Simba 3-1 ASEC Mimosas | CAF Confederation Cup | Uwanja wa Mkapa

Simba 3-1 ASEC Mimosas | CAF Confederation Cup | Uwanja wa Mkapa

Waliwahi kushiriki.
1644759989015.jpg
1644767230132.jpg
1644760977404.jpg
 
Go Asec..

Go Mimosa..

You have come d'slaam to hunt a lioness that can't roar without 'chupli chupli'

0-2[emoji39]
Hahaha from what you've spoken, do you have any comment about the game pal?
 
Simba Sports Club Inaendelea Kuwa prove wrong Wachambuzi Wetu wengi Wa Soka...! Wengi ukiwasikiliza wanajikanyaga kanyaga.
wachambuzi wanajichanganya sana kana kwamba hawaelewi soccer lina matokeo ya ajab sana sijui wataongea nin leo maana wengi uchambuz wao walionesha simba itapigwa goli nying.

Lakin mpira kwenye pitch na mpira mdomoni ni vitu viwil tofaut wachambuz wamefel..
 
Yanga ni moja ya timu mbovu Sana,yaan huwa inapokea kichapo nyumban na ugenin,yaan inatupaga aibu Sana watanzania,
Lakn Simba ni Moto sku zote

Simba oyeeeeeeee!!!!
Kuihusisha Yanga na michuano ya kimataifa ni kuikosea heshima michuano hiyo.
Ujiulizi nguvu alizotumia GSM kuidhamini ligi kuu ilikua ni nini...Nembo yao iwepo kwenye timu ya kimataifa.. Bahati mbaya kwao haikutokea hilo..

Sent from my SM-A405FN using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom