Simba kuhudhiria wengi Simba day ni njia nyingine ya kuishinda Yanga nje ya uwanja

Simba kuhudhiria wengi Simba day ni njia nyingine ya kuishinda Yanga nje ya uwanja

PR ya Simba imekaa poa ukweli PR ya Yanga bado iko chini na imejaa ujivuni
Tulitoa maoni kuwa kiingilio ni kikubwa na hamasa ni ndogo wakati mda ni mfupi lakini tukaishia kufokewa na kupewa mifano ya Manchester united au Liverpool tena walienda mbali na kutoa mfano wa real Madrid
Wasipojifunza kwa zama hizi za ushindani utashinda Kila kitu ila utaishia kupata mashabiki wachache
Dunia ina badilika mpira ni biashara huwezi kaa nyumbani yaani club yako kuichangia elf 10 unaona kazi baadae una kulalamika usajiri

Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
 
Yanga timu kubwa yenye malengo ya kitoto na ya woga!! Timu iliyofika fainali kwenye kombe la losers haina ubavu wa kuweka malengo makubwa CAF champions league!! Malengo yake rasmi ni kufika hatua ya makundi basiii!! Je hapo wataweza kujilinganisha na Simba yenye malengo ya kufika nusu fainali? Mwenye macho haambiwi tazama!! Timu kubwa Tz ni wekundu wa msimbazi, ndio maana hawaanzii mchangani kama yanga kwenye CAF champions league 2023/2024!! Nawasilisha!!
Okay sawa malengo ya Simba msimu uliopita ni yapi na lipi mmefanikiwa?

Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
 
Hakuna ubishi kuwa lengomama la matamasha haya ya vilabu ni kukusanya fedha kwaajili ya klabu, hata ukimhoji Mzee Dalali aliyeanzisha Simba day atakwambia lengo lilikuwa kukusanya pesa. Simba kima cha chini ni Sh. 5,000 na Yanga kilikuwa Sh 10,000, hii ni kusema kama kuwa yanga walihitaji watu 20,000 ili kukusanya sh. 200,000,000 lakini Simba watahitaji watu 40,000 ili kukusanya kiasi hichohicho cha sh. 200,000,000, ni hesabu tu. Hii ni kusema inawezekana Simba wakawa wengi lakini wakazidiwa mapato ya mlangoni na Yanga wachache. Kitu kikubwa kwa Simba ni idadi kubwa ya wanasimba watakaokwenda kujitibu sonona kwakutumia furaha ya tamasha la simba day.
Kwa kulitambua ilo mkuu, hukutakiwa kuweka comparison na Yanga.
 
Yanga haishindani na simba
Simba ndo inashindana na Yanga

Jezi kileleni tushapeleka mkaiga
Rais tushakutana naye tayari simba nao wanasema wamepiga bao

Siku ya mwananchi yanga tayari simba ndo wanasindana

Sasa documentary ni j3 semeni mnaiga lini
 
Yanga haishindani na simba
Simba ndo inashindana na Yanga

Jezi kileleni tushapeleka mkaiga
Rais tushakutana naye tayari simba nao wanasema wamepiga bao

Siku ya mwananchi yanga tayari simba ndo wanasindana

Sasa documentary ni j3 semeni mnaiga lini
kuna mmoja kasema simba tayari imeshafanya documentary mwaka 1974. Yanga mnatutesa sana
 
Weak area Kivipi mkuu? Wakati unalinganisha na Yanga, ilifaa pia ulinganishe na kima Cha chini Cha kiingilio kwenye events zote mbili.
Yanga walifungulia wooh woohhh na bado hawakujaza
 
20230805_104758.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hongera mtani, naona mmeongeza kombe jingine kabatini. Kombe la kujaza uwanja
Imevuja: Baada ya mama kukubali mwaliko, Kuna watu wachache matajiri walizinunua tiketi nyingi sana na kuzigawa matawini bure kimyakimya ili kuujaza uwanja.
 
Ukweli ni huu hapa,kataa kubali
 
Kwa kulitambua ilo mkuu, hukutakiwa kuweka comparison na Yanga.
Wenye tiketi halali za kujinunulia walibaki nje na wenye tiketi za boss walikuwa ndani. Tulijua Ile sold out ni ya mchongo
 
Back
Top Bottom