Simba haina timu ya kuifunga Yanga. Ikitokea Simba imemfunga Yanga nakalia moto bila kuwa na nguo

Simba haina timu ya kuifunga Yanga. Ikitokea Simba imemfunga Yanga nakalia moto bila kuwa na nguo

Kwanza ujiulize mara ya mwisho kumfunga Simba kwenye ligi ilikuwa lini?
Pili ukumbuke kikosi kitakachocheza siyo kile cha ngao ya jamii cha Zoran.

Manula, Zimbwe, Israh, Hinonga, Onyango, Mzamiru, Kanoute, Chama, Phiri, Okra na Sakho. Kina Banda, Gadiel, Kenedy wataingia kipindi cha pili.

Tatu, unapaswa kujua kuwa Simba wana uwezo wa kuwafunga goli la mapema na kuongeza zaidi wakati mkitafutana.

Nne kwa sasa hakuna hadaki Kakolanya, Outara hataanza, Kibu hatacheza na mna bahati Kapombe ni majeruhi.

Tano kikosi chenu kinaongozwa na kipa aliyefungwa magoli sawa na mechi alizocheza msimu huu, mnaye Mwamyeto atakayemkaba Chama kwa macho, Mnaye Morrison asiyesaidia timu kukaba, Mnaye Aucho mwenye kilo 800, mnaye Kibwana anayesubiri tu huruma za Okrah, Mnaye Aziz ambaye anakuwa busy kuvuta pumzi kwa mdomo kuliko kucheza mpira. Mnaye Biringanya ambaye nina hakika hawezi kucheza hiyo siku. Mnaye Lomalisa ambaye anaweza kumpa Phiri assist na mnaye Kisinda anayekimbia kama ngiri bila malengo.
Morison amepigwa ban mechi tatu ikiwepo ya jumapili
 
Admins nimeweka hii ahadi kuwa ikitokea bahati mbaya. Maana si rahisi. Simba akamfunga yanga natuma picha humu nimekalia moto nikiwa uchi. Na naomba members wawili au watatu wawepo kama mashaidi. Nikishindwa nipigwe ban mwezi mzima.

Simba ni team mbovu kwa Yanga. Simba haiwezi mfunga Yanga. HAIWEZEKANI. NI RAHISI NGAMIA KUPITA KWENYE TUNDU LA SINDANO KULIKO SIMBA KUMFUNGA YANGA TAREHE 23.
Huna akili
 
Admins nimeweka hii ahadi kuwa ikitokea bahati mbaya. Maana si rahisi. Simba akamfunga yanga natuma picha humu nimekalia moto nikiwa uchi. Na naomba members wawili au watatu wawepo kama mashaidi. Nikishindwa nipigwe ban mwezi mzima.

Simba ni team mbovu kwa Yanga. Simba haiwezi mfunga Yanga. HAIWEZEKANI. NI RAHISI NGAMIA KUPITA KWENYE TUNDU LA SINDANO KULIKO SIMBA KUMFUNGA YANGA TAREHE 23.
Wameota mapembe baada ya kuifunga ihefu ya angola wameshajiona wanacho kikosi chenye ubora kama walichonacho yanga, nipo naangalia nyuzi zao humu jinsi wanavyobwata na kuongea maneno meeengi yasiyokuwa na kichwa wala miguu na sisi tuliosoma cuba tunawapimia tu waendelee kupuyanga tutakutana uwanjani na itajulikana timu bora ni ipi, matokeo waliyopata kwa kucheza na timu dhaifu yamewapa ujasiri wa kudhani wanaenda kukutana tena na timu kama ile waliyocheza nayo, nyie tulieni subilieni wanachokwenda kukutana nacho uyo mgunda wanaempigie saluti wataanza kumpa za uso kuanzia jumatatu
 
Kwanza ujiulize mara ya mwisho kumfunga Simba kwenye ligi ilikuwa lini?
Pili ukumbuke kikosi kitakachocheza siyo kile cha ngao ya jamii cha Zoran.

Manula, Zimbwe, Israh, Hinonga, Onyango, Mzamiru, Kanoute, Chama, Phiri, Okra na Sakho. Kina Banda, Gadiel, Kenedy wataingia kipindi cha pili.

Tatu, unapaswa kujua kuwa Simba wana uwezo wa kuwafunga goli la mapema na kuongeza zaidi wakati mkitafutana.

Nne kwa sasa hakuna hadaki Kakolanya, Outara hataanza, Kibu hatacheza na mna bahati Kapombe ni majeruhi.

