abdulhamis
JF-Expert Member
- Aug 2, 2019
- 1,436
- 2,296
Tulikua tunasubir viwanja vijae viwil kama alivyo Sema yule meno mawese
Sent from my JKM-LX1 using JamiiForums mobile app
Sent from my JKM-LX1 using JamiiForums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mnajitekenya na kucheka wenyewe mbumbumbu fc.ile mido na winga ni hatari,mechi kama ya Yanga striker hata akiwekwa Zuchu inatosha kuichapa Utopolo
Tumekutana mara 3
Tumeshinda moja
Mkashinda moja
Tukasuluhu moja
Mechi mliyotufunga tayari mlikua mmemlaghai Tshishimbi na Morrison wakaiua team katikati kukawa kumepwaaya. Kwa uwekezaji (kama mnavyodai tho sijaona kilichowekezwa) hamkustahili kufungwa wala kudraw na Yanga ile.
Hawa celebrities wanao shabikia simba ni wanaipenda kweli au kisa timu ya milionea Mo?
Hakika tamasha limependeza saana.Doa pekee ni pale mdosi (MO ambaye ndiye Muwekezaji mkuu wa Club ya Simba) kama kawaida yao (wadosi) na heshima ya unafiki na uwoga alipotaka kuleta siasa wakati akimtambulisha mgeni rasmi Mh. Zungu (aliyekuwa Mbunge wa Ilala CCM) kwa kumfanyia kampeni na kama haitoshi akaendelea kwa kumfanyia pia kampeni Rais Magufuli. Lakini kwa kuwa washabiki wengi wa Simba ni watu makini na wasioendekeza upuuzi wa ugabochori wakampa za uso kwa kumchunia pale aliposema Magufuri oyeeee. Kama ana akili atakuwa amenyooka kwani inaoneka baada ya kupigwa "spana" katika hizi siku mbili zilizopita kuhusu wapi zilipo 20bil alizotakiwa kulipa kabla kuinunua Simba na sio baada ya kuanza kunufaika na Simba inaonekana amekuwa akitafuta kila aina ya "Platform" ya kumuunga mkono hasa mamlaka za juu kwa kujipendekeza ili kuweka mambo yake sawa
Wallah kwa huu utani ningekua Mimi ningeliaAu labda jamaa anajua apdates ni pesa za nchi flani ya ulaya[emoji23].maana keshalilia hizo apdates mpaka huruma.
Hapa tunaochukia sisiemu..Mo amefanya katika muktadha wa kibiashara na maslahi yake zaidi....Mo ni mfanyabiashara na anajua how to plays with the system ..lazima usifie wakubwa ili mambo yake yaende .Hii ni Africa na sio Marekani .huku ukimess up na system kwisha habari yako.
🤣🤣🤣🤣 ..daah Ila we jamaaile mido na winga ni hatari,mechi kama ya Yanga striker hata akiwekwa Zuchu inatosha kuichapa Utopolo
nyie mlifungwa ngapi na hilo timu mbumbumbu
Pamoja na kumualika diamond mmeshindwa hata kujaza uwanja kwa kujua kama mtaabika mkaleta team dhaifu ili mpate matokeo mliyo yatarajiaView attachment 1544625
View attachment 1544671
View attachment 1544820
Tupo Tayari
Hatimaye ile sikukuu kubwa la kisoka Africa inafika kileleni leo katika viwanja vikubwa viwili Benjamin Mkapa na Uwanja wa Uhuru.
Tutakuwa hapa kuwapa updates ya matukio na mechi kali kati ya Simba SC Vs Vital O
Magoli yote ya Simba
Onyo
Nitakuwa wa mwisho kutomuunga mkono Mo Dewji. Puuza Utopolo na wavimba macho wote
na sisi tuilaumu TFF kutuletea timu dhaifu kwenye FA tukaichakaza 4?Pamoja na kumualika diamond mmeshindwa hata kujaza uwanja kwa kujua kama mtaabika mkaleta team dhaifu ili mpate matokeo mliyo yatarajia
Simba ilichapa UTOPOLO 4-0Pamoja na kumualika diamond mmeshindwa hata kujaza uwanja kwa kujua kama mtaabika mkaleta team dhaifu ili mpate matokeo mliyo yatarajia
Vitaro utopolo tu mkuu tusijifarijiSawa Mkuu, ila tumewafumua sana au ndyo uwezo tulionao kwa sasa Simba?
kama ndyo uwezo wetu tulionao basi safari hii tutarajie makubwa sana ligi ya mabingwa wa afrika
Huu ni utopolo mwingine wa Mo,Bashite anaweza kushauri kitu gani Cha maana?Vipi Mshauri Mkuu wa Timu Paulo Makonda alikuwepo ?
Pamoja na kumualika diamond mmeshindwa hata kujaza uwanja kwa kujua kama mtaabika mkaleta team dhaifu ili mpate matokeo mliyo yatarajia
Wacha maneno ya kukunia nazi hayo, hata kikiingia kichwa tu kama bao limetoka ujue tayari mimba. Mlifungwa ngapi?Tumekutana mara 3
Tumeshinda moja
Mkashinda moja
Tukasuluhu moja
Mechi mliyotufunga tayari mlikua mmemlaghai Tshishimbi na Morrison wakaiua team katikati kukawa kumepwaaya. Kwa uwekezaji (kama mnavyodai tho sijaona kilichowekezwa) hamkustahili kufungwa wala kudraw na Yanga ile.
hii comment kabla ya goli sita niliwaona vital o ni wadogo sana kwa simba