Simba haina timu ya kuifunga Yanga. Ikitokea Simba imemfunga Yanga nakalia moto bila kuwa na nguo

Simba haina timu ya kuifunga Yanga. Ikitokea Simba imemfunga Yanga nakalia moto bila kuwa na nguo

... Maana si rahisi. Simba akamfunga yanga natuma picha humu nimekalia moto nikiwa uchi.


1666022401245.png
 
Kwanza ujiulize mara ya mwisho kumfunga Simba kwenye ligi ilikuwa lini?
Pili ukumbuke kikosi kitakachocheza siyo kile cha ngao ya jamii cha Zoran.
Manula, Zimbwe, Israh, Hinonga, Onyango, Mzamiru, Kanoute, Chama, Phiri, Okra na Sakho. Kina Banda, Gadiel, Kenedy wataingia kipindi cha pili.
Tatu, unapaswa kujua kuwa Simba wana uwezo wa kuwafunga goli la mapema na kuongeza zaidi wakati mkitafutana.
Nne kwa sasa hakuna hadaki Kakolanya, Outara hataanza, Kibu hatacheza na mna bahati Kapombe ni majeruhi.
Tano kikosi chenu kinaongozwa na kipa aliyefungwa magoli sawa na mechi alizocheza msimu huu, mnaye Mwamyeto atakayemkaba Chama kwa macho, Mnaye Morrison asiyesaidia timu kukaba, Mnaye Aucho mwenye kilo 800, mnaye Kibwana anayesubiri tu huruma za Okrah, Mnaye Aziz ambaye anakuwa busy kuvuta pumzi kwa mdomo kuliko kucheza mpira. Mnaye Biringanya ambaye nina hakika hawezi kucheza hiyo siku. Mnaye Lomalisa ambaye anaweza kumpa Phiri assist na mnaye Kisinda anayekimbia kama ngiri bila malengo.
Umeongea kama mwanamichezo. Hukutumia lugha za matusi. Hongera. Yanga hata ingepanga kikosi cha pili. Inajua udhaifu wa Simba nini. Niamini... Simba haiwezi mfunga yanga ikijitahidi ni draw.
 
Nikweli Simba hawakumbuki walitufunga lini kwenye ligi,kwetu hawa mikia ni dhaifu sana.

NB: Ahadi za kijinga jinga kama hiyo yako uliyoitoa ni aibu maana mpira lolote linaweza kutokea,toa hoja na facts za why timu yako itashinda,achana na huo upuuzi wa ahadi zisizo na kichwa wa miguu
 
Umeongea kama mwanamichezo. Hukutumia lugha za matusi. Hongera. Yanga hata ingepanga kikosi cha pili. Inajua udhaifu wa Simba nini. Niamini... Simba haiwezi mfunga yanga ikijitahidi ni draw.
Hamna haja ya matusi. Kinachotakiwa ni kuangalia uhalisia badala ya kuangalia tunachopenda. Kwa sasa tumeona Okra akiwa kwenye ubora wa hali ya juu na ile mipira mirefu italazimisha Djuma asipande kabisa huku Kisinda au Moloko wakilazimika kurudi kumsaidia Djuma. Katikati wakicheza viungo katili wawili Putin na Mzamiru ni dhahiri kuwa watakata mawasiliano na kulazimisha Yanga wacheze pasi ndefu kama Simba ambayo tunajua hawana uzoefu huo. Upande wa Kibwana itakuwa ana changamoto ya kumdhibiti Sakho huku Chama akiwa anapitia upande huo pia.
Mayele kama ilivyokuwa jana hataweza kupata ayempt hata moja kwa kuwa mipira itakuwa haimfikii au atalazimika kuja kuifuata katikati.
Bangala pale kati itakuwa hana kazi kabisa hivyo itabidi atoke mapema sana.
Game ya Jumapili sioni yanga wakipata hata sare.
 
Haya maneno ndo yanawaponzaga,mikwara mingii ooh timu yenyewe imefungwa na Timu ya watoto ya Tp mazembe,matokeo yake Msudani huyooo kamaliza kazi,porojo mpka wachezaji wanaona kuwa kumbe kibarua chepesi kumbe kazi kazi.
 
Umeongea kama mwanamichezo. Hukutumia lugha za matusi. Hongera. Yanga hata ingepanga kikosi cha pili. Inajua udhaifu wa Simba nini. Niamini... Simba haiwezi mfunga yanga ikijitahidi ni draw.
Jumapili utaletewa moto mpaka hicho kimuhemuhe chako kikushuke,unatangaza kabisa kuwa unataka kuwekwa.
 
Nikweli Simba hawakumbuki walitufunga lini kwenye ligi,kwetu hawa mikia ni dhaifu sana.

NB: Ahadi za kijinga jinga kama hiyo yako uliyoitoa ni aibu maana mpira lolote linaweza kutokea,toa hoja na facts za why timu yako itashinda,achana na huo upuuzi wa ahadi zisizo na kichwa wa miguu
Anawashwa huyo anatafuta mkunaji
 
Unadhihirisha upstairs kupo vipi,
mafanikio ya Yanga ni kuifunga Simba 🙄
Simba ambayo inauwezo wa kuifunga Al Hilal iliyowafunga.
 
Hasira za al hilal mnatuletea huku tz mmeshindwa uko, metia aibu taifa
 
Hovyo kabxaa janaume linataka lijijalie kalie uchi mbele ya wanaume wenzake....punga jingine hili
 
Na kwa sababu tushawajua mnasajili kwa ajili ya kuifunga Simba basi hiyo jumapili tutawaachia ili mfute machozi kidogo. Sisi tunawaza kuifunga Al Ahly, Rs Berkane, Mamelod na other Giants teams kwenye hatua ya makundi. Nyie endeleeni kuwaza kuifunga Simba jumapili pengine CAF watawafikilia mtajikutta mmeingia hatua ya makundi. All the best
 
Matatizo ya afya ya akili bado ni changamoto nchini.
Na mganga mkuu wa hospitali ya Milembe amesema wammezidiwa na idadi ya wagonjwa wa akili. Sasa sijui mleta uzi atapelekwa hospitali gani?[emoji16]
 
Back
Top Bottom