atlas copco
JF-Expert Member
- Jun 15, 2015
- 8,497
- 9,728
Wakati anasoma chuo tayari mlikua na mahusiano?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
We are sailing the same boat. Nahisi nitaoa mwingine muda siyo mrefu, nilijizuia sana kuwa watoto wa mama tofauti, ila the situation I'm confronting compels me to so be.
Bro mtoa uzi kuwa makini wanawake wanatunza siri sana,
Why akuambie???????
Jiulize kwanza hilo bro????
Na hiki ndicho kinachonitesa, nawaza vingi mno akilini mwangu, mpaka nafikia hatua ya kuwaza kuwa jamaa amefaidi usichana wa mwanamke wangu kwa kipindi kirefu akimtumia vile atakavyo, kuliko mimi ambaye nimekaa naye mwaka mmoja kisha kupata ujauzito.
Huo ndio utaratibu. Sio unajitafutia matatizo.[emoji23][emoji23][emoji23] nimechekaa
Ya mwisho nimeipenda hatujadumu tulikulana mara moja hata hivyo sijawah kupenda wewe ndio wa kwanza[emoji1787]
Hata niwe in love kiasi gani siwezi kumwambia new baby ukweli kuhusu ex wangu
Mkuu historia mbaya ya mwanamke hugharimu maisha ya mwanamme.Usimuhukumu mtu kwa historia ya zamani. Afu usimchunguze sana nyoka mwishowe utamkuta ana miguu.
Sent from my CPH2185 using JamiiForums mobile app
Ukweli ni kwamba mwanamke ndiyo hupaswa kujilinda, na ndiyo maana familia nyingi zinahakikisha mtoto wa kike analindwa vyema, kamwe hawezi kuwa sawa na mwanamme.Basi hutooa maisha yako yote, sidhani kama yupo mwenye historia nzuri 100% tena kama sio bikra ndo kabisaaa (na nyie historia za sisi kudinywa ndo zinawaumaga as if nyie hamjawahi)
Mrs. ERoniBado nawaza aliwashwa nini hadi ayaseme hayo, jinga kweli.
Kikao kilishaamua kama bikra ilishaondoka na pikipiki basi yeye ndio wa pili na huyo wa kwanza hata hamkudumu saaaana. Na wala haujawahi penda kama unavyompenda yeye.
Mzee mwenzangu baada ya kufichwa ndio unaibuka eeeh!! Tena umeibuka na kuniozesha kabisa 🙆🙆🙆
Sawa lakini sikufanya makosa ya kuishi nao, huku wakinihudumia kwa huduma zinazopaswa kutolewa na mke.
Sijipi uMungu mtu, kufanya mapenzi siyo tatizo kubwa kwangu na ndiyo maana hilo halikuniumiza, kwani hata mimi nimetembeza kichapo sana kwa mabinti wengine, tatizo lililopo hapa ni mwanamke ambaye mimi ndiyo niliyemchagua kuwa Mama wa familia yangu, kuwa na historia ya kuishi na mwanamme, nielewe vizuri, ukiishi na mwanamke maana yake huduma unazopewa kama mme amewahi kutoa kwa mwanamme mwingine tena kwa miaka miwili, aisee inauma sana.Ulimsamehe kimya kimya kwali alikukosea kutokuwa bikra?? Je wewe umemuoa kwa ndoa hadi umsamehe kutokuwa bikra au mnazini tuu??
Na kinachokufanya urindime hasira ni yeye kuishi na mtu kabla hamjajuana seriously dude?? Labda kama unataka kupita hivi baada ya kumpa mimba ndio unamtafutia sababu.
Kumpa adhabu kama nani wewe?? Acha kujipa uMungu kujiona unamtawala simply because ni mpenzi wako na umempa mimba, eti adhabu ndogo khaaa aiseee. Mpe pole yake kwa aina ya mpenzi, baby dady aliyempata
Sijipi uMungu mtu, kufanya mapenzi siyo tatizo kubwa kwangu na ndiyo maana hilo halikuniumiza, kwani hata mimi nimetembeza kichapo sana kwa mabinti wengine, tatizo lililopo hapa ni mwanamke ambaye mimi ndiyo niliyemchagua kuwa Mama wa familia yangu, kuwa na historia ya kuishi na mwanamme, nielewe vizuri, ukiishi na mwanamke maana yake huduma unazopewa kama mme amewahi kutoa kwa mwanamme mwingine tena kwa miaka miwili, aisee inauma sana.
Wakuu kwema,
Moja kwa moja kwenye mada, katika maisha yangu nilijitunza sana ili kuhakikisha sizai hovyo na mwanamke ambaye sitamuoa na nihakikishe napata mwanamke sahihi kwangu na kwa mstakabali mzima wa familia yangu (watoto).
Katika harakati za maisha nimefanikiwa kukutana na dada, ambaye kwa mwonekano wa nje Angefaa sana kuwa mke wangu na mama wa watoto wangu, nikiri kuwa nilimpenda sana, bila shaka hata yeye kanipenda sana, kwa ufupi kaja kwangu nimeendelea kula mzigo dada kabeba ujauzito na anaelekea kujifungua.
Juzi hapa nikiwa kitandani nawaza mambo ya dunia, kwa upole na kwa hekima ya hali ya juu kaniingizia jambo ambalo ukweli limenitoa kwenye reli.
Kwa kutanguliza msamaha na kwa unyenyekevu wa hali ya juu kanieleza kuwa pindi akiwa chuo kuanzia second year hali ya maisha ilikuwa ngumu sana kwa upande wake kutokana na wazazi kutomtimizia mahitaji ya msingi (fedha ya chakula) kwani alisomeshwa na wazazi .
Hivyo kutokana na hali hiyo ilipelekea kuhama hosteli na kwenda kukaa kinyumba na mwanachuo mwenzake (mwanamme) mpaka kumaliza chuo kisha akaachana naye, huyo jamaa alikuwa na boom, hivyo basi kutokana na hali hiyo jambo hilo amekaa nalo moyoni kwa muda mrefu ila ameshindwa kuvumilia anaomba msamaha na kunisihi nimuamini katika maisha yake yote.
Niseme tu kwamba sijaongea chochote mpaka sasa, nimekosa cha kumjibu na hapa moyo wangu unarindima hasira isiyo na mfano, chakula hakipandi na nahisi kupaliwa na kila kiingiacho kinywani kwangu, kila adhabu nayowaza nahisi ni ndogo kwake.
Wakuu wenye hekima na busara naomba mawazo yenu, maake nahisi mi nimefika ukomo wa kuwaza zaidi ya kutaka kufanya maamuzi magumu na ya ovyo.