Simba Day: Simba SC yaisambaratisha Vital-O 6-0

Simba Day: Simba SC yaisambaratisha Vital-O 6-0

simba tunataka mechi na Bayern Munich
Really?

Screenshot_20200823-064133.jpg
 
Tumekutana mara 3
Tumeshinda moja
Mkashinda moja
Tukasuluhu moja

Mechi mliyotufunga tayari mlikua mmemlaghai Tshishimbi na Morrison wakaiua team katikati kukawa kumepwaaya. Kwa uwekezaji (kama mnavyodai tho sijaona kilichowekezwa) hamkustahili kufungwa wala kudraw na Yanga ile.

Usizunguke, Nyoosha Maelezo Mulifungwa goli ngapi?
 
Hakika tamasha limependeza saana.Doa pekee ni pale mdosi (MO ambaye ndiye Muwekezaji mkuu wa Club ya Simba) kama kawaida yao (wadosi) na heshima ya unafiki na uwoga alipotaka kuleta siasa wakati akimtambulisha mgeni rasmi Mh. Zungu (aliyekuwa Mbunge wa Ilala CCM) kwa kumfanyia kampeni na kama haitoshi akaendelea kwa kumfanyia pia kampeni Rais Magufuli. Lakini kwa kuwa washabiki wengi wa Simba ni watu makini na wasioendekeza upuuzi wa ugabochori wakampa za uso kwa kumchunia pale aliposema Magufuri oyeeee. Kama ana akili atakuwa amenyooka kwani inaoneka baada ya kupigwa "spana" katika hizi siku mbili zilizopita kuhusu wapi zilipo 20bil alizotakiwa kulipa kabla kuinunua Simba na sio baada ya kuanza kunufaika na Simba inaonekana amekuwa akitafuta kila aina ya "Platform" ya kumuunga mkono hasa mamlaka za juu kwa kujipendekeza ili kuweka mambo yake sawa

Nyie Utopolo Mwaka huu Nyote Mutajiita Simba.
Sisi tumabeba Makombe Nyinyi endeleeni kudai 20B.
 
Mo ni mfanyabiashara na anajua how to plays with the system ..lazima usifie wakubwa ili mambo yake yaende .Hii ni Africa na sio Marekani .huku ukimess up na system kwisha habari yako.
Hapa tunaochukia sisiemu..Mo amefanya katika muktadha wa kibiashara na maslahi yake zaidi....
 
View attachment 1544625
View attachment 1544671

View attachment 1544820
Tupo Tayari

Hatimaye ile sikukuu kubwa la kisoka Africa inafika kileleni leo katika viwanja vikubwa viwili Benjamin Mkapa na Uwanja wa Uhuru.

Tutakuwa hapa kuwapa updates ya matukio na mechi kali kati ya Simba SC Vs Vital O


Magoli yote ya Simba
Onyo
Nitakuwa wa mwisho kutomuunga mkono Mo Dewji. Puuza Utopolo na wavimba macho wote
Pamoja na kumualika diamond mmeshindwa hata kujaza uwanja kwa kujua kama mtaabika mkaleta team dhaifu ili mpate matokeo mliyo yatarajia
 
Sawa Mkuu, ila tumewafumua sana au ndyo uwezo tulionao kwa sasa Simba?

kama ndyo uwezo wetu tulionao basi safari hii tutarajie makubwa sana ligi ya mabingwa wa afrika
Vitaro utopolo tu mkuu tusijifariji
 
Kwa Simba hii nalipia king'amuzi mwaka mzima sitaki mzaha
 
Tumekutana mara 3
Tumeshinda moja
Mkashinda moja
Tukasuluhu moja

Mechi mliyotufunga tayari mlikua mmemlaghai Tshishimbi na Morrison wakaiua team katikati kukawa kumepwaaya. Kwa uwekezaji (kama mnavyodai tho sijaona kilichowekezwa) hamkustahili kufungwa wala kudraw na Yanga ile.
Wacha maneno ya kukunia nazi hayo, hata kikiingia kichwa tu kama bao limetoka ujue tayari mimba. Mlifungwa ngapi?
 
Back
Top Bottom