Hahaha............Kumradhi Mkuu wangu, ila sijafikia level ya Prof. MrumaHuna tofauti na profesa mruma
Hii timu ya wapi Mkuu?View attachment 2698684Azam Fc kukutana na BAHIR DAR na Mshindi baina yao kukutana na CLUB AFRICAIN. Kila la kheir Azam Fc
Kari ndo niniUsishindane na Kari, Kari ni Mja wa Mungu