Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Simba Sports Club Inaendelea Kuwa prove wrong Wachambuzi Wetu wengi Wa Soka...! Wengi ukiwasikiliza wanajikanyaga kanyaga.
Niliona sakho anapiga sarakasi.Shahidi bila shaka na wewe umefatilia yaliyotendeka leo duniani, sasa iambie jamii forums nini kilitokea kwa Mkapa kuanzia saa 10 mpaka 12jioni ya leo.
Nikisema kapombe, banda na bocco nao walikuwepo, ntakua nasema uongo?Niliona sakho anapiga sarakasi.
Tanzania napo kuna wachambuzi..? Wachambuzi ambao hatujawahi sikia au kuona wakicheza mpira level hata ya ligi kuu nchiniwachambuzi wanajichanganya sana kana kwamba hawaelewi soccer lina matokeo ya ajab sana sijui wataongea nin leo maana wengi uchambuz wao walionesha simba itapigwa goli nying
Lakin mpira kwenye pitch na mpira mdomoni ni vitu viwil tofaut wachambuz wamefel..
Japo tumeshinda ila mpira wa Simba ni mdogo sana, ushindi huu wa papatu papatu hauwezi kutufikisha mbali. Niko tayari kupigwa mawe
nipeni pesa yangu niwajulishe mengineyo 😁😁Aiseee !! Tujulishe wew ni sanga titi toka wapi [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Aiseee !! Tujulishe wew ni sanga titi toka wapi [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
HabariGo Asec..
Go Mimosa..
You have come d'slaam to hunt a lioness that can't roar without 'chupli chupli'
0-2[emoji39]
UnasemaaFull Time
Mimosas 4- simba 0
Niwe mkweli leo simba hatutoboi kabisa tumezoea kubebwa
Kina naniMna kula 2-0