Na hiko ndiyo umeibuka ugonjwa mpya wa kutoka damu wajichunge na chanjo ...Ndugu anaishi Mtwara wilaya na newala, anasema mpaka baadhi ya vijiji kama ilivyo Kitangali wanachanja nyumba hadi nyumba.
Hayo MACHANJO hayafaii NI UCHAFUPanadol unazotumiaga unajua zimetengenezwaje?!
Labda ufunuo wa makalio.Chanjo Ni ufunuo wa Mungu
Anoagopa kile kiji-sindano? Acheni uoga. Pateni chanjoHakuchanja aliamua kukosa huduma
Acha kupotosha na kudanganya watu weye! Yalikuchafua sehemu gani ya viungo vyako?Hayo MACHANJO hayafaii NI UCHAFU
Bila shakabora, ila alienda kupata sehemu ingine sio
Nijuavyo korona ilishaishaHaya machanjo ya nn sasa, kwan hiyo corona bado ipo
MACHANJO YA CORONA NI SUMU.Acha kupotosha na kudanganya watu weye!Yalikuchafua sehemu gani ya viungo vyako?
Kwani tulazimishwa kutumia Panadol?Panadol unazotumiaga unajua zimetengenezwaje?!
Mbwa wako ulimchanja? Acha uongo uongo! Unamfurahisha nani?MACHANJO YA CORONA NI SUMU.
HAYAFAI HATA KUWAPA MBWA.
Umeitoa wapi hiiChanjo Ni ufunuo wa Mungu ili kuwaokoa wanaadamu dhidi ya covid19
HIZO CHANJO ZINA FAIDA GANI?Pateni chanjo
Kuna dili za watu kupiga hela. Sasa hivi ukichoma mtu mmoja 1000tsh kama ni nje ya kituo kama umechoma mtu ndani ya kituo cha afya ni 500tsh watu wanapambana kusaka pesa.Habari za asubuhi
Nimekwazika sana baada ya Ndugu yangu Kunisimulia jinsi alivyokosa huduma hospitali kisa hajapata chanjo ya uviko. Nimeumia sana, Tanzania tumefikia hapa?
Tambueni sio wote tuko tayari kuchanjwa, wengine sisi tulishukuru na kufurahi tuliposikia kauli za viongozi wakubwa wa serikali waliposema kuwa chanjo ya uviko ni hiyari.
Kuna mtu amewahi kulazimishwa kutumia panadol?Panadol unazotumiaga unajua zimetengenezwaje?!
Wangehangaika kutafuta chanjo ya UKIMWI kabla ya korona tungewaona watu wenye dhamira nzuri sana.Ingekuwa ni chanjo ya ukimwi ungekuwa tayari umeisha chanja bila kujali mambo mengine.
Kaangalie cheti cha kifo cha marehemu utaona faida zake.HIZO CHANJO ZINA FAIDA GANI?
MAREHEMU YUPI?Kaangalie cheti cha kifo cha marehemu utaona faida zake.
Hawajakuzuia. Hata weye itafute tu.Wangehangaika kutafuta chanjo ya UKIMWI kabla ya korona tungewaona watu wenye dhamira nzuri sana.
HIZO CHANJO ZA IBILISI HAZIFAI HATA KUMDUNGA HAYAWANI WA PORINI.Mbwa wako ulimchanja? Acha uongo uongo! Unamfurahisha nani?