Siku yake ya kuzaliwa (Birthday 🎉) Pia ni tarehe na Mwezi ambao Baba yangu mzazi alifariki! Nafanyaje?

Siku yake ya kuzaliwa (Birthday 🎉) Pia ni tarehe na Mwezi ambao Baba yangu mzazi alifariki! Nafanyaje?

Kwa hiyo babaako utakuwa unamuomboleza milele? Msiba ukoshafanya 40 unakuwa umekwisha kinachofata ni kusherekea maisha ya marehemu duniani.
 
Mwanaume si unafanya tu maamuzi hapo, mama cancel birthday day yako kwa kuwa imeingiliana na kumbukumbu ya kifo cha baba, then birthday yako utasherehekea siku nyingine. Haina haja ya kuja kufungua uzi humu.
Hii sio sawaah.
 
Kama Baba alishakufa basi na kama kuhuzunika ulisha huzunika vya kutosha ..kilichobaki ni wewe kusherekea birthday ya mkeo huku ukisherekea maisha ya baba yako…furahia kuwa aliishi na uli enjoy kuwa naye….siyo kila muda unalazimisha kulia lia na kutia huruma….enjoy maisha ya mkeo na maisha ya baba yako……

Acha mambo ya kufikirika ..nani kakwambia kuwa ikifika tarehe hiyo lazima uhuzunike? Kwani uwezi fanya ibada ya furaha kumkumbuka baba yako alivyogusa maisha yako na ya wengine?

Punguza utoto bhana
Umemaliza kila kitu mkuu, muhimu apo achague mambo mazur ya mzee wake afurahie pamoja bday ya mke wake,ni bora kuifanya siku ya furaha zaid kuliko kujitia majonz na huzuni kwa mtu alietangulia

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Siku ya kuzaliwa ina faida gani? Acheni kuendekeza ujinga
Wakuu hii ni seriously kdg huyu ni mke kbs miaka 10 Sasa lkn inakuwa shida wakati yeye anafurahia kuzaliwa kwako me nakuwa kwenye machungu ya kuomboleza kifa cha baba yangu!

Hii imeleta shida mara nyingi ingawaje mara nyingi nachukulia poa lkn nikitamani kufanya ibada ya kumshukuru Mzee katika kipindi cha uhai wake inakuwa shida kwa mke wangu yeye anasema anataka kufurahia birthday [emoji849]

Napokea ushauri na mawazo yenu!
 
Kweli wewe ni kiazi wa mwisho. .

First, birthday you celebrate life
Second, unasherekea maisha ya baba yako au unaomboleza maisha ya baba yako?
 
"Kwa hiyo mwanamume atamwacha baba yake na mama yake naye ataambatana na mkewe, nao watakuwa mwili mmoja"
 
Inaonekana huna sauti kwa Mke wako, ukiwa kama Mume wake fanya maamuzi magumu mweleze kuwa hiyo siku na wewe pia unahitaji kufanya ibada.
 
Sasa ulihisi unalala na mama?
Nafikiri ungempenda mara 2 mke na kama mama
Kama wewe ni ke huwezi kunielewa haraka.
Basi tu kila mtu na attitudes zake.
Mi yule kuitwa jina la mama haikuwa shida mpaka inapoanza biashara ya kulalana.
Au wewe eneo hilo huwa hunong'onezwi kitu!
 
Kama wewe ni ke huwezi kunielewa haraka.
Basi tu kila mtu na attitudes zake.
Mi yule kuitwa jina la mama haikuwa shida mpaka inapoanza biashara ya kulalana.
Au wewe eneo hilo huwa hunong'onezwi kitu!
Akili yako tu ilikudanganya...jina ni jina tu
 
Kama Baba alishakufa basi na kama kuhuzunika ulisha huzunika vya kutosha ..kilichobaki ni wewe kusherekea birthday ya mkeo huku ukisherekea maisha ya baba yako…furahia kuwa aliishi na uli enjoy kuwa naye….siyo kila muda unalazimisha kulia lia na kutia huruma….enjoy maisha ya mkeo na maisha ya baba yako……

Acha mambo ya kufikirika ..nani kakwambia kuwa ikifika tarehe hiyo lazima uhuzunike? Kwani uwezi fanya ibada ya furaha kumkumbuka baba yako alivyogusa maisha yako na ya wengine?

Punguza utoto bhana
Mkuu ni kama umekopi kile nilitaka kuandika hapa, nashauri jamaa apewe hii Comment in capital letters na uzi ufungwe.
 
