Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na nyinyi tengenezeni ili mfikie huku tulipo sasa.Bado...tengenezeni timu hasa straikers...kagere boko wamesha expire
au tumuuwe kabisaKama kuna nyani kakereka humu na akwendreee akafilie mbele huko!
Download DStv Now nikupe email na password ila utanitoa hata ela ya bia tatu
Wamweke nani?Asec hawana kipa, wamtoe haraka sana huyo kipa kwani wakiendelea naye kwenye mashindano haya ataiua kabisa timu.
Mara kwa mara ameonekana akiweweseka golini, hajiamini na pia ni mwenye papara sana. Kimsingi yeye ndiye amechangia kuiua timu yao leo.
Nyinyi si mlisema Simba ni mbovu, na mkasemakuwa ni lazima tufungwe leo??Nguvu za soda hizi ndizo zikupotezee muda kwa mihemuko yote hiyo ilihali hata hatua ya robo fainali tu hujafika?
MAKOLO MAKOLO MAKOLO nimekuita mara 3 ustuke usiendelee kuwa MBUMBUMBU....[emoji1]
Sio lazma ueleweUna maana gani mkuu?
Ligi yetu imejaaa Hirizi na Makafara meusiiii utadhani tuko GamboshiSimba akicheza huu mpira kwenye ligi aisee watasubiri sn timu zingine
Huyu Inonga kumbe mtori tu, anaruhusije jamaa apige mpira pale mpaka apate goli?
Nguvu za soda hizi ndizo zikupotezee muda kwa mihemuko yote hiyo ilihali hata hatua ya robo fainali tu hujafika?
MAKOLO MAKOLO MAKOLO nimekuita mara 3 ustuke usiendelee kuwa MBUMBUMBU....[emoji1]
Ili jibu nimelipenda niuzie.Sio lazma uelewe
Nyie si mmezoea mech za kimataifa mnagongwa mbele na nyuma !! Maana hapa nyumban huwa mnabebwabebwa tuNguvu za soda hizi ndizo zikupotezee muda kwa mihemuko yote hiyo ilihali hata hatua ya robo fainali tu hujafika?
MAKOLO MAKOLO MAKOLO nimekuita mara 3 ustuke usiendelee kuwa MBUMBUMBU....[emoji1]
Kwasababu wanajua hiyo ni kawaida ya Simba sio kitu kigeni kwaoMpaka sasa mama Samia au PM awajatoa pongezi kwa Simba,au wanategeana nini?
Asec hawana kipa, wamtoe haraka sana huyo kipa kwani wakiendelea naye kwenye mashindano haya ataiua kabisa timu.
Mara kwa mara ameonekana akiweweseka golini, hajiamini na pia ni mwenye papara sana. Kimsingi yeye ndiye amechangia kuiua timu yao leo.