Mtoto wa Shule
JF-Expert Member
- Nov 16, 2014
- 15,133
- 11,914
Nakubaliana na wewe nje ya CCM hakuna mkubwa. Sasa hivi yupo ndani ya CCM. Wataweza kumtoa?Ni mwepesi sana nje ya CCM hakuna mkubwa zaid ya chama
Sent from my CPH1937 using JamiiForums mobile app
Wangewaita na akina Diallo,Nape,Bulembo hiyo ndio haki
Hapo anayetafutwa ni polepole wengine wamechomekewa tu.
Mkuu ningewaona wa maana CCM kama wangewaita akina Diallo,Nape, Bulembo ambao nao walitoa maneno yasiyo na staha hii ni double standard ya wnye CCM kutaka kukomoana kwa wasiojikomba na wasema ukweliNi kawaida hata Membe bila shaka aliitwa then akafurushwa ndani ya Chama.....sio jambo la kushangaza ni utaratibu wa CCM kwa wanachama wake....
Bila shaka hata vyama vingine vina taratibu zake, tuheshimu taratibu za vyama vyetu....Ndio demokrasia, ukikosea unaitwa unasikilizwa then hukumu inatoka...
MaigizoCCM wanachekesha sana sana
Hapo nyuma walimkosoa aliyekuwa mwenyekiti wake na je sasa kiko wapi?Kujikosoa ni msingi imara wa taasisi yoyote ile. Maana mnapojikosoa ndio hapo mnajiweka sawa na kujirekebisha.
Kwa muda mfupi tangu hayati JPM atutoke watanzania kwa macho yao wameshuhudia mabadiliko makubwa.
kuna dalili mradi mkubwa kama JNHP hautakamilika kama ilivyopangwa, kuna dalili za rushwa kama za Escrow kurudi kupitia mgao wa umeme, harufu za ufisadi kila kona mbaya zaidi ni hata mwaka haujaisha tokea hayati JPM afariki.
Je kwa mwanaCCM kama Polepole kuhoji na kukosoa haya mabaya yanahochafua serikali na chama cha CCM ni kosa?
Jabza zinakufanya unamuwaza sana Lissu kuliko hata unavyomuwaza mume wako.Kuitana CC na kunyooshana kupo miaka na miaka oabla hajazaliwa Lissu
Hizi shule za kata hizi. Hajui kusoma. Imeandikwa Jerry yeye anageuza ''Jelly''. Pumbavu sana.Taarifa inajieleza, Soma
Kwenye send off party sharti bibi harusi awe na wapambe.Gwaji na Jerry yao si yalishaisha jameni, au wanamsindikiza Mr Slow?.
Alihoji Bernad Membe kuhusu haki yake ya kuwa mgombea Urais kwenye chama 2020 na matokeo yake alifukuzwa uwanachama.
Dogo ishu ya Membe huijui vizuri. Kwanini usitafute thread humu ambayo alifanya mahojiano na kituo kimoja hapa nchini na akamwaga nyongo yote?Alihoji Bernad Membe kuhusu haki yake ya kuwa mgombea Urais kwenye chama 2020 na matokeo yake alifukuzwa uwanachama.
Who is he/she by the way?Stuxnet ndio mwenye maelezo mazuri kuhusu hili
JPM yupi tena huyo ambaye atabaki kuwa juu jamani?Dogo ishu ya Membe huijui vizuri. Kwanini usitafute thread humu ambayo alifanya mahojiano na kituo kimoja hapa nchini na akamwaga nyongo yote?
#JPM ATABAKI JUU!!!