OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 53,868
- 121,001
Akiba niliyoweka naweza kukupa kama mkopo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Akiba niliyoweka naweza kukupa kama mkopo
🤣🤣🤣🤣🖐🖐Mna kula 2-0
Asante
Binamuuu!binaaamuMungu asaidie tushinde hii game
Heee
mganga nikukaribia kuisha kwamkataba wake hamna lingine uonapo changes tambua mkataba uko kuelekea mwisho mengine uongoPongezi Kwa mganga mpya wa Bocco.
acha kuota utajinyea bureHapa mpira bado kabisaaaa...hawa jamaa wazuri sana wakiwa nyumbani Simba atachezea kichapo cha si chini ya goli nne ugenini ... Comment hii ipewe ulinzi.. Nakazia...
uto uliechangamka hay tangulia avic townHuo ndo ukweli mkuu. Japo Simba tumeshinda ila nasikitika sana kuona timu bora imepoteza mchezo
Labani og tuongeze sauti au inatosha?Sasa CAF wenyewe wamemnyooshea mikono Sakho, we Chura unapatia wapi hiyo Confidence ya kuwa underestimate uwezo wa wachezaji wa SIMBA?
View attachment 2118610
Team yenye wachezaji wenye msaada iko wapi kimashindano??mm shabiki wa Simba, huo Ni ukweli, kagere, bocco, mugalu, Morrison wamefikia ukingoni. Hawana msaada kwa Sasa.
Unaambiwaje mechi ya leo Chama,Lwanga,Dilunga,Morisone awakuwepo lakini Asec Mambo sasa kala tatu,,Je'wangekuwepo hao jamaa si mtu angekula saba?
uwezo wako wa kufikiri ni mdogo sanaNguvu za soda hizi ndizo zikupotezee muda kwa mihemuko yote hiyo ilihali hata hatua ya robo fainali tu hujafika?
MAKOLO MAKOLO MAKOLO nimekuita mara 3 ustuke usiendelee kuwa MBUMBUMBU....[emoji1]
Tungefungwa, sasahivi thread ingekuwa page ya 50.Leo mnyama amejua kuwafukuza vyura, wamepoteana vibaya sana hapa jukwaani...
Hakika na wanaumoja wanakujaga kama nyuki sijui wanayokaga wapi waleTungefungwa, sasahivi thread ingekuwa page ya 50.
Simba ni brand kubwa haya GSM anajuta kutangaza na yanga badala ya simba.mnyama anafuatiliwa sana africaHakika na wanaumoja wanakujaga kama nyuki sijui wanayokaga wapi wale