Sikujua, kumbe chanjo ya uviko ni lazima na si hiyari tena?

Kuna dili za watu kupiga hela. Sasa hivi ukichoma mtu mmoja 1000tsh kama ni nje ya kituo kama umechoma mtu ndani ya kituo cha afya ni 500tsh watu wanapambana kusaka pesa.

Its all about money.

#MaendeleoHayanaChama
 
Mimi nilienda kupata huduma ya afya jamaa wakaanza mikwala yao mbuzi aisee liniwachana wakabaki wanatoa mimacho tu. Kwani ni lazima kuchanja fucken kabisa...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…