Simba haina timu ya kuifunga Yanga. Ikitokea Simba imemfunga Yanga nakalia moto bila kuwa na nguo

Simba haina timu ya kuifunga Yanga. Ikitokea Simba imemfunga Yanga nakalia moto bila kuwa na nguo

Amesaidia timu kuwa kinara wa ligi kuu ikiwa na idadi kubwa zaidi ya magoli kuliko timu yoyote Tanzania.
Amesaidia timu kufuzu kucheza hatua ya makundi ya Klabu Bingwa ikiwa ni chini ya miezi 3 toka asajiliwe.
Hakucheza ile game vs YANGA??
Vp aliisaidia timu yake ISICHAPWE NAO??
 
Dada yangu, linapokuja suala la DABI, YANGA hana masikhara kabisa, mtawashiwa moto hadi mpoteane.
Mimi nakwambia kaka yangu ni kwamba trh 23 mtazikw hapo hapo. Mlitufanga hapo nyuma ila sio kwa sasa kama nyie nguvu zenu zote mnazimalizia Derby basi sisi nguvu zetu zipo potepote.
 
Weka ahadi ya kugawa mali yako isiyohamishika!!! Hizo za kukalia moto hutaziweza . Weka ahadi ya kuukalia mguu wa mtoto tu.
 
Yule mzungu alikua na lake jambo. Okra ni bora mara elfu moja ya Azizi wao
Aziz ni mchezaji mzuri ila hana msaada kwa timu. Anahold mpira muda mrefu... Yaani anakokota mpira mita 10-20 mpaka mpinzani anafunga njia zote. Akipoteza mpira hawezi kuretrieve. Movement zake zinatabirika mapema kama za Kibu tu.
 
Sub ipi mzee we mwehu!!!

Mayele 49', 82'
Okrah aliingia muda gani na kutoka muda gani??
Kwani shida yako nini? Okrah ni bora kuliko wachezaji wenu mzigo hapo Yanga. Huo ndo ukweli
 
Matusi ya nini?? BABA YAKO NI SHOGA?? Namfahamu ni YANGA damu, tangu kijijini huko. Au unahisi wewe hatukujui??
Atakuwa kwenye hiyo 10%.
Fatilia hawa kina juma lokole na sampuli zao ni timu gani
 
Admins nimeweka hii ahadi kuwa ikitokea bahati mbaya. Maana si rahisi. Simba akamfunga yanga natuma picha humu nimekalia moto nikiwa uchi. Na naomba members wawili au watatu wawepo kama mashaidi. Nikishindwa nipigwe ban mwezi mzima.

Simba ni team mbovu kwa Yanga. Simba haiwezi mfunga Yanga. HAIWEZEKANI. NI RAHISI NGAMIA KUPITA KWENYE TUNDU LA SINDANO KULIKO SIMBA KUMFUNGA YANGA TAREHE 23.
Usikalie moto uje ukalie 🍆 lang tareh 23
 
Admins nimeweka hii ahadi kuwa ikitokea bahati mbaya. Maana si rahisi. Simba akamfunga yanga natuma picha humu nimekalia moto nikiwa uchi. Na naomba members wawili au watatu wawepo kama mashaidi. Nikishindwa nipigwe ban mwezi mzima.

Simba ni team mbovu kwa Yanga. Simba haiwezi mfunga Yanga. HAIWEZEKANI. NI RAHISI NGAMIA KUPITA KWENYE TUNDU LA SINDANO KULIKO SIMBA KUMFUNGA YANGA TAREHE 23.
 

Attachments

  • FB_IMG_1666754155423.jpg
    FB_IMG_1666754155423.jpg
    66.2 KB · Views: 3
Aziz ni mchezaji mzuri ila hana msaada kwa timu. Anahold mpira muda mrefu... Yaani anakokota mpira mita 10-20 mpaka mpinzani anafunga njia zote. Akipoteza mpira hawezi kuretrieve. Movement zake zinatabirika mapema kama za Kibu tu.
Unaweza kusema Tena?
 
Admins nimeweka hii ahadi kuwa ikitokea bahati mbaya. Maana si rahisi. Simba akamfunga yanga natuma picha humu nimekalia moto nikiwa uchi. Na naomba members wawili au watatu wawepo kama mashaidi. Nikishindwa nipigwe ban mwezi mzima.

Simba ni team mbovu kwa Yanga. Simba haiwezi mfunga Yanga. HAIWEZEKANI. NI RAHISI NGAMIA KUPITA KWENYE TUNDU LA SINDANO KULIKO SIMBA KUMFUNGA YANGA TAREHE 23.
Yaani unachowaza kuvua nguo na kukalia tu dah.
 
Yanga na abovu sana mkuu. Kinachowasaidia Hapa ni ndumba. Sasa CAF Hamna Hii kitu na Ndio maana hawasogei. Tangu 1998.

Pia usajili Wao ni wa Kuifunga tu Simba. Ndio Raha yao
Wewe ulitaka raha yetu iwe ipi

Hilo ndo lengo letu duniani mengine nyongeza
 
Back
Top Bottom