Tano kikosi chenu kinaongozwa na kipa aliyefungwa magoli sawa na mechi alizocheza msimu huu, mnaye Mwamyeto atakayemkaba Chama kwa macho, Mnaye Morrison asiyesaidia timu kukaba, Mnaye Aucho mwenye kilo 800, mnaye Kibwana anayesubiri tu huruma za Okrah, Mnaye Aziz ambaye anakuwa busy kuvuta pumzi kwa mdomo kuliko kucheza mpira. Mnaye Biringanya ambaye nina hakika hawezi kucheza hiyo siku. Mnaye Lomalisa ambaye anaweza kumpa Phiri assist na mnaye Kisinda anayekimbia kama ngiri bila malengo.
Ndio mkae kwa kutulia acheni porojo kama wauza karanga, kikosi bora kitajulikana siku iyo, yanga sio ihefu ya angola mliyocheza nayo, yanga inabaki kuwa yanga mkae mnalijua hilo, mjue mnakwenda kukutana na timu bora na msiende na matokeo yenu mfukoni kama ambavyo mnafanya mnapocheza na timu nyingine, hii sio bata bullets wala de agosto hii ni yanga brother unapoongea vitu uwe na akiba ya maneno usijitoe ufahamu kiivyo utajidhalilisha bure
 
Admins nimeweka hii ahadi kuwa ikitokea bahati mbaya. Maana si rahisi. Simba akamfunga yanga natuma picha humu nimekalia moto nikiwa uchi. Na naomba members wawili au watatu wawepo kama mashaidi. Nikishindwa nipigwe ban mwezi mzima.

Simba ni team mbovu kwa Yanga. Simba haiwezi mfunga Yanga. HAIWEZEKANI. NI RAHISI NGAMIA KUPITA KWENYE TUNDU LA SINDANO KULIKO SIMBA KUMFUNGA YANGA TAREHE 23.

Mwenzako alisema aitwe Ashura na wewe unataka ukalie Moto!

Mna nini lakini mashabiki wa Yanga? Si useme tu unataka kutuonesha tabia yako au unataka kutoa kinyesi kwa kutumia Moto[emoji28]
 
Yanga na abovu sana mkuu. Kinachowasaidia Hapa ni ndumba. Sasa CAF Hamna Hii kitu na Ndio maana hawasogei. Tangu 1998.

Pia usajili Wao ni wa Kuifunga tu Simba. Ndio Raha yao
Msimu uliopita zile points 69 Yanga alizipata kwa kuifunga makolo pekee?
 
Yanga na abovu sana mkuu. Kinachowasaidia Hapa ni ndumba. Sasa CAF Hamna Hii kitu na Ndio maana hawasogei. Tangu 1998.

Pia usajili Wao ni wa Kuifunga tu Simba. Ndio Raha yao
Ukumbuke Simba wanashikilia rekodi ya uchawi barani Afrika na kupigwa faini na CAF ya Dola 20,000/=
 
Admins nimeweka hii ahadi kuwa ikitokea bahati mbaya. Maana si rahisi. Simba akamfunga yanga natuma picha humu nimekalia moto nikiwa uchi. Na naomba members wawili au watatu wawepo kama mashaidi. Nikishindwa nipigwe ban mwezi mzima.

Simba ni team mbovu kwa Yanga. Simba haiwezi mfunga Yanga. HAIWEZEKANI. NI RAHISI NGAMIA KUPITA KWENYE TUNDU LA SINDANO KULIKO SIMBA KUMFUNGA YANGA TAREHE 23.
 
Kuna moto mbili, kuna moto wa faya 🔥 , halafu kuna moto wa kupelekea moto.. Utakalia moto upi!? Halafu ukiwa umevua nguo, utakalia moto, utapelekewa moto shauri yakk😂 😂 😂
 
Wameota mapembe baada ya kuifunga ihefu ya angola wameshajiona wanacho kikosi chenye ubora kama walichonacho yanga, nipo naangalia nyuzi zao humu jinsi wanavyobwata na kuongea maneno meeengi yasiyokuwa na kichwa wala miguu na sisi tuliosoma cuba tunawapimia tu waendelee kupuyanga tutakutana uwanjani na itajulikana timu bora ni ipi, matokeo waliyopata kwa kucheza na timu dhaifu yamewapa ujasiri wa kudhani wanaenda kukutana tena na timu kama ile waliyocheza nayo, nyie tulieni subilieni wanachokwenda kukutana nacho uyo mgunda wanaempigie saluti wataanza kumpa za uso kuanzia jumatatu
Mna kikosi bora?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom