Simba hakuna usajili ni kurundika wachezaji tu.

Simba hakuna usajili ni kurundika wachezaji tu.

Hoja gani kaandika huyo? Simba inasajili wachezaji bora kwenye timu walizotoka nyie mnasema inarundika wachezaji? mnajua hata maana ya kurundika kwanza?!

Nouma- beki bora wa ligi ya Burkina Faso.

Ahoua- MVP wa ligi kuu Ivory Coast.

Mnaimba ngonjera msizozielewa, au hamtaki Simba isajili kuziba mapengo yaliyoachwa na walioondoka na wanaoanza kuchoka?!

Hamjielewi.
Hivi BURKNABE Kuna ligi ya ushindani kweli.
Hivi mbumbumbu mna shida Gani vichwani.
Hata ligi ya Eriteria ina MVP nendeni mkamsajili
 
1. MUKWALA- ametoka Asante Kontoko Imeshika namba 6 ligi ya Ghana.

2. AHOUA Ametoka Stella Adjame Imeshika namba 6 ligi ya Ivory coast

3. AUGUSTINE. Ametoka Rivers united ya Nigeria Imeshika Namba 8

4. JOSHUA MUTALE. Ametoka powe Dynamo ya Zambia nafasi ya 6

5. VALENTINO MASHAKA katika Geita Gold, umeshuka daraja Tanzania

6 . DEBORA FERNANDEZ . Ametoka MUTONDO STAR ⭐ ya Zambia Imeshika namba 13

Mbumbumbu Kwa Sasa mnashangilia hilo rundo la wachezaji wadogo.
League ikianza hatutaki lawama.

Hao wachezaji wenu ni sawa mmesajili kutoka Mashujaa, Dodoma jiji, au Namungo
Sisi Yanga tunamsajili Galactica tu yaani wachezaji wakubwa.

Hatutaki lawama kutoka Kwa mbumbumbu league ikianza
Baada ya leicester kushuka, Madisson alienda Totthenham, kwahyo unataka kusema Madisson alikuwa ni mchezaji mbovu kwa sababu team yake imeshuka daraja..?
 
Baada ya leicester kushuka, Madisson alienda Totthenham, kwahyo unataka kusema Madisson alikuwa ni mchezaji mbovu kwa sababu team yake imeshuka daraja..?
Ilikuwa team ya EPL sio team ya Zambia
 
Ilikuwa team ya EPL sio team ya Zambia
Football is football mzee. Mimi ni yanga ila simba wamejitahidi kusajili, cha kuwaomba tu ni wawavumilie wachezaji wao. Bado wanajenga team, hawawezi ku compete at highest level.
 
Football is football mzee. Mimi ni yanga ila simba wamejitahidi kusajili, cha kuwaomba tu ni wawavumilie wachezaji wao. Bado wanajenga team, hawawezi ku compete at highest level.
Naheshimu mawazo yako mkuu
 
Angalia na ushindani wa ligi zao walipotoka ulinganishe na ligi yetu, mchezaji anaweza kuwa Bora kwenye wabovu uwezi shangaa, na ligi mbovu lazima zipate pia ma MVP wake Kama hao ambao unaambiwa na MVP wa Ivory coast lakini timu yake imeshika namba 6 kwenye msimamo, uyo mwingine unaambiwa kawa MVP wa Nigeria lakini timu yake imeshika namba 8 kwenye msimamo, Sasa unawaleta Tanzania kwenye ligi ngumu na Bora yetu ni macho ngoja tusimalize maneno
Sasa mkuuu mpaka pacome anaenda yanga tayari ligi ya bongo tulishawazidi kiwango au ulitaka wasajiliwe wapi maana sahv ligi zilizotuzidi ubora ni chache sana
Na bei za wachezaji wa huko ni balaa
 
1. MUKWALA- ametoka Asante Kontoko Imeshika namba 6 ligi ya Ghana.

2. AHOUA Ametoka Stella Adjame Imeshika namba 6 ligi ya Ivory coast

3. AUGUSTINE. Ametoka Rivers united ya Nigeria Imeshika Namba 8

4. JOSHUA MUTALE. Ametoka powe Dynamo ya Zambia nafasi ya 6

5. VALENTINO MASHAKA katika Geita Gold, umeshuka daraja Tanzania

6 . DEBORA FERNANDEZ . Ametoka MUTONDO STAR ⭐ ya Zambia Imeshika namba 13

Mbumbumbu Kwa Sasa mnashangilia hilo rundo la wachezaji wadogo.
League ikianza hatutaki lawama.

Hao wachezaji wenu ni sawa mmesajili kutoka Mashujaa, Dodoma jiji, au Namungo
Sisi Yanga tunamsajili Galactica tu yaani wachezaji wakubwa.

Hatutaki lawama kutoka Kwa mbumbumbu league ikianza
Wakati huo Yanga Imemchukua Chama ambaye katoka Simba iliyoshika Nafasi ya Tatu kwenye Ligi na ikamchukua Dube ambaye Anatokea Azam iliyoshika nafasi ya Pili??
 
Wakati huo Yanga Imemchukua Chama ambaye katoka Simba iliyoshika Nafasi ya Tatu kwenye Ligi na ikamchukua Dube ambaye Anatokea Azam iliyoshika nafasi ya Pili??
Angalia ligi wanayotoka
Ligi ya Tanzania ni ligi Bora Africa ipo namba 5
 
Angalia ligi wanayotoka
Ligi ya Tanzania ni ligi Bora Africa ipo namba 5
Accoding to whom Data..
Nafasi ya 5 inashikiliwa na LIGI Kuu ya Nigeria NFPL..
Tanzania Tupo Nafasi ya 25 hii ni kwa Msimu wa 2024
Screenshot_20240708_012344_Chrome.jpg

Screenshot_20240708_012353_Chrome.jpg

Screenshot_20240708_012403_Chrome.jpg
 
Manchester United imemaliza nafasi ya 8 , swali ni je Bruno Fernandez ni mchezaji mbaya?
 
Hoja hii binafsi naona ni "Fallacy " ndugu zangu wana Yanga,kusajili mchezaji toka timu yenye nafasi ya chini kwenye msimamo haimaanishi siyo mchezaji mzuri...........

Walikuja MVP Bongo mfano Sarpong Michael alikuwa MVP Rwanda Yanga akafail,Onana alikuwa MVP Rwanda yupo Simba anaruka ruka tu kama mcheza rede....... usajili ni kamari anaweza kuja wa timu iliyoshuka daraja akakiwasha kuliko aliyekuja MVP.Chama alikuja Bongo toka Power Dynamo timu ikiwa na nafasi ya kawaida kwenye ligi yao, lakini Bongo amefanya vema.

NB:Tunashuhudia ni Mwamedi anasajili,mkianza kupigika,Mtuachie Ngungo boy wetu,asilaumiwe na msianze kudai B20 kwasababu ndiyo anayosajilia Mwamedi 😀

Simba guvu moya 😀
 
Back
Top Bottom