Siku ya kwanza kuingia shule ya bweni ya Serikali

[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
 
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
 
Kila mtu anaongelea form five, wenzenu tumeanza boarding tangu standard 5 enzi hizo za Nyerere tunapiga mchaka mchaka kila asubuhi na kupiga gwaride na ngoma kuingia darasni lakini lazima kwenda kwenye ibada ya asubuhi. Ilikuwa shule ya Fransiscan sisters. Mlo mzuri. Sec. Ilikuwa the best when it comes for food and accademic. Sitasema maana nitajulikana wapi. Ila atakayejua nani waliwaita wenzie Pimbi atajua nilisoma wapi.
 
Kunaa Jamaa alikamatwa kijijini na ticha kuulizwa jina aksema anaitwa Bitozi Nyangema jumaatatu ticha Anaita assemble Bitozi Nyangema atoke mbele watu [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
 
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
 
Hahahahha kwhy ulikuwa unalala wapi na ugeni ule wa shule?
 
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]

Ngoja nimfowadie hii sms class mate wako(joking)
 
Ungechoma nazo ndani
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…