahau pia ya kwamba ulimwengu wa tech unabadilika kila ndani ya muda mfupi. Kwa sasa hot stacks ni microservice based architectures, Continuous Integration/Deployment(CI/CD), Cloud computing ,DevOps pamoja na Large Language Models kama GPT. So kujua pia hayo mambo kutakupa nafasi kubwa katika ulimwengu wa sasa.
Nilivyomuelewa mimi jamaa anazungimzia kuwa master. Software engineer hawezi qualify kwa lugha 1.
Kama mtu umeamua kuogelea kwenye ulimwengu wa IT kwa nini usizame kwenye maji marefu? Dinia ina badirika saba ni vuzuri kuwa multipurpose au generalist.
Ulimwengu wa sasa unataka multiple knowledge, specialization nafasi yake ni ndogo sana.
Kitu kikubwa sana ni muda na commitment!
Ukiweza hivyo umetoboa jambo lolote.
Jambo lingine ningependa vijana wawekeze muda ni kujifunza human language kubwa zote kwa sababu ktk ulimwenguu wa internet hakuna mipaka ni uwezo wako tu wa kuwasiliana.
Kichina,kihindi, kiarabu, kihispaniola french hata kijerman.Hizi ni lugha ambazo hatutakiwi kuzipuuza maana ni soko hilo wewe kama IT.
Naamini mtu wa IT alieweza ku master hizo language hawezi kosa kazi mtandaoni
 
Changamoto kubwa ya IT learner ni kupata rasilimali za IT mfano good software nyingi zinauzwa, computer nzuri, internet, short course.
Kuna mda unaona kabisa unahitaji kipande flani ufunzwe ukiingia khan au Edex unakuta bandiki la dola 100 per course.
Hata vitabu update(edition mpya) ni ghali sana.
Kuna baadhi ya website lazima ulipe.
Kama haupo ecomically stable utaishia free source tu ambazo sio genuine.
Safari ni ngumu sana. Science na teknolojia hapa Afrika ni tabu tupu.
 
Changamoto kubwa ya IT learner ni kupata rasilimali za IT mfano good software nyingi zinauzwa, computer nzuri, internet, short course.
Kuna mda unaona kabisa unahitaji kipande flani ufunzwe ukiingia khan au Edex unakuta bandiki la dola 100 per course.
Hata vitabu update(edition mpya) ni ghali sana.
Kuna baadhi ya website lazima ulipe.
Kama haupo ecomically stable utaishia free source tu ambazo sio genuine.
Safari ni ngumu sana. Science na teknolojia hapa Afrika ni tabu tupu.
Nashukuru sana AI, inanisadia sana katika hii journey. Kuna sehemu nikikwama nauliza maswali inanieleza na sometime nikisoma kitu sijakielewa naiuliza inanieleza na muda mwingine naomba hata inionyeshe mifano inanionyesha. At least imefanya nakuwa na partner wa kunielekeza ninapofail
 
Back
Top Bottom