Ni kweli tumepoteza nafasi nyingi sana, ilitakiwa tufunge goli zaidi ya tano.Japo tumeshinda ila mpira wa Simba ni mdogo sana, ushindi huu wa papatu papatu hauwezi kutufikisha mbali. Niko tayari kupigwa mawe
wanaandaa press kulalamika kwanini simba walipewa penati na muda ukaongezwaKwa hiyo Uto mnasemaje juu ya mabingwa
AMINA, MUNGU ni mwema,hatimaye tumeshinda.Mungu asaidie tushinde hii game
Hakika tunatakiwa tufanye scout vzr sanaNi kitasa sijaona Ligi kuu NBC, ile nafasi ya Achieng tungepata Inonga mwingine tungekuwa wabaya sana hapo nyuma, japo Achieng ni kiwango kikibwa ukilinganisha na beki wa team nyingine za NBC.
Pole sana.Hapa mpira bado kabisaaaa...hawa jamaa wazuri sana wakiwa nyumbani Simba atachezea kichapo cha si chini ya goli nne ugenini ... Comment hii ipewe ulinzi.. Nakazia...
Hao si ni wanga, wanapenda kutuwangia sana .Yanga wanasubiri mambo yakiharibika wake kushambulia uzi wetu
Simba Tamu Kama Ndoa
Bocco na Mhilu wameibadilisha sana hii game, wameingia na matumaini maana wale wa ndani walikuwa walikuwa wamekata tamaa.Shukran I kwa kepten John Boko kuingia kwako mchezo umebadilika
Mganga alisema Simba wanafungwa 3-1,Mechi imepinduliwa duuh.
KufaJapo tumeshinda ila mpira wa Simba ni mdogo sana, ushindi huu wa papatu papatu hauwezi kutufikisha mbali. Niko tayari kupigwa mawe