Dk 1
Mchezo umeanza.
Timu zimeshaingia uwanjani.
Muda si mrefu wachezaji watatoka kwenye vyumba kwa ajili ya kuanza kwa mchezo huu.
Timu hizi zipo Kundi D katika michuano hii iliyopo chini ya Shirikisho la Soka Afrika (CAF)
Kundi D
1. RS Berkane (Morocco)
2. Simba (Tanzania)
3. ASEC Mimosas (Ivory Coast)
4. USGN (Niger)
Timu zote zinapasha misuli uwanjani
Mchezo wa Kombe la Shirikisho Afrika utakaopigwa leo Jumapili 13, 02, 2022 mgeni rasmi atakuwa ni Naibu Spika wa Bunge la Tanzania, Mussa Azzan Zungu. Mashabiki wanaendelea kuingia uwanjani.
View attachment 2118426