Sikuchagua Mkoa wa Kagera lakini wamenichagua Kagera ndiko nitafanya Oral interview Nauli 100,000

Nakubali
 
Aisee
 
tuma namba yako pm
 
Nenda ukikopangiwa….
 
Usikate tamaa bado mapema sana Mkuu.
 
Ungekosa bado ungelaumu ila tumefanya hivyo maana Kagera walioomba wachache na kwa kuwa una sifa ndo maana tumekupeleka huko otherwise ungekosa.
 
Wanaleta mambo ya ajabu mimi pia nimewekewa kagera ilhali nilichagua morogoro na ni watu wengi wamebadilishiwa na kuwekewa hyo kagera sijajua kuna shida gani imetokea
Kagera Kuna gap ndo maana. Fanya ufanyavyo usikose usaili huo anyhow
 
Ukiwa huna hela kila kitu utaona kama unaonewa
 
Unaweza kufanya mawasiliano mapema Kwa kuwapigia simu au kuwa E-mail ili wakubadilishie hiyo mahali pa kufanyia..just relax sababu ni wengi wenye hiyo changamoto sio peke Ako ...au unaweza kwenda ofisi zao hapo DSM au Kuna namba ya IT hapa wa ajira portal pale Dodoma hebu mtafute
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…