Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Stori nzuri na taarifa ya kusisimua!SAD NEWS…
Taarifa ya kifo cha Simba maarufu huko Serengeti ajulikanae kama Bob imezistua Nyoyo za Watu wengi Duniani ambao walifanikiwa kumuona Simba huyo ambae alikuwa kipenzi cha Watu kwa kuwa hakuwa na tabia za kujificha wala kukwepa Camera.
Bob alikutwa na umauti baada ya kundi la Simba Watatu kumvamia na kutimiza Lengo lao la muda mrefu la kuuangusha utawala wa Bob na kusimika ufalme wao porini hapo.
Simba hao Watatu ambao Bob aliwalea tangu wakiwa wachanga inasemekana walishafanya mapinduzi mara kadhaa ya kutaka kuuangusha utawala wa Bob lakini mara zote walikutana na upinzani mkali na hata kukimbizwa maeneo hayo.
Bob ambae alikuwa mtemi na mtawala wa eneo la Namiri aliongoza Simba wa eneo hilo kwa kipindi kirefu sana na alikwepa mapinduzi ya aina mbalimbali kwa vipindi tofauti huko Mashariki ya Serengeti.
Utawala wa Bob ulikuja baada ya kumpindua na kumuua Baba yake ambae alikuwa maarufu pia kwa Watalii Duniani ambae alifahamika kama C-Boy.
Umauti ulimkuta C-Boy mwendo wa Jioni pembezoni mwa Mto Ngare Nanyuki ambapo wakiwa wawili tu Bob alifanikiwa kufanya mapinduzi hayo tukufu na kuumaliza utawala wa Baba yake.
Pumzika kwa amani Bob.
Vita ulivipigana na mwendo umeumaliza.
View attachment 2549829
View attachment 2549828
View attachment 2549827
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kwa kweli, adhabu ni wao kunyongwaa.
Kabla ya kula tunda kulikua hamna kufa na mbingu zilikua extended hadi huku duniani, katika uumbaji wanyama waliumbwa kwa neno la Mungu while binadamu alumbwa kwa neno na kuwekewa Roho ya Mungu ndani yakeMbwa, paka hawajui wrong and right? Fuga halafu uwachunguze tabia zao utagundua.
Halafu kwa hadithi za biblia ufahamu wa mema na mabaya ulikuja baada ya kula tunda, sasa kwa ulichosema inamaana Kabla ya kula tunda binadamu alikuwa kama mnyama sababu hakujua wrong and right? Kuna kitu hakiko sawa.
Mungu hajaandaa faili lao halafu kuua swala si dhambi.Ni msosiHivi simba nao wanaenda peponi na motoni ?
[emoji23] hakuzusha vurumai kweli..!?Mara mwisho hyu jamaa niliwahi kumuona kitambaa cheupe pale tabata...ni mtu poa sana sema alipenda totoz ...r.i.p.bob juniur...huzin kwa tasnia nzima kwa kwl..[emoji26]
PooleeDaaaah acha basi...
Ila huyo Simba ameniumaaa
Alikua so unique
Kweli aise, ndiyo maana kuna video, nguruwe anashambuliwa na mamba, bwawani, unaona anafanikiwa kutoka bwawani, anakimbia mita nane tu, anaingia tena bwawani.Mbwa, paka hawajui wrong and right? Fuga halafu uwachunguze tabia zao utagundua.
Halafu kwa hadithi za biblia ufahamu wa mema na mabaya ulikuja baada ya kula tunda, sasa kwa ulichosema inamaana Kabla ya kula tunda binadamu alikuwa kama mnyama sababu hakujua wrong and right? Kuna kitu hakiko sawa.
Tuombee tuu tuvuke jmosi maumivu yapotee 😆 😆 😆Poolee
Nilimuonea huruma nikasema kweli ndo maana NguruweKweli aise, ndiyo maana kuna video, nguruwe anashambuliwa na mamba, bwawani, unaona anafanikiwa kutoka bwawani, anakimbia mita nane tu, anaingia tena bwawani.
Hao Simba waliompindua na kumuua Bob-Simba inabidi wawekewe vikwazo na jumuia za kimataifa kwani utawala wao ni haramu na hautambuliki. Full stop!Hao Simba waliofanya mapinduzi haramu, wajue kuwa wana kesi ya Uhaini inawakabiri.
Tafsiri ya kutokujua mema na mabaya ni nn? Mtu asiyejua mema na mabaya anafananaje?Kabla ya kula tunda kulikua hamna kufa na mbingu zilikua extended hadi huku duniani, katika uumbaji wanyama waliumbwa kwa neno la Mungu while binadamu alumbwa kwa neno na kuwekewa Roho ya Mungu ndani yake
Akili wako nazo ila utashi hwanaWanyama hawana akili kivp, una uhakika hawana akil , au ni story za kusikia tu.
Hahaha. Unajaribu kusema nn?Kweli aise, ndiyo maana kuna video, nguruwe anashambuliwa na mamba, bwawani, unaona anafanikiwa kutoka bwawani, anakimbia mita nane tu, anaingia tena bwawani.
Kuna Coalition za Simba dume mpaka sita fuatilia documentary mbali mbali mkuu,,wanaishi pamoja, wanawinda pamoja na wanateka ngome pamojaHao ni simba brothers, hao siku zote huishi pamoja, lakini lijapo swala la baba na vijana wake wa kiume kamwe huwa hawaishi pamoja.
Watoto wa Simba wakikua, lile dume (baba yao) huwafukuza wakajitegemee, lakini majike huwa hawafukuzwi.
Wale watoto wakishapata nguvu huko ndipo hupanga kuja kufanya mapinduzi ya kumuua baba yao.
Mdugu huwa wanaishi pamojaKuna Coalition za Simba dume mpaka sita fuatilia documentary mbali mbali mkuu,,wanaishi pamoja, wanawinda pamoja na wanateka ngome pamoja
Uko sahihi kabisa kwa hilo..Lakini pia kuna wengine mfano kama Mapogo brothers waliotawala sehemu kubwa ya Kruger national park Afrika kusini na coalition zingine kibao unakuta ni madume kadhaa yanayokua pamoja na kushirikiana kwa Kila kitu...Mdugu huwa wanaishi pamoja
Issue wakifika umri fulani lazima baba yao awafukuze otherwise atawaua.
Ukiina wamekuwa wengi sehemu moja basi ujue kilichotokea ni wale waliofukuzwa kutoka familia tofauti hujikuta wanatangatanga wenyewe with no experience au ngu thabiti za kuwinda. Hawa wakikutana huwa hawafukuzani bali huungana na kuishi pamoja ingawa ni very rare case