Siku ya Wanawake Duniani isitumike kutengua maandiko ya vitabu vitakatifu

endeleeni kutunisha misuli, ila vipigo vitawahusu sanaaa
 
Vitabu vimemfanya mwanamke kuwa chini ya mwanaume, sasa kuna ulazima mwanamke nae apambanie haki yake, kuna wanawake wengi wenye akili na maarifa kuliko wanaume wengi, wanayo haki ya kuwa juu ya wanaume kama wamewazidi akili na maarifa.

vitabu vimemfanya mwanamke kuwa chini hivi ni vitabu vya mungu unajua hilo. kwa hiyo unataka tv za binadamu ndio zimpandishe mwanamke
 
super women wametajwa na mungu ndani ya quraan nao ni 4 tu je unawajua nitakutajia wawili nawe umalizie wawili 1: mariam mama yake issa bin mariam (yesu) wa pili mke wa farao au firauni nawe malizia
 
Kabisa
 
Men you are the PRIZE narudia tena Men you are the PRIZE...akili kumkichwa ni hayo tu kwa leo
 
Sanamu yako iwekwe pale Dodoma pembeni ya sanamu ya Nyerere na siku yako ya kuzaliwa iwe mapumziko ya kitaifa.
 
Hakuna asili ya mwanamke kuwa chini ya mwanaume huo ni upuuzi wa mavitabu yaliyotungwa kumbana mwanamke na tamaduni kandamizi , akili na maarifa ya mwanamke anaweza fanya apendavyo ikiwemo kuwa juu ya mwanaume bila taabu yeyote , ni suala la kuamua tu kile apendacho
 
Huo kuwa juu ya Mwanaume,Usuper Woman,sijui kichwa cha familia na upuuzi mwingine unaofanana na huo utaufanya ukiwa kwa Baba yako Mzazi.
Unafanyika popote, hayo mavitabu yenu na tamaduni mfu , zimepitwa na wakati
 
Anaelipa mahari ndio muoaji ,ahahahhaa unatetea ujinga , INDIA wanawake ndio wanaolipa mahari ndio waoaji hao acha porojo
 
Mwanamume by nature anapenda kutawala na kuheshimiwa. Mwanamke ukidhani umemcontrol mumeo ndani, jua wazi kabisa kwa 100% huko nje keshatafuta mchepuko ambao unamthamini na kumuheshimu hata kama hauhongi pesa ile kisawasawa kwa sababu za kiuchumi
 
Una matatizo ya akili. Mjinga huwa nampa amani.

Na wewe tunga tuone, kama kweli vitabu hivyo vimetungwa na binadamu. Ukiwa unaandika mambo hakikisha una elimu nayo na ukiombwa ithibati uweze kutupa.

Nakuacha na swali hili "Kitabu gani kimetungwa na sifa ya utunzi wa kitabu ni zipi ?".
 
vitabu vimemfanya mwanamke kuwa chini hivi ni vitabu vya mungu unajua hilo. kwa hiyo unataka tv za binadamu ndio zimpandishe mwanamke
Vitabu haviwezi kutupangia tulio hai cha kufanya, unamfanya mwanamke kuwa chini halafu unasema kitabu cha Mungu? tutampuuza kwa hili
 
Vitabu vimetungwa na binadamu tena mwanaume, ndio maana akamfanya mwanamke kuwa chini yake, sasa unataka maelezo gani !!!
 
Vitabu vimemfanya mwanamke kuwa chini ya mwanaume, sasa kuna ulazima mwanamke nae apambanie haki yake, kuna wanawake wengi wenye akili na maarifa kuliko wanaume wengi, wanayo haki ya kuwa juu ya wanaume kama wamewazidi akili na maarifa.
Maisha yetu wanadamu yapo katika mifumo,na mfumo pekee ambao kiukweli tukiufuata utaleta amani ni Mfumo wa kidini.Turejee Dini zinasemaje baasi.Japokuwa kuna wanawake pia waliozaliwa na Internal hormones nyingi za Baba zao,hawa huwezi kuwaambia kitu kirahisi kwa sababu Naturally mna kitu inafanana Internal. Lakini kwa Mwanamke mwenye hormone za kike nje na ndani kama huyu mtoa Mada basi lazima utulivu uwepo katika siku zako unazosubiri kifo.
 
Dini ndio adui namba moja wa mwanamke, hakuna marejeo hapo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…