TUJITEGEMEE
JF-Expert Member
- Nov 6, 2010
- 25,225
- 25,488
Soma Tena ulichoandika, na jitafakari utakuwa katika Hali gani miaka miwili ijayo!Kwa kifupi wewe akili yako ni yakipumbavu
====
Kwa nini mnakata tawi mlilokalia?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Soma Tena ulichoandika, na jitafakari utakuwa katika Hali gani miaka miwili ijayo!Kwa kifupi wewe akili yako ni yakipumbavu
Umeleta hoja ya ovyo kabisa. Ni sawa na kusema waziri akitumbuliwa aendelee kulipwa mshahara wa uwaziri ilhali si waziri tena!!! Kila mtu alipwe kupingana na kazi yake.Nimefuatilia hotuba ya Bajeti ya mwaka 2022/2023 na kwenye kipengele kinachosema kuwa kama mtumishi wadhifa wake umetenguliwa basi arudi kupokea ule mshahara aliokuwa anapokea kabla ya uteuzi. Hili ni pendekezo.
Binafsi sikubaliani kabisa na pendekezo hili. Mhe. Waziri usije ukaleta vurugu hapa nchini. Nchi hii tunapendana. Utakuta wengi wanaotumbuliwa ni uonevu.
Wabunge hili ni pendekezo mkatae kwa asilimia mia moja.
Ni sawa kabisa, hatuwezi kulipa zaidi ya mtu mmoja katika nafasi ileile. Kila mmoja alipwe kulingana na nafasi yake kiutendaji.Unakuta kwa mfano mtumishi ni Principal Officer anayepata mshahara wa TGS H6 then anateuliwa kuwa Mkurugenzi ambaye mshahara wake say ni LSS 3. Ina maana huyu Mkurugenzi siku ukurugenzi wake ukitenguliwa Mwigulu anapendekeza arudi kupokea TGS H6 yake, asiendelee na huo wa ukurugenzi.
Na hii itaongeza uwajibikaji sio kubweteka kama ilivyo sasaYani mfano kama mtu alikuwa mwalimu akateuliwa kuwa DED anakuwa anakula M 3 na malupulupu kibaoooo.Sasa ikatokea paaap akatenguliwa basi anarudi kwenye laki 7 badala ya M 3
Mbona amewashushia mishahara watu wengi bila kufuata Sheria,Daaaah! Mwigulu ni shetani kabisa. Hii kitu hata JPM hajawahi kuwaza.
Usichanganye kazi ya utumishi wa uma na uwaziri. Utumishi mtu anapanda kwa utaratibu maalum, halafu umshushe mtu cheo na mshaharaUmeleta hoja ya ovyo kabisa. Ni sawa na kusema waziri akitumbuliwa aendelee kulipwa mshahara wa uwaziri ilhali si waziri tena!!! Kila mtu alipwe kupingana na kazi yake.
Huyo mtu sijuianatetea maslahi ya nani. Hiyo si mishahara hewa hapo kutumbuliwa kutakuwa na maana gani .ama urefu wa kamba ndo unaathirika tuKwa hiyo kama Katibu mkuu ameondolewa kwenye nafasi yake aendelee kulipwa mshahara wa ukatibu mkuu??
Ukifukizwa si ndio Kwa heri? AuNi kweli ila najiuliza kwa wale wanaokuwa wamepata uteuzi toka kwenye sekta binafsi, au walikuwa wanafanya shughuli zao Kama Msendo, hao watalipwa mshahara upi?
Yani mfano kama mtu alikuwa mwalimu akateuliwa kuwa DED anakuwa anakula M 3 na malupulupu kibaoooo.Sasa ikatokea paaap akatenguliwa basi anarudi kwenye laki 7 badala ya M 3
Usichanganye kazi ya utumishi wa uma na uwaziri. Utumishi mtu anapanda kwa utaratibu maalum, halafu umshushe mtu cheo na mshahara
Level ya principal officerNi lazima ufikie cheo gani cha utumishi ili ukidhi kuwa katibu mkuu wa wizara??
Mshahara kwa sasa huwa unabaki ule ule ila marupurupu ndiyo yanaondoka.Unakuta kwa mfano mtumishi ni Principal Officer anayepata mshahara wa TGS H6 then anateuliwa kuwa Mkurugenzi ambaye mshahara wake say ni LSS 3. Ina maana huyu Mkurugenzi siku ukurugenzi wake ukitenguliwa Mwigulu anapendekeza arudi kupokea TGS H6 yake, asiendelee na huo wa ukurugenzi.
Inamaana wale wote walikuwa wanatenguliwa na jpm waliendelea kulipwa mishahara ileile..Nimefuatilia hotuba ya Bajeti ya mwaka 2022/2023 na kwenye kipengele kinachosema kuwa kama mtumishi wadhifa wake umetenguliwa basi arudi kupokea ule mshahara aliokuwa anapokea kabla ya uteuzi. Hili ni pendekezo.
Binafsi sikubaliani kabisa na pendekezo hili. Mhe. Waziri usije ukaleta vurugu hapa nchini. Nchi hii tunapendana. Utakuta wengi wanaotumbuliwa ni uonevu.
Wabunge hili ni pendekezo mkatae kwa asilimia mia moja.