Sausi Alex
JF-Expert Member
- Jan 26, 2021
- 239
- 181
🧐
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Arusha ni pazuri panafundisha upambanaji!Maza akisikia tukio linafanyika chuga anajikuta lazima aende tu😃😃 sijui Siri ni nini?
Sisi wa nyanda za juu Kusini naona ameamua atakuja kuomba kura tu. Hakuna noma.
Tutaanzia humu Bwana Ryioba. Ushirikano wako/wenu uzingatiwe!Tamaduni nyingi zimeuliwa, umoja wa taifa upo hatarini, usalama wa taifa kuwa hatarini kutokana na wale wanaotaka kupinga mamlaka, makundi ya kigaidi yanatumia mitandao kupanga mambo ya na kufundisha wengine ugaidi kwa njia ya kidigitali na kuongezeka kwa habari za uwongo.”
Hakika, hili linafanyiwa unyambuzi hapa JFLicha ya mafanikio katika Sekta ya Habari, bado kuna changamoto kadhaa zinazohitaji kutatuliwa
Miongoni mwao ni ushindani usio sawa, hali duni ya wanahabari na kuongezeka kutumia watu maarufu kama watangazaji
Haswa, lakini wapo wanaonunulika na kuendeleza na "disinformation" "misinformation" Watashindwa tu!Tulibainisha kwa dhati sana kwamba ni muhimu kwetu kama Waafrika kuchukua jukumu la kueleza simulizi zetu.
Kamua, piga ua!Waziri wa Habari, Nape Nnauye ametangaza ataunda kamati ya pamoja kati ya wadau wa habari na Serikali kupitia sheria zinazolalamikiwa, ameahidi kufikia Settemba 2022 sheria zote zinazolalamikiwa zitakuwa zimepatia utatuzi
Hakika Mh. Raisi. Tujadiliane, Nikukune unipapase! Mtungi wetu sote!Nimeelekeza sheria mbalimbali za vyombo vya habari zifanyiwe marekebisho, na mchakato wa marekebisho hayo ufanywe kwa majadiliano na sio kwa sisi tunataka n
Tulia weweAnarudi Dar mkuu na ni mgeni rasmi baraza la Idd. Sala asubuhi ndio ilifupishwa ili mama awahi Ars.
Kwakweli Bakwata wanatukwaza sana waislamu
Sent from my SM-G5500 using JamiiForums mobile app
We chizi unajua hata nini kinaongelewa!?Tulia wewe
Kunywa sumu ufe
Bazara ni zur sana