Hivi BURKNABE Kuna ligi ya ushindani kweli.Hoja gani kaandika huyo? Simba inasajili wachezaji bora kwenye timu walizotoka nyie mnasema inarundika wachezaji? mnajua hata maana ya kurundika kwanza?!
Nouma- beki bora wa ligi ya Burkina Faso.
Ahoua- MVP wa ligi kuu Ivory Coast.
Mnaimba ngonjera msizozielewa, au hamtaki Simba isajili kuziba mapengo yaliyoachwa na walioondoka na wanaoanza kuchoka?!
Hamjielewi.
Umekula lakini?Mbumbumbu jiongeze
Chivaviro team yake ilicheza semi final ya CAFCL na akawa makamu Top scorer
Marumo ni team ya South Africa Moja ya league Bora Africa sio wachezaji wenu mnakota Rwanda
Baada ya leicester kushuka, Madisson alienda Totthenham, kwahyo unataka kusema Madisson alikuwa ni mchezaji mbovu kwa sababu team yake imeshuka daraja..?1. MUKWALA- ametoka Asante Kontoko Imeshika namba 6 ligi ya Ghana.
2. AHOUA Ametoka Stella Adjame Imeshika namba 6 ligi ya Ivory coast
3. AUGUSTINE. Ametoka Rivers united ya Nigeria Imeshika Namba 8
4. JOSHUA MUTALE. Ametoka powe Dynamo ya Zambia nafasi ya 6
5. VALENTINO MASHAKA katika Geita Gold, umeshuka daraja Tanzania
6 . DEBORA FERNANDEZ . Ametoka MUTONDO STAR β ya Zambia Imeshika namba 13
Mbumbumbu Kwa Sasa mnashangilia hilo rundo la wachezaji wadogo.
League ikianza hatutaki lawama.
Hao wachezaji wenu ni sawa mmesajili kutoka Mashujaa, Dodoma jiji, au Namungo
Sisi Yanga tunamsajili Galactica tu yaani wachezaji wakubwa.
Hatutaki lawama kutoka Kwa mbumbumbu league ikianza
Football is football mzee. Mimi ni yanga ila simba wamejitahidi kusajili, cha kuwaomba tu ni wawavumilie wachezaji wao. Bado wanajenga team, hawawezi ku compete at highest level.Ilikuwa team ya EPL sio team ya Zambia
Umekula lakini?Mambo madogo sana hayo.
Me sio mtu wa kuwaza mlo
Hakuna loloteLigi ikianza hatutaki lawama
Swali hili mtoa mada umeliruka kwann?Chama mliemsajili timu aliyotoka imechukua kombe la ligi?!
Sasa mkuuu mpaka pacome anaenda yanga tayari ligi ya bongo tulishawazidi kiwango au ulitaka wasajiliwe wapi maana sahv ligi zilizotuzidi ubora ni chache sanaAngalia na ushindani wa ligi zao walipotoka ulinganishe na ligi yetu, mchezaji anaweza kuwa Bora kwenye wabovu uwezi shangaa, na ligi mbovu lazima zipate pia ma MVP wake Kama hao ambao unaambiwa na MVP wa Ivory coast lakini timu yake imeshika namba 6 kwenye msimamo, uyo mwingine unaambiwa kawa MVP wa Nigeria lakini timu yake imeshika namba 8 kwenye msimamo, Sasa unawaleta Tanzania kwenye ligi ngumu na Bora yetu ni macho ngoja tusimalize maneno
Nyie mkisajili kina skudu na Mkude, mpo sahihi lakn simba akisajili anakuwa kakosea?πKunywa maji mengi
Wakati huo Yanga Imemchukua Chama ambaye katoka Simba iliyoshika Nafasi ya Tatu kwenye Ligi na ikamchukua Dube ambaye Anatokea Azam iliyoshika nafasi ya Pili??1. MUKWALA- ametoka Asante Kontoko Imeshika namba 6 ligi ya Ghana.
2. AHOUA Ametoka Stella Adjame Imeshika namba 6 ligi ya Ivory coast
3. AUGUSTINE. Ametoka Rivers united ya Nigeria Imeshika Namba 8
4. JOSHUA MUTALE. Ametoka powe Dynamo ya Zambia nafasi ya 6
5. VALENTINO MASHAKA katika Geita Gold, umeshuka daraja Tanzania
6 . DEBORA FERNANDEZ . Ametoka MUTONDO STAR β ya Zambia Imeshika namba 13
Mbumbumbu Kwa Sasa mnashangilia hilo rundo la wachezaji wadogo.
League ikianza hatutaki lawama.
Hao wachezaji wenu ni sawa mmesajili kutoka Mashujaa, Dodoma jiji, au Namungo
Sisi Yanga tunamsajili Galactica tu yaani wachezaji wakubwa.
Hatutaki lawama kutoka Kwa mbumbumbu league ikianza
Angalia ligi wanayotokaWakati huo Yanga Imemchukua Chama ambaye katoka Simba iliyoshika Nafasi ya Tatu kwenye Ligi na ikamchukua Dube ambaye Anatokea Azam iliyoshika nafasi ya Pili??
Accoding to whom Data..Angalia ligi wanayotoka
Ligi ya Tanzania ni ligi Bora Africa ipo namba 5