Wakuu hii ni seriously kdg huyu ni mke kbs miaka 10 Sasa lkn inakuwa shida wakati yeye anafurahia kuzaliwa kwako me nakuwa kwenye machungu ya kuomboleza kifa cha baba yangu!

Hii imeleta shida mara nyingi ingawaje mara nyingi nachukulia poa lkn nikitamani kufanya ibada ya kumshukuru Mzee katika kipindi cha uhai wake inakuwa shida kwa mke wangu yeye anasema anataka kufurahia birthday [emoji849]

Napokea ushauri na mawazo yenu!
Mkeo yupo Sahih, Walopita wamepita na ya kwao Mjali aliehai kaka, Mzee ashakufa huto kama ukumwonyesha upendo akiwa hai sasa wafanya kazi bure na kujitaabisha.
 
Kama Baba alishakufa basi na kama kuhuzunika ulisha huzunika vya kutosha ..kilichobaki ni wewe kusherekea birthday ya mkeo huku ukisherekea maisha ya baba yako…furahia kuwa aliishi na uli enjoy kuwa naye….siyo kila muda unalazimisha kulia lia na kutia huruma….enjoy maisha ya mkeo na maisha ya baba yako……

Acha mambo ya kufikirika ..nani kakwambia kuwa ikifika tarehe hiyo lazima uhuzunike? Kwani uwezi fanya ibada ya furaha kumkumbuka baba yako alivyogusa maisha yako na ya wengine?

Punguza utoto bhana
Uyu anachanganywa na Series za Kihindi... [emoji849]
 
Kilicho bora zaidi unakijua nafsin mwako bila sisi kuthibitisha. Ibada!
Hali kama hizi nimewai kumpoteza msichana nimpendaye kwa dhati kisa jina lake kufanana na la mama mzazi. Mwanzon sikujua italeta shida wakati wa tendo. Nikalazmika kumkimbia hiv hiv!
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Mbongo Chafu...
 
Mtu mzima kulilia Birthday ni ujinga over [emoji338]
Katika dunia hii tuna interests tofaiti tofauti sana so heshimu anachopenda mwenzio japo ni vyema akafanya kwa kiasi
 
Wakuu hii ni seriously kdg huyu ni mke kbs miaka 10 Sasa lkn inakuwa shida wakati yeye anafurahia kuzaliwa kwako me nakuwa kwenye machungu ya kuomboleza kifa cha baba yangu!

Hii imeleta shida mara nyingi ingawaje mara nyingi nachukulia poa lkn nikitamani kufanya ibada ya kumshukuru Mzee katika kipindi cha uhai wake inakuwa shida kwa mke wangu yeye anasema anataka kufurahia birthday 🙄

Napokea ushauri na mawazo yenu!
Maiti huwa inahesbimiwa na Kila mtu, Hujaona hata mnapokwenda kuzika Wanajeshi au polis hushuka Kwenye magari Yao na kuipigia saluti?

Sasa wewe Birthday ya mkeo na Azimisho la Kifo Cha Baba yako lipi ni tukio lenye nguvu.?


Birthday isogeze wiki mbili zijazo..
 
Wakuu hii ni seriously kdg huyu ni mke kbs miaka 10 Sasa lkn inakuwa shida wakati yeye anafurahia kuzaliwa kwako me nakuwa kwenye machungu ya kuomboleza kifa cha baba yangu!

Hii imeleta shida mara nyingi ingawaje mara nyingi nachukulia poa lkn nikitamani kufanya ibada ya kumshukuru Mzee katika kipindi cha uhai wake inakuwa shida kwa mke wangu yeye anasema anataka kufurahia birthday 🙄

Napokea ushauri na mawazo yenu!
Hapo huna mke una Bumunda TU,

Piga chini akasherehekee kwao kuzaliwa kwake
 
Kama Baba alishakufa basi na kama kuhuzunika ulisha huzunika vya kutosha ..kilichobaki ni wewe kusherekea birthday ya mkeo huku ukisherekea maisha ya baba yako…furahia kuwa aliishi na uli enjoy kuwa naye….siyo kila muda unalazimisha kulia lia na kutia huruma….enjoy maisha ya mkeo na maisha ya baba yako……

Acha mambo ya kufikirika ..nani kakwambia kuwa ikifika tarehe hiyo lazima uhuzunike? Kwani uwezi fanya ibada ya furaha kumkumbuka baba yako alivyogusa maisha yako na ya wengine?

Punguza utoto bhana
[emoji3578][emoji3578][emoji122]

Sent from my CPH2179 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom