Simba Bob Junior wa Serengeti apinduliwa na kuuawa

Stori nzuri na taarifa ya kusisimua!
 
Kabla ya kula tunda kulikua hamna kufa na mbingu zilikua extended hadi huku duniani, katika uumbaji wanyama waliumbwa kwa neno la Mungu while binadamu alumbwa kwa neno na kuwekewa Roho ya Mungu ndani yake
 
Kweli aise, ndiyo maana kuna video, nguruwe anashambuliwa na mamba, bwawani, unaona anafanikiwa kutoka bwawani, anakimbia mita nane tu, anaingia tena bwawani.
 
Hao Simba waliofanya mapinduzi haramu, wajue kuwa wana kesi ya Uhaini inawakabiri.
Hao Simba waliompindua na kumuua Bob-Simba inabidi wawekewe vikwazo na jumuia za kimataifa kwani utawala wao ni haramu na hautambuliki. Full stop!
 
Kabla ya kula tunda kulikua hamna kufa na mbingu zilikua extended hadi huku duniani, katika uumbaji wanyama waliumbwa kwa neno la Mungu while binadamu alumbwa kwa neno na kuwekewa Roho ya Mungu ndani yake
Tafsiri ya kutokujua mema na mabaya ni nn? Mtu asiyejua mema na mabaya anafananaje?
 
Kweli aise, ndiyo maana kuna video, nguruwe anashambuliwa na mamba, bwawani, unaona anafanikiwa kutoka bwawani, anakimbia mita nane tu, anaingia tena bwawani.
Hahaha. Unajaribu kusema nn?
 
Kuna Coalition za Simba dume mpaka sita fuatilia documentary mbali mbali mkuu,,wanaishi pamoja, wanawinda pamoja na wanateka ngome pamoja
 
Kuna Coalition za Simba dume mpaka sita fuatilia documentary mbali mbali mkuu,,wanaishi pamoja, wanawinda pamoja na wanateka ngome pamoja
Mdugu huwa wanaishi pamoja
Issue wakifika umri fulani lazima baba yao awafukuze otherwise atawaua.
Ukiina wamekuwa wengi sehemu moja basi ujue kilichotokea ni wale waliofukuzwa kutoka familia tofauti hujikuta wanatangatanga wenyewe with no experience au ngu thabiti za kuwinda. Hawa wakikutana huwa hawafukuzani bali huungana na kuishi pamoja ingawa ni very rare case
 
Uko sahihi kabisa kwa hilo..Lakini pia kuna wengine mfano kama Mapogo brothers waliotawala sehemu kubwa ya Kruger national park Afrika kusini na coalition zingine kibao unakuta ni madume kadhaa yanayokua pamoja na kushirikiana kwa Kila kitu...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…