Siku yako Uwanja haukujaa na ukaingiza Watu 'Fungulia Mbwa' halafu utegemee Rais Samia apoteze muda wake Kuja?

Siku yako Uwanja haukujaa na ukaingiza Watu 'Fungulia Mbwa' halafu utegemee Rais Samia apoteze muda wake Kuja?

Unajaza uwanja siku ya bonanza wakati siku ya mechi hata watu 5000 hawafiki inasaidia nini timu yako. Upuuzi mtupu.
1. Yanga naye anacheza African Super Cup maana alifanya vizuri kuliko Simba kimataifa?
2. Kwenye documentary yenu mtaelezea Yanga ilipangiwa kucheza CAF champion league ila ikacheza mechi mbili Zalan na Al Hilal ikatolewa mkaenda kucheza shirikisho?
3. Mtaelezea kombe la CAF champion league ni aina gani ya michuano na Shirikisho au mtaanza kuonesha mechi za shirikisho tu?
4. Mtaeleza kwa kuwa Simba ni wabovu walicheza CAF champion league na Yanga walicheza Confederation ambalo ni league kubwa kuliko aliyocheza Simba?
 
Back
Top Bottom