Siku ya kwanza kuingia shule ya bweni ya Serikali

Siku ya kwanza kuingia shule ya bweni ya Serikali

Nakumbuka Lyamungo aisee,nimefika form one pale sema nilichelewa kidogo,nimemaliza kufanya registration, napelekwa bwenini wakatokea watu wakabeba tranka langu kama jeneza wakawa wanalia wakaongezeka wengine wanarusha na maua kabisa!

Daah karibu nigeuze aisee,sema nilikuja kulipiza na Mimi baada ya kuzoea kwa form one waliofuatia!
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
 
Ile shule siisahau kwanza tokea utoto nilikua sipendi maharagwe... Nilivyofika kwenye ule mji nilikaa kwa rafiki wa familia yetu kama wiki nikawa naenda kuisoma shule.... Siku natinga shule nikakuta ni ugali maharagwe tena ya mawese yasiyoiva nikawa nashangaa mbona kila vessel ni la njano.... Tulikula mawese ile shule sisahau...

Ila kuna jamaa yangu alinifurahisha sana... Siku amefika shule jioni wakamshushia katikati ya mabweni... Watu wakaanza kupiga makelele asulubiweeeee jamaa akadaka tax akarudi alipotoka...
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
 
Kila mtu anaongelea form five, wenzenu tumeanza boarding tangu standard 5 enzi hizo za Nyerere tunapiga mchaka mchaka kila asubuhi na kupiga gwaride na ngoma kuingia darasni lakini lazima kwenda kwenye ibada ya asubuhi. Ilikuwa shule ya Fransiscan sisters. Mlo mzuri. Sec. Ilikuwa the best when it comes for food and accademic. Sitasema maana nitajulikana wapi. Ila atakayejua nani waliwaita wenzie Pimbi atajua nilisoma wapi.
 
Kunaa Jamaa alikamatwa kijijini na ticha kuulizwa jina aksema anaitwa Bitozi Nyangema jumaatatu ticha Anaita assemble Bitozi Nyangema atoke mbele watu [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
 
Waliniibia yeboyebo zangu nilizosafiri nazo kutoka mkoa.
Just imagine ndo nafika tu bwenini nikaleta usafi ule wa kihome home si nikavua mayeboyebo yangu ili ningie Dom, loooh wana wakapita nazo,nilikuja kuziona nipo form two term ya pil[emoji23].
Machalii wa Shaban Robert 06 Mzumbe Secondary tuheshimiane mazee.
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
 
nlikuwa nimeriport form one. Baaada ya kufanya registration baada yakumaliza naelekea bwenini kuna jamaaa mmoja akaja kunipokea. Akabeba godoro. Akakunja kona sijui akaingilia wapi. Akapotea na godoro.

Baada ya kuzoea nkaja kujua lile godoro alienda kuuza mtaaan bei ya kutupwa.

Governement schools zina tabu na raha yake saana
Hahahahha kwhy ulikuwa unalala wapi na ugeni ule wa shule?
 
Kila mtu anaongelea form five, wenzenu tumeanza boarding tangu standard 5 enzi hizo za Nyerere tunapiga mchaka mchaka kila asubuhi na kupiga gwaride na ngoma kuingia darasni lakini lazima kwenda kwenye ibada ya asubuhi. Ilikuwa shule ya Fransiscan sisters. Mlo mzuri. Sec. Ilikuwa the best when it comes for food and accademic. Sitasema maana nitajulikana wapi. Ila atakayejua nani waliwaita wenzie Pimbi atajua nilisoma wapi.
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]

Ngoja nimfowadie hii sms class mate wako(joking)
 
Waliniibia yeboyebo zangu nilizosafiri nazo kutoka mkoa.
Just imagine ndo nafika tu bwenini nikaleta usafi ule wa kihome home si nikavua mayeboyebo yangu ili ningie Dom, loooh wana wakapita nazo,nilikuja kuziona nipo form two term ya pil[emoji23].
Machalii wa Shaban Robert 06 Mzumbe Secondary tuheshimiane mazee.
Ungechoma nazo ndani
 
Back
Top Bottom